Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
Habari za Sabato!

Kwa kweli Sisi wengine tulishaweka miiko na mstari kuwa Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli wala asiyeweza kujinunulia vocha huyo hatuwezi ku-date naye.
Kwanza hatuamini kabisa kuwa Mwanamke mrembo na mzuri anaweza kukosa nauli au vocha. Hilo siwezi kuamini.

Hiyo imetusaidia Sana kuepukana na Wanawake matapeli, Almaarufu wala nauli, wapiga mizinga ya kitoto toto, Wanawake wenye fikara za kimaskini hivi.

Mtoto yupo Arusha au Mwanza au Nairobi mnawasiliana anakuambia likizo anakuja, anajilipia nauli mwenyewe anakuja.

Hao ndio wasichana na Wanawake ambao Kwa kweli ninaweza kuingia nao kwenye mahusiano. Mnakaa mnajadili na mnapiga Stori za maana, sio unakaa na Mwanamke anawaza akiondoka utampa shilingi ngapi. Hizo sio type za Sisi Watibeli.

Vijana hasa ninyi vijana wadogo ambao mmetoka familia Duni, Vijana mnaojitafuta, chukueni ushauri wangu, utawasaidia pakubwa. Hakikisheni mnachukua Wanawake wanaowahitaji ninyi kimapenzi na kimahusiano. Wenye uwezo wa kujilipia Bills ndogondogo. Achaneni na Kutafuta Kupe na kunguni WA kuwanyonya Damu. Shauri yenu.

Asije Mwanamke Maskini akakuletea mawazo yake ya kimaskini aliyoyarithi Huko kwao, kwamba ati wewe mwanaume ndio unatakiwa umenyeke kumtunza, sijui umtumie nauli, sijui vocha sijui Pesa ya Kula, ukiona demu wako anamawazo ya hivyo jua huyo ni Maskini na atakuletea umaskini nyumbani kwako. Huo unaitwa umaskini wa kurithi. Lazima ufe mapema wewe. Lazima uso wako usiwe na Nuru wewe. Lazima ufubae, yaani huo ndio Utapeli ambao Watibeli hatutauruhusu.

Usije ukakubali kuwa mtumwa WA MTU mwingine Kwa vigezo vya kijinga ATI sijui wewe ni Mwanaume. Tena Kwa MTU ambaye hujamuoa, na hata kama umemuoa lakini ni MTU mbinafsi.
Yaani wewe ndio usulubike? Watibeli hatupo hivyo.

Yaani usulubike Wakati kuna wanawake kibao wanaojiweza, wanaoweza kukupenda na mkaenjoi Maisha Kwa kusaidiana wote pasipo ubinafsi.

Yaani upo na Mwanamke ambaye hata hajawahi kukusaidia chochote zaidi ya wewe ndio kuwa msukule wake kisa akupe ngono. Thubutu!

Vijana, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda huwezi kuteseka, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda atapata nauli na vocha ya kukutafuta tuu.
Vijana eleweni kuwa ukiona Mwanamke wako ni mbinafsi anataka tuu wewe ndio umhudumie ujue huyo hakupendi, jua wewe ni mtumwa wako.

ATI Mwanamke anakuambia kama usiponipa hiki Mimi na wewe basi, na wewe unaanza kuhangaika. Mpumbavu wewe!

Mbona Sisi hao Wanawake hawathubutu kusema hivyo. Usipende kupelekeshwa kijinga jinga!
ATI Mwanamke anakuambia, mwanaume gani huna Pesa alafu lenyewe linalokuambia kazi halina, Pesa Hana, lakini anatumia maneno yake kukuadhibu wewe ili umtumikie. Nawe Kwa ujinga wako na kutokujiamini kwako unajitutumua ili upate Sifa zake. Aliyekuambia Sifa za Mwanamke Maskini zitakusaidia ni Nani?

Umaskini wa fikra,
Umaskini wa Mali
Umaskini wa Roho.

Vijana wangu, kuweni Wanaume. Na uanaume hautatokana na Maoni ya Wanawake juu yako.
Uanaume ni kujitambua, kujua nafasi yako, kujua nini chakufanya. Kuishi kifalme na sio kutumikishwa kama Lofa. Pumbavu!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.

Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?

Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,

A Man is'

  • Protector.
  • Provider.

Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.



Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.

Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)

Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......

Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.

Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?

Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
 
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.

Mwanaume hawezi kuwa mtumwa WA Mwanamke.
Kitendo cha kumhudumia Mwanamke mbinafsi Kwa kigezo cha kumpenda moja Kwa moja kinaonyesha mwanaume hajiamini na NI mtumwa wa huyo Mwanamke.

Mwanaume hata awe na Pesa au utajiri wa kiwango gani, kumsaidia Mwanamke kunaendana na tabia za Mwanamke husika. Na hapa nazungumzia Tabia njema.
 
Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.

Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.

Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
 
Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.

Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.

Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela

Hizo ndio Akili za Maskini.
Mwanaume lazima uwe na uwezo wa kutafuta Pesa bila shinikizo la Wanawake.

Mwanamke lazima uwe na uwezo wa kumfanya akupende na kukutii hata kama hauna Pesa.
 
Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.

Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.

Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
Uongo huu eti mwanamke ndo akufanye utie bidii kwahiyo maisha yako PASIPO mwanamke kukuombaomba Hela uwezi tia juhudi
 
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba.Wanaume tutafute hela..na ukijaliwa kupata kiasi panga na kuchagua mwenyewe starehe utakayo....kama ni mwanamke tafuta unaendana naye....kama huna hela za kutosha weka budget kali....tafuta wanawake watakaojiongeza- kama uwezo wa kutuma nauli hata kama ni London upo..na nafsi yako inapenda na unajisikia amani-fanya tu...

Mwisho wa siku maisha haya yote ni kujilisha upepo..yanapita....tufanye mambo yanayotupa amani....na yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Unaweza ukakaza ukaacha mali za kutosha watoto wako wa kiume na kike wakatapanya-mali zikauzwa hata hujaoza kaburini...
Maisha hayana formula haya -FANYA KILE ROHO YAKO INAAMANI
 
Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.

Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.

Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela

Babu umeongea jambo zuri leo, hivi ulisema una arosto ya ugoro? Nipe namba nikutumie uvute kiko
 
Habari za Sabato!

Kwa kweli Sisi wengine tulishaweka miiko na mstari kuwa Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli wala asiyeweza kujinunulia vocha huyo hatuwezi ku-date naye.
Kwanza hatuamini kabisa kuwa Mwanamke mrembo na mzuri anaweza kukosa nauli au vocha. Hilo siwezi kuamini.

Hiyo imetusaidia Sana kuepukana na Wanawake matapeli, Almaarufu wala nauli, wapiga mizinga ya kitoto toto, Wanawake wenye fikara za kimaskini hivi.

Mtoto yupo Arusha au Mwanza au Nairobi mnawasiliana anakuambia likizo anakuja, anajilipia nauli mwenyewe anakuja.

Hao ndio wasichana na Wanawake ambao Kwa kweli ninaweza kuingia nao kwenye mahusiano. Mnakaa mnajadili na mnapiga Stori za maana, sio unakaa na Mwanamke anawaza akiondoka utampa shilingi ngapi. Hizo sio type za Sisi Watibeli.

Vijana hasa ninyi vijana wadogo ambao mmetoka familia Duni, Vijana mnaojitafuta, chukueni ushauri wangu, utawasaidia pakubwa. Hakikisheni mnachukua Wanawake wanaowahitaji ninyi kimapenzi na kimahusiano. Wenye uwezo wa kujilipia Bills ndogondogo. Achaneni na Kutafuta Kupe na kunguni WA kuwanyonya Damu. Shauri yenu.

Asije Mwanamke Maskini akakuletea mawazo yake ya kimaskini aliyoyarithi Huko kwao, kwamba ati wewe mwanaume ndio unatakiwa umenyeke kumtunza, sijui umtumie nauli, sijui vocha sijui Pesa ya Kula, ukiona demu wako anamawazo ya hivyo jua huyo ni Maskini na atakuletea umaskini nyumbani kwako. Huo unaitwa umaskini wa kurithi. Lazima ufe mapema wewe. Lazima uso wako usiwe na Nuru wewe. Lazima ufubae, yaani huo ndio Utapeli ambao Watibeli hatutauruhusu.

Usije ukakubali kuwa mtumwa WA MTU mwingine Kwa vigezo vya kijinga ATI sijui wewe ni Mwanaume. Tena Kwa MTU ambaye hujamuoa, na hata kama umemuoa lakini ni MTU mbinafsi.
Yaani wewe ndio usulubike? Watibeli hatupo hivyo.

Yaani usulubike Wakati kuna wanawake kibao wanaojiweza, wanaoweza kukupenda na mkaenjoi Maisha Kwa kusaidiana wote pasipo ubinafsi.

Yaani upo na Mwanamke ambaye hata hajawahi kukusaidia chochote zaidi ya wewe ndio kuwa msukule wake kisa akupe ngono. Thubutu!

Vijana, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda huwezi kuteseka, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda atapata nauli na vocha ya kukutafuta tuu.
Vijana eleweni kuwa ukiona Mwanamke wako ni mbinafsi anataka tuu wewe ndio umhudumie ujue huyo hakupendi, jua wewe ni mtumwa wako.

ATI Mwanamke anakuambia kama usiponipa hiki Mimi na wewe basi, na wewe unaanza kuhangaika. Mpumbavu wewe!

Mbona Sisi hao Wanawake hawathubutu kusema hivyo. Usipende kupelekeshwa kijinga jinga!
ATI Mwanamke anakuambia, mwanaume gani huna Pesa alafu lenyewe linalokuambia kazi halina, Pesa Hana, lakini anatumia maneno yake kukuadhibu wewe ili umtumikie. Nawe Kwa ujinga wako na kutokujiamini kwako unajitutumua ili upate Sifa zake. Aliyekuambia Sifa za Mwanamke Maskini zitakusaidia ni Nani?

Umaskini wa fikra,
Umaskini wa Mali
Umaskini wa Roho.

Vijana wangu, kuweni Wanaume. Na uanaume hautatokana na Maoni ya Wanawake juu yako.
Uanaume ni kujitambua, kujua nafasi yako, kujua nini chakufanya. Kuishi kifalme na sio kutumikishwa kama Lofa. Pumbavu!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Jukumu la kulea familia ni la mwanaume tangu mwanzo , labda kulea demu sjui mpenzi sjui mchumba Hilo ndo tatizo , Ila kulea familia ni jukumu la mwanaume na ndo aliyepewa akili na uwezo wa kuyakabili mazingira magumu kuwa fursa...ukitaka mke afanye hyo kazi Mzee ataishia kugawa mbunye tuu , hawanaga huo uwezo hata kidog
 
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba.Wanaume tutafute hela..na ukijaliwa kupata kiasi panga na kuchagua mwenyewe starehe utakayo....kama ni mwanamke tafuta unaendana naye....kama huna hela za kutosha weka budget kali....tafuta wanawake watakaojiongeza- kama uwezo wa kutuma nauli hata kama ni London upo..na nafsi yako inapenda na unajisikia amani-fanya tu...

Mwisho wa siku maisha haya yote ni kujilisha upepo..yanapita....tufanye mambo yanayotupa amani....na yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Unaweza ukakaza ukaacha mali za kutosha watoto wako wa kiume na kike wakatapanya-mali zikauzwa hata hujaoza kaburini...
Maisha hayana formula haya -FANYA KILE ROHO YAKO INAAMANI

"Fanya kile Roho yako inaamini"
 
Back
Top Bottom