PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
mnh wema nae,kaa shuzi saa nyengine,kila ukijitahidi kufunika lenyewe linatoka tuu.....
shukran, umenifanya nicheke sana na hiyo comment yako....dah....kweli watu wengine ni kama shuzi...
mnh wema nae,kaa shuzi saa nyengine,kila ukijitahidi kufunika lenyewe linatoka tuu.....
Can someone tell me who is wema sepetu? I heard this name recently but it seems like she is icon in my lovely country! It seems like she's psychologically sick!
Tulikuwa na
mapenzi ya siri kati yetu na tulifanya hivyo kwa kuwa kila mtu alikuwa
tayari ana mtu wake, ndiyo maana hatukuwa wazi, alisema Wema katika
mahojiano hayo.
Something is definitely wrong somewhere...,lakini sababu sikusikia binafsi no comment ngoja nikuamini wewe uliyesikia ila comment hapo juu kama alisema hivyo ni vigumu kujua ni mpenzi gani hayo ambayo ni ya siri
She needs rehab
Can someone tell me who is wema sepetu? I heard this name recently but it seems like she is icon in my lovely country! It seems like she's psychologically sick!
wema na kanumba wote ni sawa kwahiyo hakuna wakulaumiwa na wangefunguka wengi sema tu wameamua kukaa kimya. Hakuna anayefurahiwa na tabia zao though mmoja wao ni marehemu. Uwasherati ni dhambi na itaendelea kuwa dhambi milele hata irembe vipi. Dhambi imekuwa ni fashion siku hizi watu wanagiriki kumwaga madhambi yao hadharani kwa raha kabisa ni sign za ule mwisho tuliokuwa tunausoma katika vitabu vya dini. Mwenye macho auone na mwenye masikio asikie.lengo lake nini hasa? Watu wengine bwana...