Wenye Division III wamepata chuo?

Wenye Division III wamepata chuo?

unaweza nitumia link yao
Mkuu kuambatanisha link kunqzingua kidogo sio mzoefu aiseh
ingia Google search sjut.go.tz au teku.go.tz au Jordan.go.tz info zinapatikana kwenyeenu ya latest info
 
Khabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
udahili umefungwa
 
Mdogo wangu amepata SUA lakini kwa 2nd round,awali alitemwaaa.III Wapo waliopata udahili lakini ni wengi kwenye round ya pili tuu
 
Udahili unaendelea kwa wale walio register accnt awal na hawakufanikiwa
ndio sio kwa waombaji wa mara ya kwanza
ila hata kama unataka kuomba chuo kipya unakubaliwa tu ilimradi uwe umekosa awamu ya kwanza na ya pili
 
Tatzo siyo Div, tatizo ni uchaguzi mkuu na sifa stahiki. Usikate tamaa japo ujasema umesoma combination gan ila nakusihi chagua coz zczojulikana san ila uwe na vgezo
 
Tatzo siyo Div, tatizo ni uchaguzi mkuu na sifa stahiki. Usikate tamaa japo ujasema umesoma combination gan ila nakusihi chagua coz zczojulikana san ila uwe na vgezo
Cha msng cuttng point...then na coz unayoomba e.g engineerng zinahtaj princpl ya phys na maths means D...so PCM D.E.D anaend means point 13 even D.S.D...point 14
 
Back
Top Bottom