Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Mnapiga makelele tu, hata Maamuzi ya mahakama hamjayasikiliza. Mahakama imesema haijaingia kwa kina kuangalia kama ushahidi kama unaaminika au la, Bali wameangalia jambo ambalo ni kama halijabishaniwa kati ya utetezi na mshataka.
Wakili mbobevu Nassoro Katuga hapigi mayowe, harushi mikono hewani wala hatibui minywele kama wendawazimu wengine kwenye viunga vya mahakama.

Ni mwerevu mno,
ni mtulivu asie na papara, ni msikivu na hua hajibujibu tu kwa kuropoka kama watibua minywele, ila akijibu anakua katoa jibu haswa 🐒
 
Kwa ushahidi Gani? Umeelewa maamuzi ya mahakama Leo.
msingi wa mashtaka na athari zake kitaifa umeonyesha wazi kibaraka mropokaji ana kesi ya kujibu na kwakweli anastahili kufungwa maisha, kunyongwa hadi kufa kulingana na makosa yake kwa mujibu wa sheria 🐒
 
umeelewa nilichoeleza kwenye comment yangu gentleman?🐒
Mahakama hii haiangalii uzito au kuaminika kwa ushahidi' Jaji Ndunguru
Au maneno hayo ya jaji ni ya uongo?
Baadae akasema Lissu ana kesi ya kujibu kwa ushahidi' ulioletwa na upande wa mashtaka!

Haya naomba ufafanuzi maana jaji anaenda mbele halafu anarudi nyuma .
 
Mahakama hii haiangalii uzito au kuaminika kwa ushahidi' Jaji Ndunguru
Au maneno hayo ya jaji ni ya uongo?
Baadae akasema Lissu ana kesi ya kujibu kwa ushahidi' ulioletwa na upande wa mashtaka!

Haya naomba ufafanuzi maana jaji anaenda mbele halafu anarudi nyuma .
ndio,
imezingatia msingi wa mashtaka na athari zake kwa usalama wa taifa.full stop 🐒
 
Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
 

Attachments

  • 1000020485.jpg
    1000020485.jpg
    12.1 KB · Views: 0
Grounds za mahakama ni zipi kwenye kutoa hukumu yoyote?

Mahakama hii haiangalii uzito au kuaminika kwa ushahidi' Jaji Ndunguru
vuta subra kidogo gentleman, just relax.

huu ni muda wa kumpongeza wakili nassoro katuga :NoGodNo:
 
Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Unashangili bao halijaingi refa kaita kati ww unamsifu mchezaji katuga baada ya kumshukuru refa wetu Ndunguru
 
Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Kumbe ndiyo maana airport leo Mageti yote yalikuwa wazi. Unaingia na kutoka bila kudaiwa! Ngoja lissu awashinde, mtatuzuia kuingia airport
 
Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania

No wonder zanzibar inakuwa kwa kasi kama dubai, vijana wake wanatuzidi akili, mawazo na maono, vijana wa Tanzania Bara tuko kwenye kupenda kukomoana, bila kujali pesa ngapi serikali inatumia kuendesha case kulipa majaji kulipa mawakili

It's like vijana wa Tanzania Bara tuna laana flan hivi
 
Back
Top Bottom