Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,168
Siyo mimi niyasemayo hayo, hao ni KIU, na ndio maana kwa sababu hapa JF kuna secretary wa Wema Sepetu, huyu so called Mrembo by Nature anaweza kutusaidia hii habari.Dokta Mama Ngoma ndio nani? Unamaanisha 'Dokta' kwenye hospitali ya Mama Ngoma (I doubt kama anweza miliki nyumba kaka hiyo)...au unamaanisha Mama Ngoma mwenyewe? Mama Ngoma si Dokta..mumewe (Dr Twalib Ngoma) ndio Dokta.
Ndio maana uko hapa Habari nyepesi kama hizi angalau unaweza kuchangia, kwenye Aviation Industry kaa chonjo utaumbuka kama ulivyoumbuka leo.Hizi habari ndio zinakufaa wewe unafanana nazo!
hata wewe msomaji an mchangiaji zinakufaa sana...Hizi habari ndio zinakufaa wewe unafanana nazo!
Dokta Mama Ngoma ndio nani?
Unamaanisha 'Dokta' kwenye hospitali ya Mama Ngoma (I doubt kama anweza
miliki nyumba kaka hiyo)...au unamaanisha Mama Ngoma mwenyewe? Mama
Ngoma si Dokta..mumewe (Dr Twalib Ngoma) ndio Dokta.
Siyo mimi niyasemayo hayo, hao ni KIU, na ndio maana kwa sababu hapa JF kuna secretary wa Wema Sepetu, huyu so called Mrembo by Nature anaweza kutusaidia hii habari.
Hata kama huelewi kwa kusoma basi picha utaona tu, ukweli una tabia moja kuu, nayo ukweli ubakia milele.Haya we tetu macho na masikio.Mbona sijaelewa nitaendelea kusoma nielewe