Tzania
Member
- Jul 23, 2019
- 31
- 12
Ndungu Wana jamii forum nahitataji kujua kwa mwenye kufahamu mm ni mfugaji na nahitaji kufahamu soko la bata bukini nasikia wachina wananunua au kwa mwenye connection ya mahitel Anipatie nami nitampatia some pacent kama kifutajasho kwa Kila bata kuku au kanga au aina yoyo ya mifugo Ani dm