Nimeangalia tena kuona kama hili swali lina chembe yoyote ya utata,
Kweli katika hayo mawili umeshindwa kupata kipi ni nambari one na kipi kinafuatia??
Mie ninavyoamini, familia ni nambari one, tena pia ni nambari mbili, tatu na hata nne!!
Kwa sababu mleta mada hajatuelza kama tuchague kuwa na kimoja peke yake, kwa hiyo unaweza kuwa na wingi wa kimoja na hilo jingine likawa kidogo. Hivyo, nikiwa na familia yangu iko stable, sitashindwa kutafuta kidogo kidogo cha kutuweka mjini!!
Kama ni kipato cha kunipa mafweza ya kumwaga (kama yale ya EPA) at the expense of my family..please hicho kipato niko tayari kukikosa!!
Babu DC!!
Mi masikini mkosefu... money does not make happiness, but it can contribute largely on buying it. 🙂
Mi masikini mkosefu... money does not make happiness, but it can contribute largely on buying it. 🙂
kila ninapoondoka na kuwaacha, mwezi mzima nakuwa na homesickness,
tena ile ya kujifunika gubi gubi kutotaka kuongea na yeyote...
...muda ukipita najipa moyo, this is for the last time...!" ila pesa nayo mwanaharamu bana....
"work like a donkey to live like a king![/FONT][/SIZE]"[/COLOR]
Mhhh...sasa hapo kwa muda mrefu kiasi hicho, basi inakuwa ngumu kweli! Mimi nafikiri pia cha muhimu, familia ina mipango gani? Sasa kweli MBU...15 yrs away from your family???!!! Hapana jamani...sasa hapo si ndo unakaribisha majaribu mengine, halfu unamsingizia shetani! Lakini iwepo mipango ya familia!
Madame KH, kuwa mbali na familia kwa kipindi cha miaka 5 mpaka 10 ni kipindi kirefu sana kusema kweli na unaweza ukaingia kwenye majaribu mazito sana. Kama ndio unaiona familia kila baada ya miezi 6-8 (kwa mwezi mmoja) basi katika kipindi cha miaka 10 utakuwa umeiona familia yako kati ya miezi 15 mpaka miezi 20.
Inahitaji moyo sana maana hata inaweza kuwa chanzo kikubwa kwa ndoa kuvunjika. Watu wanaishi nyumba moja bado kuna matatizo chungu nzima katika mahusiano, sasa fikiria kuishi mbali mbali kwa muda wa miaka 10 au hata zaidi na kuonana kila baada ya miezi 6 mpaka minane tena kwa mwezi mmoja tu!!!!! Mie sikubaliani na hili.
Madame KH, kuwa mbali na familia kwa kipindi cha miaka 5 mpaka 10 ni kipindi kirefu sana kusema kweli na unaweza ukaingia kwenye majaribu mazito sana. Kama ndio unaiona familia kila baada ya miezi 6-8 (kwa mwezi mmoja) basi katika kipindi cha miaka 10 utakuwa umeiona familia yako kati ya miezi 15 mpaka miezi 20.
Inahitaji moyo sana maana hata inaweza kuwa chanzo kikubwa kwa ndoa kuvunjika. Watu wanaishi nyumba moja bado kuna matatizo chungu nzima katika mahusiano, sasa fikiria kuishi mbali mbali kwa muda wa miaka 10 au hata zaidi na kuonana kila baada ya miezi 6 mpaka minane tena kwa mwezi mmoja tu!!!!! Mie sikubaliani na hili.
Familia na kipato haviko katika mizania moja.
Familia ina-overule kipato, familia inaweza kufanya maamuzi ya aina na eneo la kipato.
Kama familia ama mazingira ya familia yanamruhusu baba/mama kwenda kuwajibika mbali nao, basi na aende, sivyo atafute njia nyingine, hata ya kipato kiduchu.
Babu DC kasema vema, familia ni second to none.
Umenifurahisha hiyo homesickness ya kujifunika gubigubi na kuji-isolate. I thought I was abnormal,lol!
Sasa hapo kwenye punda,tafadhali jirejeshe kwenye ule uzi wako wa 'dying to live', na ujiulize lini utaweza kuishi like a king! Moskwito, jana nilienda ku-donate blood kwa ajili ya rafiki, he is not even 30 yrs old and has leukemia! Mfalme wewe sijui utaanza kufurahia lini, there must be a stop!
Life is all about calculated risks. Nakumbuka baba yangu used to leave home 5am kila siku, akiita kusalimia kila mlango kabla hajaondoka. Lakini alirudi 7 pm kila siku, na dinner wa a family affair. Hata kama unaumwa utakuja kukaa na uji wako wa limao, ili uzungumze na familia. I mean calculate ur risks mbu but don't overdo. Ya leo sio ya jana, unawezajikuta una mahela, by the time umerudi home mwenza is a total stranger na wanao huwezi kuconnect nao. Washakuwa wakuubwa, you don't even know their hobbies unarudi hapa kuomba ushauri wa besdei na xmas gifts! Just don't OVERDO. Sijui kura yangu hata inaangukia wapi, manake na wewe na poll yako kama uchaguzi wa chama kimoja,kha!
Mkuu, happiness haitegemei pato. kweli kuna minimum, ila mtu akianza kwenda mbali na familia kwa sababu anataka kununua a yacht and a second mansion atakua anajitafutia raha yake mwenyewe, sio ya familia tena.
That is intelligent of you Mbu.... Wajua wazi ukiweka zoote, wooote watachagua zote... Hapa sina jinsi ombi langu limekataliwa inabidi ni vote family.....
Alafu Mbu do you know wengi ambao husema Money is not everything they have loads of it? lol ever wondered hilo?
Mi masikini mkosefu... money does not make happiness, but it can contribute largely on buying it. 🙂
....am a living proof, earning loads lakini zimenifanya mtumwa...
familia haina furaha, nami sina furaha...Be Blessed dada zangu.
I hope maamuzi yangu hayawi influenced kwa ninayotaka kuyasikia,
bado nakaribisha proposing & opposing arguments.
...nisaidieni mawazo wanandugu.
Baina ya kipato na familia kwa mtazamo wako, kipi unakipa uzito mkubwa kuliko kingine?...
...kabla wenye muono 'tofauti' hamjanitoa jicho, kipato namaanisha
kazi yenye kipato kikubwa inayonilazimu nikae mbali na familia kiasi cha
kuonana nao wakati wa likizo ya mwezi mmoja, kila baada ya miezi sita au nane.
Mazingira ya kazi hayaruhusu kuishi pamoja na familia.
....am a living proof, earning loads lakini zimenifanya mtumwa...
familia haina furaha, nami sina furaha...
I hope maamuzi yangu hayawi influenced kwa ninayotaka kuyasikia,
bado nakaribisha proposing & opposing arguments.
AshaDii, mimi na wewe tumesewa sawa. Kwanza hapo juu nimemwambia The Boss kua kuna minimum (baba na mama wanadecide hiyo minimum yao). ila mtu akisha kua na hiyo minimum anatakiwa aipe familia kipaumbele. Akiendelea kutafuta pesa na kuitupa familia basi anajitafutia yeye mwenyewe.Mwali I completely agree with you.... But naomba ujue kua hata Lack of money can destroy happiness ndani ya nyumba... Hata kama familia wapendana na kushirikiana vipi kama hamna kabisa pesa ya kujitosheleza in the long run, tabia ambazo tumejaliwa na Mungu huanza ku sip thru.... Vitu kama selfshness, wivu, uchoyo huanza kujitokeza taratibu... Kitu ambacho chaweza vunja amani kabisa ndani ya familia.... Na ukiangalia sababu za msingi ni Lack of money or sufficient money....
kwa wale ambao wanaongozwa na maono ya walio wengi i.e wengi wape, na ambao maisha yanakwenda kama desturi, i mean kawaida kwao inakuwa sheria, wana haki ya kusema familia kwanza.
Kwa maisha ya sasa, kwa mtu mwenye discipline ya kuhahakisha amewekeza vya kutosha kabla ya kustaafu na kumuwezesha kustaafu mapema bila kujeorpadise welfare ya familia yake, ataweka kipaumbele kwenye KIPATO.
AshaDii, mimi na wewe tumesewa sawa. Kwanza hapo juu nimemwambia The Boss kua kuna minimum (baba na mama wanadecide hiyo minimum yao). ila mtu akisha kua na hiyo minimum anatakiwa aipe familia kipaumbele. Akiendelea kutafuta pesa na kuitupa familia basi anajitafutia yeye mwenyewe.
Tena nikarudi kusema kua money is not happiness, but it contributes largely (na ndio umesema hapo juu naona)
Hivi unajua umasikini sio ukosefu wa pesa tu? mi nadhani ni 30% ukosefu wa pesa, na 70% poverty culture. ha hiyo ni alama kubwa kiasi kwamba hata ukija kupata hela baadae badu unakua na mawazo ya kimasikini masikini, unaashindwa kua na familia, pia ukashindwa kuzienjoy.