BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Mwambie asi-complicate mambo na kufanya maisha kuwa magumu bila sababu......
Kama ukiamua kuchepuka umsave mrs, madame, darling nk nk au kwa jina lake bado utachepuka tu
Ila hapo kwenye simu nzuri usipomthamini mkeo kwa vitu vizuri unataka kumthamini nani??? Ni aibu iwapo unatumia s6 wakati mkeo yupo kwenye kisimu cha tochi... (au humpi mkeo vitu vizuri ndio maana anahisi anaibiwa????)
Anyway....kufanya maisha kuwa rahisi...mtake radhi kisha msave mrs ili roho yake itulie
Kama ukiamua kuchepuka umsave mrs, madame, darling nk nk au kwa jina lake bado utachepuka tu
Ila hapo kwenye simu nzuri usipomthamini mkeo kwa vitu vizuri unataka kumthamini nani??? Ni aibu iwapo unatumia s6 wakati mkeo yupo kwenye kisimu cha tochi... (au humpi mkeo vitu vizuri ndio maana anahisi anaibiwa????)
Anyway....kufanya maisha kuwa rahisi...mtake radhi kisha msave mrs ili roho yake itulie