Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,930
Kosa ni kuvunja ile simu yake. Je, yeye amekuandika vipi kwenye simu yake? (lakini ndio umeshaivunja hivyo!). Sasa huko kwa mchungaji usiku huu, na wachungaji wenyewe wa siku hizi. Kwani hamna waliowasimamia ndoa yenu, au ndio wale mnaowachagua kisa mkewe anaendana na umbo la bi harusi!!