Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,269
- 50,060
Mbaya zaidi kugegeda hajui.Sio handsome na huna hela unategemea nini.
Mbaya zaidi kugegeda hajui.Sio handsome na huna hela unategemea nini.
Aisee!Mbaya zaidi kugegeda hajui,
Kwanza kijana mdogo kama wewe huna majukumu unakuwaje na demu mmoja?Sijuhi na Tatizo Gani na Suala la mahusiano ya kimapenzi,maana nakumbana na changamoto kwa kiasi Kikubwa.Mwezi wa Saba tar 05 niliandika Uzi ukielezea Mkasa Wangu wa kimahusiano
Afanye biashara ipi nyingine ?Achana na wanawake, Title ya uzi yako ni jibu tosha.
Huwa sijaribiwiMh itabidi nijaribu kwako kama hutojali
We pambana na hali yakoBhasi itabidi iwe kweli sio kujaribu
Shukrani KakaBro achana na Hawa wanao kukandamiza kuwa unashida sehemu .... Bro no body is parfect.... Haya unayo yapitia ni kawaida na ni Aina ya mapenzi ya Sasa ndio yalivyo.
Hapa kikubwa ni wewe kubadili akili yako na iendane na Aina ya mapenzi ya sasa.na utakua na amani ya moyo wako na hayo yote unayo yapitia utayaona ya kawaida Sana
Ambao hatujasoma kozi za hovyo hatukuelewiKama unakumbuka zile concepts za statistics kidogo, apply non probability sampling ambayo mojawazo inaitwa multi-stage sampling. Tongoza wanawake 16 wa sehemu mbali mbali Tz na nje ya Tz.
Kila baada ya stage 1 ya mahusiano unawadondosha wachache, Hadi ubaki na wanne wenye sifa za kuwa mke. Alafu Hao wanne unawafanyia classical observation Hadi ubaki na mmoja.
Unamwambia mwenzio asikate tamaa kwenye ujinga..??Kaka kweli unateswa sahz ndo umeandika uzi huu pole mkuu ila hauko peke yako wenzio tunaachwa kwa kejeri na dharau na bado atukomi usikate tamaa mzee wa kazi kaza sasa hv kua na chupi tofauti tofauti utarudi na mrejesho mpya.