26 number
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 337
- 133
Nilekebishe kidogo mkuu kama nimekosea sehem,huwa napenda kujifunza zaidi na huwa sipendezwi na mtu anaejivuna kwa kitu alichajaaliwa na mwenyezi MUNGU,ulichoandika ni.................. ipp kabisa
Yani unatetea huku unaponda