Haki ya nani!! Hilo tumbo kile kitarimbo si kiko hoi? Ni lazima kitakuwa kibamia tu!! Ukikohoa tabu!! Ha ha ha!! Siwezi kujiachia na afya mbaya kiasi hicho!! Junk foods at work!
teh..teh teh.Kwa hiyo siku hizi hivyo vitambi na vitumboo na makali makubwa ya wadada ni ARV?Sikujua...maana naona watu ghafla kitambi na wadada hao mahips duuuuu.Haya bana