Wenye Division III wamepata chuo?

Wenye Division III wamepata chuo?

Unaongea usilo lijua mkuu...kuna binti alipata division one ya point 9 aliomba udom MD,pharmacy, nursing kozi zote amekosa....first & second batch sasa unavosema ivo nakua sikuelewi....lakini mungu kamsaidia amepata st.john


mm mwenyew kna jamaa zangu wawili wana 7 one, n wa PCB walomba udomb MD walkosa 1st batch,ila 2nd walpata
NA wengne wana 9wamekosa ad 2nd
 
MI nadhan kwa waliopata three mwaka huu na swala la kupata chuo ilikuwa inategemea na course uliyoomba, mfano kuna jamaa angu kaomba udom project planning kapata na 3yake, lkn Mimi na two yangu nilikosa pale, af kuna dem mmoja iv kaomba mwalim Nyerere sa kozi yake Human resources kapata wakati nit walimtema kwa coz zingin, pai mwingin hrm kapata nit Licha ya three yake ila three wengi wameenda mwalimu Nyerere
 
Khabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
Sehemu kubwa ya walioko vyuoni wana division III kati ya pointi 13-14!!! Ujue kuwa kila mwaka wanaoingia vyuo vikuu ni takribani 60,000 lakini waliopata div I&II hawazidi 20,000. Kwa hiyo zaidi ya 40,000 walipata III na wengine wameingia kwa sifa za diploma.
Ukweli ni kwamba kwenye First selection watu wenye III hupenya kiulaini kuliko wenye II. Maana wenye II hujikuta wam eomba kozi na vyuo vile vile walivyoomba wenye I, hivyo hujikuta wakipigwa kumbo!!! Kisha hulazimika kuomba awamu ya pili wakati wenye III wakijiandaa kuingia chuo tayari!!!
 
kama una ct off ya 4 poa
omba popot kozi au vyuo visivyo na ushindani
 
Back
Top Bottom