mbangalage
Member
- Aug 13, 2015
- 11
- 4
Mkuu, hiyo ni kweli tupu. Somo safi sana
Dah.. Ungejaribu hata ku-summarize kidogo basi...
Sasa hapo umetoa maoni, ushauri au dukuduku?
acha kudanganya nimeanza kwenda vacation na miaka 18 kila mwaka nimejiwekea kwenda nchi zisizopungua 5.
Ni malengo na kuweka akiba ila kwa wabongo ni ngumu kwa sisi cash za dolla ni kitu kidogo
HahahaJiwe limetupwa gizan bila shaka