David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 3,562
- 8,415
maisha
Hapa najifunza kitu, vijana wengi tumekuwa tukishabikia hoja bila kui analyse, mkuu angesema na alternative ingekuwa bora zaid
Kuna wengine at 25 wana maisha bora sana, nyumba, viwanja, magari, vitega uchumi n.k. kweli maisha yanatofautiana. Lakini vile vile background inasaidia.
Dah.. Ungejaribu hata ku-summarize kidogo basi...
Sasa hapo umetoa maoni, ushauri au dukuduku?
Mkuu hapo mwisho sijakuelewa ni background ipi unaisema?
At 40 ukamilishe yote hayo kwa hapa TZ bado. Labda sijui uwe umezaliwa ktk familia bora ama ya kati flani hv. Nje ya hapo at 40 utakuwa bado hujakamilisha hayo kwa asilimia zaidi ya nusu.
Hii copy and paste kutoka kwa ray
kwa nn usiseme hyo ya ray n copy na paste ya huyu jamaa
Actually msemo sahihi ni kuwa 'life begins at 50' na siyo 40.
At 50 utakuwa umeshajijenga kimaisha, umeshasomesha watoto wako na labda hata kuozesha, kwa hivyo huna majukumu makubwa ya kifamilia.
At 50 ndiyo unaanza kutanua kwa kwenda vacation na matembezi kwani utakuwa na fedha na muda mzuri wa kupanga ratiba zako bila ya bugudha ya watoto (ijapokuwa kwa huku kwetu extended families bado zitakuwa zinakusumbua kwa majukumu)
Ndo hapa naona udhaifu wa vijana si kila kitu cha kuambiwa fursa unaiona mwenyewe kulingana na maisha unayoishi,kulingana na upana wako wa kufikiri na motivations ndani yako.
Fursa si za kufundishwa ndo maana tunaishia kuigana Fulani kalima ngoja na Mimi nikalime mwisho wa siku unajikuta umeanguka.
Tengeneza fursa kulingana na wewe mwenyewe.
post nzuri sana hii ila kuna vijimaringo flani ivi ndani yake.
maisha ni maisha tu.
safari iendele.....
acha kudanganya nimeanza kwenda vacation na miaka 18 kila mwaka nimejiwekea kwenda nchi zisizopungua 5.
Ni malengo na kuweka akiba ila kwa wabongo ni ngumu kwa sisi cash za dolla ni kitu kidogo