Wenye nguvu ya giza walivyopendelewa

Wenye nguvu ya giza walivyopendelewa

Una ekari 3.5 ya ardhi ya kugawa bado unalia!!! We una matatizo
Matazi ya Familia yangu ni muhimu kutatuliwa kuliko Aridhi nisiyoweza ilima wala nisiyoweza iuza kwa kufungwa na Watu hoa hoa wanao zuia nisifanye chochote. Kuangamia kwao ni bora kwangu kuliko hiyo Aridh.. Maana hata ninge angaikia vipi kulima hakuna kitu nitapata kwa kuwa wanapambana na njia zangu zote kama ni biashara nisha hangaika kwa miaka zote zina kufa ajira zote zinakufa .. ikiwa nitafanikiwa maishani mwangu kwa wao kuangamia na kama ninacho weza kutoa ili niwe huru nianze upya bila wao wanao nifuatilia ni hiyo aridhi.. bora itoke, ili familia yangu nikombolewe kwenye nguvu zao za giza.
 
Katika moja ya familia za ukoo wetu alitokea kaka mmoja mpambanaji sana. Hakuwa amesoma, ila alipambana anavyojua yeye katika kazi, biashara nk na muda si mrefu mafanikio yakaanza kuonekana. Pale kijijini akawa yeye ni kati ya watu wenye uwezo, nyumba nzuri, magari, biashara nk.

Baada ya yule kaka kuanza kuwa tajiri, yakaanza maneno hasa baada ya mtoto wake wa kwanza wa kiume kufariki kwa ajali. Watu wakaanza kusema huyu kaka ndio kamtoa mwanae kafara ili awe tajiri. Muda si mrefu ikawa sasa kila mtu anaepata tatizo katika ukoo iwe ni kufilisika, kuugua, kufukuzwa kazi nk shutuma zikawa ni kwa yule jamaa kwamba yeye ndio ameshika nyota za wanafamilia wote na ndio anasababisha wasiendelee..!

Miaka kadhaa mbele, yule kaka tajiri akauawa na watu wasiojulikana. Watu waliomuua hawakuwahi kupatikana, wala hakukua na kesi. Akaacha familia ya mke na watoto wadogo wengine wakiwa shule na wengine hawajaanza shule bado.

Leo hii tunapoongea ni zaidi ya miaka 10 imepita tangu yule kaka auawe. Wale ndugu waliokua na shida, bado wana shida tena sasa zimezidi maana angalau yule jamaa alikua anawasaidia saidia. Waliokua wamefukuzwa kazi, sasa ndio wanakunywa mataputapu kule kijijini, hali zao ni mbayaa na wengine tumeshawazika. Katika kundi la watu masikini pale kijijini, hakuna mwenye ahueni mpaka sasa, na mbaya zaidi familia ya yule kaka nayo imeingia kwenye kundi la masikini wa pale kijijini baada ya mali kumalizika.

Ninachotaka kusema ni hiki: Unaweza kuua watu wote unaodhani kwamba ndio chanzo cha matatizo yako, na baada ya hapo ukajikuta kwamba hali yako inakua ngumu maradufu ya ilivyokua hapo kabla!

Ushauri wangu: Acha kutafuta mchawi wa maisha yako, mara kuna watu wanataka kukuua, mara sijui kuna laana za mababu, hivyo ni visingizio tu ambavyo havina msingi. Pengine mchawi ni wewe mwenyewe na familia yako!!! Mafanikio hua yana misingi ya kuzingatia, na kama hamuizingatii mtalaumu kila mtu. Je, mnazingatia masomo? Je, mnazingatia biashara? Je, mnaendekeza Ulevi? Anasa? Ushirikina? Udini? Ugomvi? Jichunguze mkuu, then chukua hatua stahiki acha mawazo ya kuua watu bila sababu za msingi.


Yaan nilivyo choka .. Chochote kitakacho kuja mbele yangu ntakifanya.
 
Naomba basi nikupe mfano huu

Unaijua hali yetu kama nchi dhidi ya Covid 19?
Tunajua ipo ila serikali yetu umeona jinsi inavyopambana nayo?
Umeona malalamiko ya wananchi dhidi ya serikali?

Hivyo ndivyo unavyopambana na adui yako, kwa "malalamiko"
Badala ya kuchukua hatua mkononi na kumshambulia adui.

Mungu alishatupa mamlaka kukanyaga nyoka na nge,

Luka 10:19 Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.​


kufunga na kufungua, si unajua? Amini nawaambia yoyote mtakayofunga duniani yatakuwa ya mefungwa mbinguni na yoyote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefunguliwa mbitnguni.Mathayo 18:1
Na vita vyetu si kwa damu na nyama bali katika ulimwengu wa roho, una silaha zote jivike silaha.

"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho." Waefeso 6:12
Unachofanya wewe unamzunguka adui badala ya kumshambulia.


Silaha za kiroho

Waefeso 6:11"Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani."​

Waefeso 6:14-17"Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani; zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;"​

Ndugu.. natamani ningekuwa narecord maombi yangu niliyofanya kwa mungu.. tena kwa muongozo wa Watumishi wa wamungu wamenitumia vifungu vya biblia vizito niawa na ingia kwenye maombi serious.. yaan una ambiwa mwaka jana mzima nimeutumia kusali sana .. nimefunga sana.. na nimenukuu maandiko kusindikiza sala zangu. Ila bado Wao wanazidi kututesa na wanaenda mbali zaidi wana wehusha ndugu zangu.. na kutupia mama Yangu maradhi.. .. Tena wale ndugu wote wakoo wanao Inua miguu yao kufuatilia hakizetu wote wanakufa.. na aliye baki mmoja ndio katupiwa kitu ashindwe toka ndani miiguu ina muuma analia kama mtoto.. Mama naye akatupiwa ugonjwa huo huo ili asifuatilie Haki za watoto wake.. Je Unataka kuniambia SALA ZANGU ZOTE BADO MATATIZO HAYO YANATOKE .. JE MUNGU ANAWEZA KUZIDIWA NA SHETANI,? MAANA SHETANI NI KIUMBE WA MUNGU.. JE MUNGU ANAWEZA ACHA MAOMBI YOTE NIFANYAYO AENDELEE KUTESA FAMILIA YANGU???

DAWA NI KUANGAMIZA TU.. MAANA MAANDIKO YANA NIAMBIA NISI MUACHE MCHAWI AISHII BASI NITA HANGAIKA KUMUONDOA NA POPOTE MUNGU ATAKAPO NIULIZA NIMKUMBUSHA ANDIKO LAKE LIME NIRUHUSU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika moja ya familia za ukoo wetu alitokea kaka mmoja mpambanaji sana. Hakuwa amesoma, ila alipambana anavyojua yeye katika kazi, biashara nk na muda si mrefu mafanikio yakaanza kuonekana. Pale kijijini akawa yeye ni kati ya watu wenye uwezo, nyumba nzuri, magari, biashara nk.

Baada ya yule kaka kuanza kuwa tajiri, yakaanza maneno hasa baada ya mtoto wake wa kwanza wa kiume kufariki kwa ajali. Watu wakaanza kusema huyu kaka ndio kamtoa mwanae kafara ili awe tajiri. Muda si mrefu ikawa sasa kila mtu anaepata tatizo katika ukoo iwe ni kufilisika, kuugua, kufukuzwa kazi nk shutuma zikawa ni kwa yule jamaa kwamba yeye ndio ameshika nyota za wanafamilia wote na ndio anasababisha wasiendelee..!

Miaka kadhaa mbele, yule kaka tajiri akauawa na watu wasiojulikana. Watu waliomuua hawakuwahi kupatikana, wala hakukua na kesi. Akaacha familia ya mke na watoto wadogo wengine wakiwa shule na wengine hawajaanza shule bado.

Leo hii tunapoongea ni zaidi ya miaka 10 imepita tangu yule kaka auawe. Wale ndugu waliokua na shida, bado wana shida tena sasa zimezidi maana angalau yule jamaa alikua anawasaidia saidia. Waliokua wamefukuzwa kazi, sasa ndio wanakunywa mataputapu kule kijijini, hali zao ni mbayaa na wengine tumeshawazika. Katika kundi la watu masikini pale kijijini, hakuna mwenye ahueni mpaka sasa, na mbaya zaidi familia ya yule kaka nayo imeingia kwenye kundi la masikini wa pale kijijini baada ya mali kumalizika.

Ninachotaka kusema ni hiki: Unaweza kuua watu wote unaodhani kwamba ndio chanzo cha matatizo yako, na baada ya hapo ukajikuta kwamba hali yako inakua ngumu maradufu ya ilivyokua hapo kabla!

Ushauri wangu: Acha kutafuta mchawi wa maisha yako, mara kuna watu wanataka kukuua, mara sijui kuna laana za mababu, hivyo ni visingizio tu ambavyo havina msingi. Pengine mchawi ni wewe mwenyewe na familia yako!!! Mafanikio hua yana misingi ya kuzingatia, na kama hamuizingatii mtalaumu kila mtu. Je, mnazingatia masomo? Je, mnazingatia biashara? Je, mnaendekeza Ulevi? Anasa? Ushirikina? Udini? Ugomvi? Jichunguze mkuu, then chukua hatua stahiki acha mawazo ya kuua watu bila sababu za msingi.
Naomba upitie post zangu nilizo kuwa na chat hapa uangalie matukio yote ninayo elezea uniambie kama ninacho pitia na maneno yao wanayo yasema kwa watu kuwa watatumaliza taratibu alafu uniambie kama nina hisi au naongea kwa uhakika.. hiyo story yako ni nzuri ila hao wastory yako walikuwa wanahisi. Mm sihisi nina uhakika kwa kuwa vinywa vyao ndio vina tamka na yanatokea kweli.. Na hata watumishi washa nisimamisha kanisani wakanitamkia yanayoendelea kwenye familia yangu .. na waliniambia kila kitu na vyote walivyosema nikweli.. na hao watumishi hawanijui wala sikuwahi waelezea ninayo pitia ila walinitajia Watu hao hao wanao angamiza ndugu zangu.. na wana nitafuta kweli.
 
Matazi ya Familia yangu ni muhimu kutatuliwa kuliko Aridhi nisiyoweza ilima wala nisiyoweza iuza kwa kufungwa na Watu hoa hoa wanao zuia nisifanye chochote. Kuangamia kwao ni bora kwangu kuliko hiyo Aridh.. Maana hata ninge angaikia vipi kulima hakuna kitu nitapata kwa kuwa wanapambana na njia zangu zote kama ni biashara nisha hangaika kwa miaka zote zina kufa ajira zote zinakufa .. ikiwa nitafanikiwa maishani mwangu kwa wao kuangamia na kama ninacho weza kutoa ili niwe huru nianze upya bila wao wanao nifuatilia ni hiyo aridhi.. bora itoke, ili familia yangu nikombolewe kwenye nguvu zao za giza..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa mentality hii uliyo nayo ndugu yangu nasikitika kukuambia itakua vigumu sana kwako kujikwamua kwenye umasikini. Kama wewe imani yako ni kua kuna WATU ambao wako nyuma ya matatizo uliyo nayo, na kwamba chochote utakachofanya huwezi kufanikiwa kwasababu ya hao WATU, maana yake ni kua wewe tayari umeshafeli kabla hata hujaanza. Na ukiendelea hivi utaishia kuwa mchawi! Kivipi?

Leo utasema mtu huyu ndio kanifunga nisifanikiwe, unamuua! Kesho biashara ikifeli utasema ni huyu jirani mwenye biashara yake hapa ndio kasababisha, utamuendea kwa mganga ili afungwe nyota, Keshokutwa ukiugua utasema ni fulani, utamuua! Mwisho wa siku utajikuta wewe ndio umekua mchawi namba 1, unaua watu, unafunga nyota za watu, na unakua kikwazo kwenye maendeleo ya watu. Mwisho na wewe utauawa na hao watakaokuona wewe kua kikwazo katika maisha yao!
 
Tuliza akili, unajua shetani akikutarget anaanza na ufahamu wako, akishavuruga CPU basi umekwisha.
Utauza mashamba ili ujikomboe kwa kuwaua utakuwa unadeal na majani kwenye mti siyo shina! Ukiwaua na kuwaangamiza vile walivyopandikiza ndani yenu navyo vinanyauka vyenyewe au navyo inabidi kuvishughulikia??
Kama nilivyosema awali mastermind wa hayo unayoyaona ni shetani anataka nawe ulipe kisasi kwa kulipa kisasi bado unakuwa mateka na mtumwa wake.
Lengo la shetani binadamu wachakazane wauwane wanyanyasane wadhulumiane walogane, ujanja ni kuondoka kwenye hii system yake anayoitumia ku take control.
Ukiua unajiingiza mwenyewe kwenye system yake, utakua unafurahia udhalimu wowote atakaokuintroduce kwao and the cycle never ends.

Wewe ni victim jinsi ileile walivyokuwa wachawi wako.
Ndiyo maana Yesu alimsamehe mwanadamu alipomsulubisha akasema hawajui watendalo,unafikiri ni kwa nini alisamehe? Ni kwa sababu anajua tumefungwa ufahamu tusitambue,vilevile
kama mchawi angelitambua kuwa shetani anamtumikisha tu kwa faida yake na amemfunga macho asitambue hili na ufahamu wake umebadilishwa kamwe asingefanya jambo lolote la hatari kwa nafsi yake mwenyewe.

Asante kwa Ushauri kaka! lakini Embu niambie nitateseka hivi mpaka mwisho wangu wa maisha? Maana kwa Mungu nime mtafuta makanisa karibi yote makubwa na kwa watumishi wakubwa ila wote wameshindwa.. Sasa Nikaamua mwenyewe kumpigia Mungu Goti.. ila ndio Kwanza nikama Sifanyi kitu hakuna jibu kwenye mateso yetu.. Je unadhani unaacheaje kuwaza kujaribu upande mwingine.. Hivi ninavyo ongea nan wewe simjui mganga wala sija wahi enda kwa mganga.. pamoja na mateso yote miaka yote sikuenda kwa Mganga .. nimemkimbilia Mungu ila bado Mungu haja itoa familia kwenye mateso hayo.. Je unadhani Leo hii nikiwaza kufanya haya niwazayo.. ninakosea kweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaahahahaha

Mateso yako yamesimamia sehemu ndogo sana watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....

Yaani hayo malaana na makosi yote yameanzia kichwani kwenu kuna namna mnaongea na kujinenea laana.

Nimesoma uzi wako una laana zakutosha,ukijiilaani na kulaani familia yako na imagine kama tokea mdogo ulikuwa una mawazo hayo basi kifungo chako ni kikubwa sana hata waganga hawawezi kukitoa wala Mungu.

Niamini mimi MMEJILAANI mtu yeyote anayejua jinsi mikosi na laana inavyofanya kazi ukimpa asome uzi wako atajua moja kwa moja mmejilaani tokea zmn,kabla ya kulaaniwa na mtu mwingine....

Kifungo chenu Kinahitaji maarifa kwanza kabla ya kumuomba Mungu yaani nyie hata mkisugua goti kumuomba Mungu ,Mungu atakuwa anasikitika tu lakini hawezi kuwatoa hapo maana mmeingia gerezani wenyewe hlf mlango wa kutokea upo wazi na mnaujua sababu ndo mlioingilia lkn hamna aliyetayari kutoka bali mpo busy kumuomba Mungu.Sasa Mungu anawashangaa nimewapa akili hamuoni mlango mlioingilia gerezani upo wazi,kwanini msitoke gerezani???

Mungu kutupa akili alijua kuna vitu hatatusaidia kabisa...

Laana,bahati na mikosi zinafanya kazi kwenye formula moja.

Hapo mwanzo kulikuwa na NeNo nalo Neno lilitoka kwa Mungu nalo Neno ni Mungu.

Mwanzo- ni mwanzoni kwa kila kitu
Neno-linatoka kinywani
Mungu ni muumbaji

Ikiwa kabla hakijaumbwa kitu lilianza neno hata Mungu mwenyewe alitamka mambo yakawa.

Kwahiyo neno(unalotamka) lina nguvu ya kuumba(maana linatoka kwa Mungu) nalo ni Mungu(muumbaji).

Waislamu wanasema unachomuomba Mungu ndo anachokupa sasa ukiomba laana na kukiri laana kupitia maneno basi neno ni Mungu(muumbaji).

Tokeni huko gerezani kwanza msipoteze mda.

Kuhusu Mungu kutosikia maombi yenu ni sahihi kabisa hapaswi kusikia maneno yenu kwanza ayasikie ya nini maombi yenye machukizo.Kama huna IMANI na Mungu ni bora usimuombe Mungu.

Huwezi kusema Mungu nisaidie nilale usiku wachawi wasiniloge Amen halafu unasikia paka analia usiku unaanza kuogopa sasa kitendo cha kuogopa ni ku prove nguvu ya Mungu uliyemuomba si kubwa kupita Nguvu ya wachawi “DOUBT” hapo ume doubt nguvu ya Mungu hlf hapo hapo unataka ikusaidie HAPANA haiwezekani.Umeshindwa kukubali Ukubwa wa Mungu basi hawezi kukusaidia...

Kwenye uZi wako umeanzA ku doubt km Mungu anawakusikia na Kama ulikuwa una doubt hivyo toka zmn nikwambia tu “Ulikuwa unampigia kelele si ajabu aliwa MuTe familia nzima mzipigie kelele”
 
Katika familia akitojea mmoja mwenye kujua ushirikina kwa kina, atawamaliza wote yeye akiwa anatamba na utajiri na kukaa katika viti virefu baa. Pole sana ndugu, wengi wanateseka kwa mateso makubwa yanayosababishwa na hao binadamu. Ila nakushauri maisha ni mchezo, usikubali kupigwa mtama, piga na wewe tena mtama ulioenda shule.
 
Katika familia akitojea mmoja mwenye kujua ushirikina kwa kina, atawamaliza wote yeye akiwa anatamba na utajiri na kukaa katika viti virefu baa. Pole sana ndugu, wengi wanateseka kwa mateso makubwa yanayosababishwa na hao binadamu. Ila nakushauri maisha ni mchezo, usikubali kupigwa mtama, piga na wewe tena mtama ulioenda shule.
Nisaidie bro.. nina hali mbaya sana! Kaka njoo Dm kama kuna mbinu yoyote sita jali .. nimechoka sana.. Mama yetu katulea kwa Hekima na busara katufunza kumcha Mungu.. na tume kuwa hivyo.. Ila Dunia haitupi amani.. Dunia inatutesa kwa upole wetu.. Nataka Niwe Katili kuliko Osama Biladen.. I got no other choice... Nimekuwa mwema sana ila wema wangu umezaa Maumivu makali sana.. NJOO INBOX PLS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila uwe macho! Watu wa ulimwengu wa roho wana nguvu na ushirikiano mkubwa, ukipiga mtama usije ukakurudi. Mtu akiamua kuwa mshirikina anajipanga sawasawa, ila ni sawa na kuangusha treni kwa msumari.
 
Acheni kumsingizia MUNGU. Amini juhudi zako hazitoshi kufikia mafanikio. Muda mwingi unaotumia kuwafikiria wengine wanachokifanya,ndio huo ulikuwa wa mafanikio ungeuingiza kiutendaji. MUNGU hajawahi kumuacha asimpe mtu anachosumbukia. Achana na maswala ya machimboni,unachimba miaka 8 hupati unachokiwaza,wengine wanapata,unafikiria ni MUNGU. Achana na maswala ya kubet,wenzio wanapata wewe hupati unafikiria ni MUNGU. Achana na kilimo cha mkono cha kutegemea mvua za msimu,ule mwaka uliokazana ukalima sana mvua hazitoshi,hupati kama ulivyotarajia. Ule mwaka uliozira kulima wenzio wanapata sana,ukafikiria ni MUNGU.Jikite kwenye kazi zisizo za kubahatisha,uone matunda ya ninachomaanisha. MUNGU hashushi laana kwa kiumbe chake. Laana inatokana na ninyi wenyewe kujiona duni (mmejilaani wenyewe). Tayari mmeshaona mafanikio ni ya wengine. Kama wewe una utimamu wa akili na mwili pia,una viungo vyote vya mwili,wewe umejilaani mwenyewe,hasa wewe kama ni wa kiume. MUNGU NI MWEMA WAKATI WOTE,WAKATI WOTE MUNGU NI MWEMA. Ksbb amekupa akili na maarifa na utimamu wa mwili. Ndipo pale MUNGU akasema ”WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA”
 
Pole sana mkuu. Hauko peke yako
Nilichogundua

kutoka 21 : 23 -25

Lakini kifo kikitokea, basi ni lazima mlipe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,alama ya moto kwa alama ya moto, jeraha kwa jeraha, pigo kwa pigo.


Mambo ya walawi 24 : 19 -20
Na ikiwa mtu atamtia mwenzake kasoro, basi kama vile tu ambavyo yeye amefanya, ndivyo atakavyofanywa.Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino; aina ileile ya kasoro ambayo huenda akamtia mtu, hiyo ndiyo atakayotiwa.


Ni ngumu sana kumove on Ila Inabidi U Move on, We only live once Bro,Hatufanani furahia hicho kidogo ulichonacho Punguza mzigo wa Rohoni uendelee na maisha
 
Unaona sasa nilichokua nasema ni UKWELI.

Njaa mbaya sana, na ulivyo na mikosi mikali hata wale waganga wa ndagu wamekutosa...umepatia sana umesema ukweli ndiyo maana toka mwazo sikuzikataa hizo shutuma ndivyo tulivyo wazandiki, fools pathetic ass holes ongezea mengine🤗🤗🤗 umekula leo kweli?

Matusi yatakuletea utajiri😊


unamtegemea nabii akusovie kwani hujui naye ni mtu kama wewe! umaskini wako unapigwa pesa huko kwa manabii uchwara wako unakuja kuparamia watu humu.
 
Tafuta vitabu hivi vitafungua mind haki. "Tough time never last but tough people do"
.Thing big
.Poor dady rich dady
.Turn negative into positive
.Think and grow rich
 
Matazi ya Familia yangu ni muhimu kutatuliwa kuliko Aridhi nisiyoweza ilima wala nisiyoweza iuza kwa kufungwa na Watu hoa hoa wanao zuia nisifanye chochote. Kuangamia kwao ni bora kwangu kuliko hiyo Aridh.. Maana hata ninge angaikia vipi kulima hakuna kitu nitapata kwa kuwa wanapambana na njia zangu zote kama ni biashara nisha hangaika kwa miaka zote zina kufa ajira zote zinakufa .. ikiwa nitafanikiwa maishani mwangu kwa wao kuangamia na kama ninacho weza kutoa ili niwe huru nianze upya bila wao wanao nifuatilia ni hiyo aridhi.. bora itoke, ili familia yangu nikombolewe kwenye nguvu zao za giza.
kosa kubwa sana kuwalalamikia wengine juu ya matatizo yako, samehe kabisa kwanza acha Mungu afanye kazi yake, ongeza bidii kwenye kila kitu utafanikiwa, uchungu na chuki ulizonazo ndio zinafanya usiende popote.
 
Jambo likitokea kwa mwingine watu huwa ni washauri wazuri sana.Binafsi,unachopitia kinaumiza sana kupita maelezo.Ninaomba Mungu akuongoze tu maana kwa akili binafsi unaweza kufuru na kudhuru watu.
 
Isaya 49:15 Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.

Isaya 49:16 Tazama, nimekuchora katika vitanga vya mikono yangu; kuta zako ziko mbele zangu daima.

MUNGU hawezi kukusahau kabisa !!!
Mfano wako sio hai sababu kuna wanaoteseka wakiwa na matumaini ya kutoka kwenye matatizo siku moja lakini wanaishi hivyo mpaka kufa kwao
 
Sina kitu mkononi nimefilisika kabisa, ila naomba kama unaweza niondolea hawa watu wawili wanao itesa familia yangu. Nitakupa Hekari 3.5. zipo Morogoro hichi ndicho nilichofanikiwa kumiliki kwa mkono wangu na jasho langu maishani mwangu.

Nimefilisika hakuna hata senti ya kula, ila Kama una njia ya kuwaondoa hawa watu wawili ili ndungu zangu watoke kwenye mateso wanayofanyiwa basi ntakupa hizi ekari3 na nusu.. zipo Mbele kidogo ya Chalinze eneo linaitwa Bwawani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Haya Maumivu ya Moyo na Msongo wa Mawazo.. Na Taarifa za Mateso ya Ndugu zangu yanavyo nitesa akili.. maana Degree niliyosoma haina samani vyeti viko kabatini.. Siiajiriki.. Biashara nilizo fanya zote zimekufa.

Alafu kila siku unauza vitu vya ndani ili upate kula .. Ukijaribu kusema usamehe ili Mungu afanye kazi yake, Ghafla unapokea Simu ya Ndugu flani kawa kichaa mara kesho Mama tatizo hili mara kesho kutwa Unaambiwa Walio wazulumu wanauza nyumba yenu Mara ghafla Ndugu yako mwingine Ameacha kazi anakunywa tu pombe mpaka ana lala mitaroni. Ghafla unaambiwa ndugu mwingine Kachanganyikiwa ameonekana ana ongea mwenyewe njiani.. ukimfuatilia unaambiwa Ana lala kwenye Mito maporini..

AJABU WATOTO WOTE TULIZALIWA KWENYE FAMILIA BORA BABA ALIKUWA BOSS MKUBWA SABA BANK KUKU(BOT) TULIZALIWA WAZIMA WOTE MPAKA WATU WANAFIKIA MIAKA 30 WENGINE 35 GHAFLA WOTE WANACHANGANYIKIWA ALAFU WANO TUFANYIA WANA TAMBA KABISA MITAANI KUWA WATA TUMALIZAA.. Hivi unadhani kama yote haya yanatoke Je Hayo maandiko yako yangekuwa yana wezekana yasinge tekelezeka ?
Unangonjea nini kwenda kigoma au songea kuwamaliza hao watesi wenu mkuu, pole sana unapitia kipindi kigumu mno.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom