UDOMKhabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
Ufagizicoz gan
omba diplomaUfagizi
Udom...Khabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
Kjan uliza uambiwe mwaka huu hata hiyo Udom watu wanakosaUDOM
Namfaham mmoja kapata SUA course ya mambo ya home sijui niniKhabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree,
naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi.
Asante
Hahah mkuu mungu anakuona!UDOM wamezoa balaa... yaan ingekuwa ni amri yao wangechukua hata div IV
HahahaUDOM wamezoa balaa... yaan ingekuwa ni amri yao wangechukua hata div IV
Unaongea usilo lijua mkuu...kuna binti alipata division one ya point 9 aliomba udom MD,pharmacy, nursing kozi zote amekosa....first & second batch sasa unavosema ivo nakua sikuelewi....lakini mungu kamsaidia amepata st.johnUDOM wamezoa balaa... yaan ingekuwa ni amri yao wangechukua hata div IV
Sema watu hawajui mm nna rafk yang alikuwa na dvs 1 ya 8 PCB MD kakosa awamu zoote Udom sas hapo ndo useme nn??Unaongea usilo lijua mkuu...kuna binti alipata division one ya point 9 aliomba udom MD,pharmacy, nursing kozi zote amekosa....first & second batch sasa unavosema ivo nakua sikuelewi....lakini mungu kamsaidia amepata st.john
Udom ni Chuo kikuu cha Kata mradi Uwe mtanzania kinachukuaUDOM wamezoa balaa... yaan ingekuwa ni amri yao wangechukua hata div IV
Acha uzushi hakipo kibora liende kiiivyoUDOM wamezoa balaa... yaan ingekuwa ni amri yao wangechukua hata div IV