sanahimogita
Member
- Oct 8, 2017
- 94
- 71
Umesema kweli Mkuu,Mkuu chuki kama hii Kama ingekuwa mimba, ungezaa Adolf Hitler..!
Alaf Mara nyingi ukifatilia wanaoponda UDOM ni wanafunz wa UDSM, vyuo vingine ni Mara chache sana.
Hii hua inanishawishi kuamini kua hicho chuo kinakuja juu sana ndio maana waliokua bora enz hizo wanaumia na kuchukia kuona kuna wengine wako vzr na wanakua vzr zaid yao
Alafu ukisoma comments zao zote hua hawatoi hoja zaid ya matus, na wakitoa hoja ni hoja za kusadikika/kubuni na zisizo na uthibitisho
Apo huyo bwana nimemwambia huyo bwana anipe hoja aliyonayo kuthibitisha ubovu wa UDOM,
Subiri uone atakachoandika.