Wema arudi Singida kushindana na Tundu Lissu

Mada nzuri.. wachangiaji wengine wanavuka mstari wa uhuru wa kujieleza na kuifanya hoja iwe so personalized.. hapa tunajadili mambo muhimu na sio kuingia kwa matusi na kumdadavua huyo dada kwa mambo yake binafsi.. huu si ustaarabu wala uungwana wala maana ya uhuru.. Tukumbuke.. "uhuru wako unaishia pale uhuru wa mwezako unapoanzia".. Be fair.. if you dont like... dont hurt someone! Just saying!!

hivi wewe wema naye ni mtu wa kuanza kujadili hoja zake?
kuna watu ilitakiwa hata wasifikirie hata kusimama mbele ya jamii eti anaomba kuwa kiongazi wao!!
 
Baada ya Wema kuukosa Ubunge, sasa amerudi rasmi Singida kumng'a Tundu Lissu. namaanisha anagombea ubunge wa kuchaguliwa na wananchi.

Tumuombee katika safari yake hii ya siasa.

Kila la kheri Sepetu.

==========================
[video]https://www.youtube.com/watch?v=BL6CWF_NrZI[/video]
MSANII maarufu wa filamu nchini,Wema Sepetu, amemtangazia kiama mbunge wa jimbo la Singida mashariki Tundu Lissu wa CHADEMA, kwamba siku zake za ubunge zinahesabika.

Wema miss Tanzania 2006, aliyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya safari yake ya kisiasa ambayo ameianzisha baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ubunge viti maalum (CCM) mkoa wa Singida uliofanyika hivi karibuni.

Alisema matunda ya safari yake ya kisiasa yataanza kuonekana kuanzia oktoba mwaka huu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, kwani jimbo la Singida mashariki,litakuwa mikononi mwa CCM chama tawala.

“Mimi nimerudi Singida kwa kazi maalum, nimekuja kushiriki upigaji kura za maoni CCM.Tumemchagua mgombea wetu Jonathan Njau…..tutahakikisha Njau anamgaragara Tundu Lissu”,alisema Wema kwa kujiamini.

Akifafanua,alisema hivi sasa maandalizi ya kuing’oa CHADEMA jimbo la Singida mashariki,yameanza na yanaendelea vizuri.

Wema alisema kazi ya kuing’oa CHADEMA mwaka huu, itafanywa kwa ushirikiano wa karibu na wana CCM wote na kuungwa mkono na kundi la wasanii maarufu kutoka jijini Dar-es-salaam.

Kwa upande wake katibu wa CCM wilaya ya Ikungi, Aluu Segamba,amesema Wema ameonyesha amekomaa kisiasa kwa kitendo chake cha kurudi Singida mapema,licha ya kuangushwa kwenye uchaguzi wa ubunge viti maalum CCM hivi karibuni.

“Tunaendeleaa kushuhudia wana CCM wengi wanaoangushwa kwenye chaguzi mbalimbali,huwa na chuki na chama na wangine wamefikia uamuzi wa kukihama chama. Lakini Wema ndio kwanza mapenzi yake kwa chama yameimarika na sasa anaelekeza nguvu zake kulikomboa jimbo la Singida mashariki kutoka CHADEMA na kulirudisha CCM”, alisema Segamba.

Chanzo:
dewjiblog.com

Kumbe hawa watu wa ccm wakati furani wana akili waliweza hata kumkataa wema
 
Baada ya Wema kuukosa Ubunge, sasa amerudi rasmi Singida kumng'a Tundu Lissu. namaanisha anagombea ubunge wa kuchaguliwa na wananchi.

Tumuombee katika safari yake hii ya siasa.

Kila la kheri Sepetu.

==========================
[video]https://www.youtube.com/watch?v=BL6CWF_NrZI[/video]
MSANII maarufu wa filamu nchini,Wema Sepetu, amemtangazia kiama mbunge wa jimbo la Singida mashariki Tundu Lissu wa CHADEMA, kwamba siku zake za ubunge zinahesabika.

Wema miss Tanzania 2006, aliyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya safari yake ya kisiasa ambayo ameianzisha baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ubunge viti maalum (CCM) mkoa wa Singida uliofanyika hivi karibuni.

Alisema matunda ya safari yake ya kisiasa yataanza kuonekana kuanzia oktoba mwaka huu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, kwani jimbo la Singida mashariki,litakuwa mikononi mwa CCM chama tawala.

“Mimi nimerudi Singida kwa kazi maalum, nimekuja kushiriki upigaji kura za maoni CCM.Tumemchagua mgombea wetu Jonathan Njau…..tutahakikisha Njau anamgaragara Tundu Lissu”,alisema Wema kwa kujiamini.

Akifafanua,alisema hivi sasa maandalizi ya kuing’oa CHADEMA jimbo la Singida mashariki,yameanza na yanaendelea vizuri.

Wema alisema kazi ya kuing’oa CHADEMA mwaka huu, itafanywa kwa ushirikiano wa karibu na wana CCM wote na kuungwa mkono na kundi la wasanii maarufu kutoka jijini Dar-es-salaam.

Kwa upande wake katibu wa CCM wilaya ya Ikungi, Aluu Segamba,amesema Wema ameonyesha amekomaa kisiasa kwa kitendo chake cha kurudi Singida mapema,licha ya kuangushwa kwenye uchaguzi wa ubunge viti maalum CCM hivi karibuni.

“Tunaendeleaa kushuhudia wana CCM wengi wanaoangushwa kwenye chaguzi mbalimbali,huwa na chuki na chama na wangine wamefikia uamuzi wa kukihama chama. Lakini Wema ndio kwanza mapenzi yake kwa chama yameimarika na sasa anaelekeza nguvu zake kulikomboa jimbo la Singida mashariki kutoka CHADEMA na kulirudisha CCM”, alisema Segamba.

Chanzo:
dewjiblog.com

Hii bongo movie au!
 
Labda kama atahonga kinyapu kwa wananchi wote coz hilo anaweza kulifanya huyu. KLwanza elimu hana , hana busara, uzuri unachuja, tabia chafu atasimama aongee na nini huyu
 
Kinana alienda kumkabili Lissu wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na watu wakaamini Lissu atagaragazwa. Matokeo yalipotoka CCM haikuamini baada ya kupigwa 41-3, sasa nani mwingine ataweza?
 
hivi wewe wema naye ni mtu wa kuanza kujadili hoja zake?
kuna watu ilitakiwa hata wasifikirie hata kusimama mbele ya jamii eti anaomba kuwa kiongazi wao!!

Hapo tutakuwa tumevunja uhuru wa mawazo na uhuru wa kuomba kuchaguliwa.Tupende tusipende! Kama tunamwona hatufai basi tumpe kura ya "hapana" lakini ati tusimtaje si sawa hata kama anatukera kiasi gani. Hata hivyo una uhuru wa kusema utakalo alimradi halivunji sheria au kumnyima mtajwa uhuru wake wa mawazo na wa kugombea kuchaguliwa!
 
Jamani hawa watu ni wasanii, wema kama wema anajua kabisa hawezi kusimama na Tundu lizu popote kisiasa hata kisheria . Anachotaka Wema hivi sasa labda asikike kwenye vyombo vya habari na lingine anatafuta ulaji, na huko ccm ndio kuna ulaji ukawa hakuna kitu. Mwacheni akauze sura
 
Haya wema, tutakupa ukuu wa wilaya. Usiwaze komaa. Awamu hii tulikusahau tu, wewe nae hukutukumbusha na una sifa zote za kuwa mkuu wa wilaya, aaah, no nilijisahau, si ulisha wahi kuwa miss...........Unastahili ukuu wa mkoa
 
Baada ya Wema kuukosa Ubunge, sasa amerudi rasmi Singida kumng'a Tundu Lissu. namaanisha anagombea ubunge wa kuchaguliwa na wananchi.

Tumuombee katika safari yake hii ya siasa.

Kila la kheri Sepetu.

==========================
[video]https://www.youtube.com/watch?v=BL6CWF_NrZI[/video]
MSANII maarufu wa filamu nchini,Wema Sepetu, amemtangazia kiama mbunge wa jimbo la Singida mashariki Tundu Lissu wa CHADEMA, kwamba siku zake za ubunge zinahesabika.

Wema miss Tanzania 2006, aliyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya safari yake ya kisiasa ambayo ameianzisha baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ubunge viti maalum (CCM) mkoa wa Singida uliofanyika hivi karibuni.

Alisema matunda ya safari yake ya kisiasa yataanza kuonekana kuanzia oktoba mwaka huu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, kwani jimbo la Singida mashariki,litakuwa mikononi mwa CCM chama tawala.

“Mimi nimerudi Singida kwa kazi maalum, nimekuja kushiriki upigaji kura za maoni CCM.Tumemchagua mgombea wetu Jonathan Njau…..tutahakikisha Njau anamgaragara Tundu Lissu”,alisema Wema kwa kujiamini.

Akifafanua,alisema hivi sasa maandalizi ya kuing’oa CHADEMA jimbo la Singida mashariki,yameanza na yanaendelea vizuri.

Wema alisema kazi ya kuing’oa CHADEMA mwaka huu, itafanywa kwa ushirikiano wa karibu na wana CCM wote na kuungwa mkono na kundi la wasanii maarufu kutoka jijini Dar-es-salaam.

Kwa upande wake katibu wa CCM wilaya ya Ikungi, Aluu Segamba,amesema Wema ameonyesha amekomaa kisiasa kwa kitendo chake cha kurudi Singida mapema,licha ya kuangushwa kwenye uchaguzi wa ubunge viti maalum CCM hivi karibuni.

“Tunaendeleaa kushuhudia wana CCM wengi wanaoangushwa kwenye chaguzi mbalimbali,huwa na chuki na chama na wangine wamefikia uamuzi wa kukihama chama. Lakini Wema ndio kwanza mapenzi yake kwa chama yameimarika na sasa anaelekeza nguvu zake kulikomboa jimbo la Singida mashariki kutoka CHADEMA na kulirudisha CCM”, alisema Segamba.

Chanzo:
dewjiblog.com

Wata mvua chupi tu huyo
 
Lissu kaoa tayari...ts too late. Diamond kakushinda itakuwa lissu my learned brother??
 
Wanatuchafulia bunge inamaana limegeuka danguro mala dc cangu mala wabunge wasagaji namakahaba damn i hate dat xhit
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom