Sina ugonvi naye kwa mda mrefu,sielewi anavoniwaa
Huyo mkeo anaendekeza mambo madogo na ya kitoto.
Kusave jina lake au Mrs haimaanishi anakuwa kweli ila ni title za kijinga sometimes.
As long as umemfahamu alivyo msave anavyotaka yeye.
Mke wangu nimemsave kwa initials za majina yake na hana time na mambo kama hayo.
basi mu-ignore tu kwa sasa!..muache yeye ayaseme yake yote ya moyoni.,akitulia ongea wewe sasa kama mwanaume!
Wengine wake zetu twawaita kwa majina yao tu,zaidi twaongeza 'Bi'..hayo ya honey,sweetheart sijui waachieni watoto wa shule,sheikh!
Women! Women! Women!
Mentor bado nipo nipo kwanza....sipendi ugomvi..sipendi kupeana presha!!!
Maadam ulaya ni mwanamke anaewauza wenzie kwa wanaume au mmiliki wa danguro.Msevu kwa jina zuri tu inatosha e.g Honey,,switihat na etc
Ifute kabisa isiwepo kwenye cm. Maana binafsi sioni sababu ya kusave namba ambayo unayo kichwani zaidi ya kujaza phone book tu. Na akikuuliza tena why hujasave namba yake mwambie najua kwa kichwa.
Hata mi nimesihi asiibue mgogoro usio na maana, lakini amekomaa tu, ameondoka nasubiri nini kitaendelea akirudi
Cha msingi jiamini tuu, kama hana ushahidi kwamba unakamchepuko...
Mkeo inaonesha anautashi mdogo wa kuwaza na kufikiria, pia kutafsiri mambo....
Upendo halisi haupimwi na thamani ya kitu bali ni moyo wa mtu kukupa kitu husika...
Mtafute mkeo mueleze kwa upole tuu, ataelewa...
Kuanzia leo msevu vizur mkeo...unaeza msevu "sweetheart" honey" my darlin....
Msevu vizuri ili ajisikie vizuri...usipende kumwekea mazingira akakuwazia tofaut