Wenye Division III wamepata chuo?

Wenye Division III wamepata chuo?

UDOM wamezoa balaa... yaan ingekuwa ni amri yao wangechukua hata div IV
Hicho chuo mnakisema vibaya mtandaoni lkn mm kila nikifatilia nakuta ndio the best growing University in East and Central Africa.
Na kinatajwa sana na mataifa mengine.

Nikiangalia top five best young Universities (below 15 years) in East and Central Africa naikuta UDOM

Nikiangalia
Large Universities in East and central Africa naikuta UDOM (the first,)

Nikiangalia top five ya Tanzania naikuta UDOM,

Nikiangalia admission nakuta UDOM inaongoza kwa highest enrollment,


Baadhi ya fani kama za education,
UDOM inatajwa kua na best product in East Africa ktk shahada za ualimu.
Top 5 za ualimu East Africa, Tz tuna chuo kimoja tu nacho ni UDOM.

Kiukweli siwez nkataja yote,

Lkn kubwa linalonishangaza ni kua; wakati UDOM ikionekana kuwatisha baadhi ya watu hata wakaichukia, still imekamilika kwa 40% pekee,

Kiukweli natamani nipate hoja kuntu juu ya kejeli zinazotolewa na baadhi ya watu juu ya UDOM, ni criticism zipi wanazozitoa na kwa hoja zipi?
Ningepata jibu la hili perhaps ningeelewa zaidi: Naomba kuelimishwa
 
Khabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
Ndio.
Zanzibar University. Na boom la serikali ya mapinduzi, halina longolongo!
 
Hicho chuo mnakisema vibaya mtandaoni lkn mm kila nikifatilia nakuta ndio the best growing University in East and Central Africa.
Na kinatajwa sana na mataifa mengine.

Nikiangalia top five best young Universities (below 15 years) in East and Central Africa naikuta UDOM

Nikiangalia
Large Universities in East and central Africa naikuta UDOM (the first,)

Nikiangalia top five ya Tanzania naikuta UDOM,

Nikiangalia admission nakuta UDOM inaongoza kwa highest enrollment,


Baadhi ya fani kama za education,
UDOM inatajwa kua na best product in East Africa ktk shahada za ualimu.
Top 5 za ualimu East Africa, Tz tuna chuo kimoja tu nacho ni UDOM.

Kiukweli siwez nkataja yote,

Lkn kubwa linalonishangaza ni kua; wakati UDOM ikionekana kuwatisha baadhi ya watu hata wakaichukia, still imekamilika kwa 40% pekee,

Kiukweli natamani nipate hoja kuntu juu ya kejeli zinazotolewa na baadhi ya watu juu ya UDOM, ni criticism zipi wanazozitoa na kwa hoja zipi?
Ningepata jibu la hili perhaps ningeelewa zaidi: Naomba kuelimishwa
Unazungumzia UDOM ipi?? hii tuijuayo wote hapa jamvini..?? Wahitimu wake % kubwa hawawezi kucompete na wenzao wa vyuo vingine.. ilifikia hatua na hata mwaka huu nimewahi ona tangazo wanataka AUDITORS kutoka MZUMBE BAF AU UDSM BCOM.. UDOM wanasoma BCOM lakni hawatakiwi hapo... pia makazini ukiondoa waalimu ambao walikuwa wanaajiriwa direct wanatemwa kwenye sahili nyingi sana.. hii tu inatosha kujua ni kwa kiasi gani chuo hakiko vizuri katika kuwandaa wanafunzi wake katika soko la ushindani kama wafanyavyo vyuo kama UDSM, SUA na MZUMBE... Product nyingi za UDOM hazijiwezi kabisa..
 
Ndio div3 but minimum entry requirements is to principals pass uwe na d mbili
 
Udom ni Chuo kikuu cha Kata mradi Uwe mtanzania kinachukua
Acha kukariri, fanya simple survey upate uhalisia wa UDOM na selection ya mwaka huu. Kweli UDOM ni kikubwa na kinahitaji watu lkn kimezingatia vigezo ndyo maana hata wenye division one wamepigwa chini.
 
Khabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
Hawaangalii Division Wanaangalia Cut Point, Mdogo Wangu Ana III Ila Amechaguliwa Vyuo Vinne Kati Ya Vitano Alivyoomba Awamu Ya Pili
 
Acha kukariri, fanya simple survey upate uhalisia wa UDOM na selection ya mwaka huu. Kweli UDOM ni kikubwa na kinahitaji watu lkn kimezingatia vigezo ndyo maana hata wenye division one wamepigwa chini.
Ilikuwa ni utani tu hata mimi mtoto wangu amepigwa chini na division two yake bahati nzuri amepata Chuo kingine
 
hasa jaman mbona nikifungua website ya vyuo nakuta bado hawajaruhusu
 
Habari wakuu
Eti bachelor of science in procurement and industry inahusiana na nini??
 
Unazungumzia UDOM ipi?? hii tuijuayo wote hapa jamvini..?? Wahitimu wake % kubwa hawawezi kucompete na wenzao wa vyuo vingine.. ilifikia hatua na hata mwaka huu nimewahi ona tangazo wanataka AUDITORS kutoka MZUMBE BAF AU UDSM BCOM.. UDOM wanasoma BCOM lakni hawatakiwi hapo... pia makazini ukiondoa waalimu ambao walikuwa wanaajiriwa direct wanatemwa kwenye sahili nyingi sana.. hii tu inatosha kujua ni kwa kiasi gani chuo hakiko vizuri katika kuwandaa wanafunzi wake katika soko la ushindani kama wafanyavyo vyuo kama UDSM, SUA na MZUMBE... Product nyingi za UDOM hazijiwezi kabisa..
Mkuu chuki kama hii Kama ingekuwa mimba, ungezaa Adolf Hitler..!
 
Unaongea usilo lijua mkuu...kuna binti alipata division one ya point 9 aliomba udom MD,pharmacy, nursing kozi zote amekosa....first & second batch sasa unavosema ivo nakua sikuelewi....lakini mungu kamsaidia amepata st.john
Hafuatilii taarifa za habari, hizo faculty zote zimefutwa huko UDOM
 
Unazungumzia UDOM ipi?? hii tuijuayo wote hapa jamvini..?? Wahitimu wake % kubwa hawawezi kucompete na wenzao wa vyuo vingine.. ilifikia hatua na hata mwaka huu nimewahi ona tangazo wanataka AUDITORS kutoka MZUMBE BAF AU UDSM BCOM.. UDOM wanasoma BCOM lakni hawatakiwi hapo... pia makazini ukiondoa waalimu ambao walikuwa wanaajiriwa direct wanatemwa kwenye sahili nyingi sana.. hii tu inatosha kujua ni kwa kiasi gani chuo hakiko vizuri katika kuwandaa wanafunzi wake katika soko la ushindani kama wafanyavyo vyuo kama UDSM, SUA na MZUMBE... Product nyingi za UDOM hazijiwezi kabisa..
Ndugu, hivi unatambua; ubaguzi ktk maswala ya ajira kwa misingi ya chuo ni kosa kisheria?

Hilo tangazo la tarehe ngapi?

By the way mm sikubalian na wewe ata kidogo.

Nkutolee mifano michache:
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna maafisa wa JWTZ waliapishwa kwa idadi ni 105 ambapo kati yao 36 wanatoka UDOM.
Ingia website ya chuo utaiona hiyo.

Mwaka huu pia, ktk shindano la ubunifu wa kimtandao Africa,
Kati ya vijana 5 best Africa, 2 wametoka UDOM.

Binafsi nimeshiriki ktk academic research, nakumbuka kuna chuo cha ualimu Geita kina 80% graduates wa UDOM wakiwa tutors.


Ktk mafunzo kwa vitendo mwaka Jana,
Kati ya comments 21 za headmasters wa Mwanza, 17 walipongeza vijana wa UDOM,
Kwa Dar, kati ya 31, 23 walipongeza UDOM.

Eb naomba nipe analysis yako,
Labda naweza nkajifunza kitu.

Kumbuka, ukisema "HAKIFAI" hiyo haitoshi bali uweke data za kuonesha au kuprove hoja yako.

Nataman sana kupata data hizo
 
Back
Top Bottom