Gentleman,
pamoja na hisia zako huru nje ya hoja mahususi mezana,
bilashaka tunakubaliana kwamba wakili Nassoro Katuga ni darasa la kipekee sana kwa mawakili vijana nchini right?![]()
'Mahakama hii haiangalii uzito au kuaminika kwa ushahidi' Jaji Ndunguru