pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,974
- 4,270
Kwa walikosa:
Ombeni vyuo visivyo na ushindani e.g muslim university,stela maris
Ombeni vyuo visivyo na ushindani e.g muslim university,stela maris
Nilekebishe kidogo mkuu kama nimekosea sehem,huwa napenda kujifunza zaidi na huwa sipendezwi na mtu anaejivuna kwa kitu alichajaaliwa na mwenyezi MUNGU,
Three ya ngapi sasa coz inategemeana na cutting point za mtu mfano 13 three anaingia chuo chochote bila tatzoKhabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante