Wema Sepetu: Ni kweli nipo na Diamond

Wema Sepetu: Ni kweli nipo na Diamond

yaani hizi habari za blog za udaku unaleta huku zinatujazia server tu!
 
Hizi habari za udaku peleka uswazi. Hapa tunajadili issues za msingi..
 
Ashakosa kazi Clement ashamchanganya akilii
 
Mwanadada Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006 ambaye kwa sasa anaendesha kampuni yake binafsi iitwayo Endless Fame inayojishughulisha zaidi na utengenezaji wa Filamu mbalimbali.

Kupitia kipindi cha Leo tena February 28 Wema Sepetu amekubali kutaja sifa za mwanaume anayempenda kuwa na mvuto kwake,swali lililoulizwa na Watangazaji wa kipindi hicho ni kuhusu mwanaume wa sifa gani anayedhani anaweza kuolewa nae ambapo Wema alijibu “Kuolewa sio shida je huyo mwanaume nampenda,maana naweza kuja kuchumbiwa lakini nisimpende”

“Mimi nampenda Mwanaume mweusi,wanaume weupe sio kwamba sijawahi kuwa nao lakini nakuwa sina mzuka nao”.Alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Diamond amekiri kwa kusema’Kweli niko na Nasib - Diamond na nadhani muda huu kutakua na utulivu ndani yake,ule utoto tuliokua tunafanya nadhani ulikua utoto na imekua Power Couple toka mwaka 2010 kwa hiyo tuna ni miaka 4 sasa,kwa sasa tumeamua kuwa serious’.
Hebu amtafute Lupita Ngong'o ili ampe maujanja ili nae aende Hollywood kuliko upuuzi huu
 
Mwanadada Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006 ambaye kwa sasa anaendesha kampuni yake binafsi iitwayo Endless Fame inayojishughulisha zaidi na utengenezaji wa Filamu mbalimbali.

Kupitia kipindi cha Leo tena February 28 Wema Sepetu amekubali kutaja sifa za mwanaume anayempenda kuwa na mvuto kwake,swali lililoulizwa na Watangazaji wa kipindi hicho ni kuhusu mwanaume wa sifa gani anayedhani anaweza kuolewa nae ambapo Wema alijibu "Kuolewa sio shida je huyo mwanaume nampenda,maana naweza kuja kuchumbiwa lakini nisimpende"

"Mimi nampenda Mwanaume mweusi,wanaume weupe sio kwamba sijawahi kuwa nao lakini nakuwa sina mzuka nao".Alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Diamond amekiri kwa kusema'Kweli niko na Nasib - Diamond na nadhani muda huu kutakua na utulivu ndani yake,ule utoto tuliokua tunafanya nadhani ulikua utoto na imekua Power Couple toka mwaka 2010 kwa hiyo tuna ni miaka 4 sasa,kwa sasa tumeamua kuwa serious'.


swali kwako wema sepetu na sio mtoa uzi:
penye red: hivi kwanini unatanguliza rangi nyeusi tu, kwani diamond asingekuwa mweusi usingempenda, au ina maana Diamond hana sifa nyingine zilizokuvutia.
vp kuhusu malipsi....

p
enye Blue:
inamaana we umeshabanduliwa na wote hao hadi weupe? DuH!!
 


swali kwako wema sepetu na sio mtoa uzi:
penye red: hivi kwanini unatanguliza rangi nyeusi tu, kwani diamond asingekuwa mweusi usingempenda, au ina maana Diamond hana sifa nyingine zilizokuvutia.
vp kuhusu malipsi....

p
enye Blue:
inamaana we umeshabanduliwa na wote hao hadi weupe? DuH!!

mkuu hiyo ni kuinyesha tu kwamba diamond ndo lilikuwa chaguo lake,lakini inawezekana pia ni dongo kwa clement coz hatumjui labda ni mweupe,kama hivyo ndivyo maana yake ni dongio kwake
 
Back
Top Bottom