Wenje anafanya mkutano Nyamagana

Wenje anafanya mkutano Nyamagana

yungsteval

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
309
Reaction score
109
Niko Mwanza hapa huyu jamaa kafunga barabara as if Obama ndo amekuja Mwanza, yuko viwanja vya Mbugani sasa watu wamefurika hatari.

Najua wapo walio Mwanza wataleta picha na nini alikizungumza coz mimi nilikuwa napita tu na mishe zangu.
 
Ni kweli mkuu hujaongopa na kama haki itatendeka CCM wasahau jimbo la Nyamagana
 
Masha anarudi hapo wenje mliberal Ajiandae
 
Niko mwanza hapa huyu jamaa kafunga barabara as if obama ndo amekuja mwanza......yuko viwanja vya mbugani sasa watu wamefurika hatari....
Najua wapo walio mwanza wataleta picha na nn alikizungumza coz mimi nilikuwa napita tu na mishe zangu

Tunashukuru sana kwa kutupatia taarifa mkuu
 
Masha anarudi hapo wenje mliberal Ajiandae

Kilicho muondoa masha uchagzi uliopita sasa hivi ndio kimenawili kuliko hawali,hivyo aendelee kuvua dagaa
 
Walikuwa wanashangilia wenyewe kwa wenyewe pale dodoma wanadhani na wananchi ni mafisadi wenzao ngoja waje field watajua uhalisia. Hakuna cha bulldozer wala nini, fisadi ni fisadi tu hata akiwa malaika. Ccm hata waje na malaika arakuwa fisadi tu!!!!!
 
duh! jamaa anapendwa aisee. nyamagana n ngome ya wenje milele
 
Kanda ya Ziwa ni CDM kila kona na ndo sababu ya CCM kumuweka Magufuli kwa ajili ya kuikomboa Kanda hii.
 
Masha anarudi hapo wenje mliberal Ajiandae

Sahau..haitokaa itokee,Wenje anavunja rekodi nyingine ya kulichukua jimbo kwa mara ya pili
Wenzako leo walikuwa wanajificha
 
Nilikuwepo,kijana anatishaaa,Mkosamali kamgusa kidogo tu Magufuli,umati ukapagawa,ccm wajipange sana,ukanda hautasaidia
 
Wana jf,leo hali ya mwitikio wa watu ktk viwanja vya Mbugani P/School,ni dalili tosha kuwa wapinzani wa Wenje ktk jimbo la Nyamagana wasijisumbue kifanya kampeni wakitegemea kuwa wataweza kupambana na huyu jamaa! Wenje anatosha kabisa kuendelea kuliongoza jimbo hili kwani ameweza kutoa mchanganuo wa matumizi ya MFUKO WA JIMBO toka amekuwa Mbunge!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom