House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,189
- 2,206
- Thread starter
- #81
Kaka wakipigwa huwq wanakufa hawa
Umemdekeza sana. Hajachezea kichapo tu?
Umemdekeza sana. Hajachezea kichapo tu?
hivi TCU hawajatoa majibu hawa watoto waende shule vioja vimezidi humu
Nisave "vanilla" tukishafahamiana inakua "my vanilla"Usisahau kunirubuni tufahamiane vyema! Enhee unataka nikusevuje eti...?
Habari za keekend wapendwa...
Leo jumapili nakwenda kuimaliza vibaya. Nikiwa nitulia hapa nyumbani mke wangu ameomba simu yangu ili ampigie mtu maana simu yake ilikuwa haina credit, nikampa...mi nikaingia chumbani kupumzika, amekuja chumbani amefura, akauliza namba yake nimeisevu kwa jina gani? Mi nikamjibu kuwa nimesevu kwa jina la "Madam" Hapo ndio kivumbi kikaanza, kwa nini unasevu hivo? Mbona hujasevu mrs?...akaendelea," ina maana una mtu mwingine ndio mkeo? Huyo ndie ulie msevu mrs? Akaendelea tangu leo mi sio mkeo , na ndg zako waondoke hapa kwangu ...."
Mi muda huo nilikuwa nimepigwa butwaa, namsikiliza, baadae nikamwambia kusevu jina hilo ni kukupa heshima, nikamwambia ile simu nyingine nimesevu kwa jina la 'mrs' wala sina maana mbaya.
Kwa kweli baadae akasema hata simu yake haina thamani maana ni ya hela ndogo (akimaanisha simthamini maana nimemnunulia simu ya bei ndogo), na kwa maana nyingine akimaanisha yupo mwanamke ninaye mthamini na ndie huenda nimemsevu kwa jina la 'mrs'..akasema mambo mengi sana, lakini mi nikiangalia sijamkosea jambo kubwa kiasi cha maneno anayoyasema. Imefikia mahali nikaivunja simu yake.
Eti wanajanvi, ni kosa mkeo kumsevu kwa jina la 'madam'..
Nipeni mchango wenu tafadhari, maàna bado mgogoro upo na kwa sasa ameondoka sjui amekwenda wapi. Ila katika kufoka kwake nimemsikia akisema hii kesi anaipelwka kwa mchungaji, nadhani ameenda huko kupeleka kesi
Nipeni ushauri tu ili niona namna ya kumaliza tatizo hili..
Kwa nini mkuu??nifafanulieeeMmmh... unafahamu kuwa mke singuo lakini?
Cha msingi jiamini tuu, kama hana ushahidi kwamba unakamchepuko...
Mkeo inaonesha anautashi mdogo wa kuwaza na kufikiria, pia kutafsiri mambo....
Upendo halisi haupimwi na thamani ya kitu bali ni moyo wa mtu kukupa kitu husika...
Mtafute mkeo mueleze kwa upole tuu, ataelewa...
Kuanzia leo msevu vizur mkeo...unaeza msevu "sweetheart" honey" my darlin....
Msevu vizuri ili ajisikie vizuri...usipende kumwekea mazingira akakuwazia tofaut
Umeshauri ushauri mzuri sana mkuu.....Popote pale ulipo heshima yako Tafadhali.
Hapo kwenye blue na red kuna utata, mkeo amesema kuwa kuanzia muda wewe na yeye basi halafu akakuambia ndugu zako waondoke kwake, je unaishi kwa mwanamke na ndugu zako? Je ndugu zako wakiondoka bila ya wewe kuondoka mtakuwa mmeachana vipi? Kama amesema kwanzia muda huo mmeachana kwa mchungaji ameenda kufanya nini?
Between the lines hii ni story ya kutunga ili kupoteza muda tu au ikiwa ni ya kweli basi mkeo hamnazo na wewe pia.
Hapo kwenye blue na red kuna utata, mkeo amesema kuwa kuanzia muda wewe na yeye basi halafu akakuambia ndugu zako waondoke kwake, je unaishi kwa mwanamke na ndugu zako? Je ndugu zako wakiondoka bila ya wewe kuondoka mtakuwa mmeachana vipi? Kama amesema kwanzia muda huo mmeachana kwa mchungaji ameenda kufanya nini?
Between the lines hii ni story ya kutunga ili kupoteza muda tu au ikiwa ni ya kweli basi mkeo hamnazo na wewe pia.
Mambo ya kishule shule ndo yapi na ya kiutu uzima ndo yapi..Mkubwa mwambie mkeo kumuoa tu inatosha kuonesha unampenda, jina ni nini? Aache mambo ya kishule shule amekuwa mtu mzima
Ni kosa? Mi napenda kusahihishwa tu, kama ni makosa nimwombe msamaha
Habari za keekend wapendwa.
Leo Jumapili nakwenda kuimaliza vibaya. Nikiwa nitulia hapa nyumbani mke wangu ameomba simu yangu ili ampigie mtu maana simu yake ilikuwa haina credit, nikampa mi nikaingia chumbani kupumzika, amekuja chumbani amefura, akauliza namba yake nimeisevu kwa jina gani?
Mi nikamjibu kuwa nimesevu kwa jina la "Madam" Hapo ndio kivumbi kikaanza, kwanini unasevu hivo? Mbona hujasevu mrs?Akaendelea," ina maana una mtu mwingine ndio mkeo? Huyo ndie ulie msevu mrs? Akaendelea tangu leo mi sio mkeo, na ndg zako waondoke hapa kwangu...."
Mi muda huo nilikuwa nimepigwa butwaa, namsikiliza, baadae nikamwambia kusevu jina hilo ni kukupa heshima, nikamwambia ile simu nyingine nimesevu kwa jina la 'mrs' wala sina maana mbaya.
Kwa kweli baadae akasema hata simu yake haina thamani maana ni ya hela ndogo (akimaanisha simthamini maana nimemnunulia simu ya bei ndogo), na kwa maana nyingine akimaanisha yupo mwanamke ninaye mthamini na ndie huenda nimemsevu kwa jina la 'mrs' akasema mambo mengi sana, lakini mi nikiangalia sijamkosea jambo kubwa kiasi cha maneno anayoyasema. Imefikia mahali nikaivunja simu yake.
Eti wanajanvi, ni kosa mkeo kumsevu kwa jina la 'madam' Nipeni mchango wenu tafadhari, maàna bado mgogoro upo na kwa sasa ameondoka sjui amekwenda wapi. Ila katika kufoka kwake nimemsikia akisema hii kesi anaipelwka kwa mchungaji, nadhani ameenda huko kupeleka kesi.
Nipeni ushauri tu ili niona namna ya kumaliza tatizo hili.
Nisave "vanilla" tukishafahamiana inakua "my vanilla"
ukinisave madam huo ugonvi sijui tu