Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Umesamehewa dhambi zako zote!
BC904E82-73C5-43DC-840E-65C9A2361210.jpeg
 
Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Mahakama ya kupigiwa simu by Rostam Aziz, ushahidi Gani wa uhaini
 
Mnapiga makelele tu, hata Maamuzi ya mahakama hamjayasikiliza. Mahakama imesema haijaingia kwa kina kuangalia kama ushahidi kama unaaminika au la, Bali wameangalia jambo ambalo ni kama halijabishaniwa kati ya utetezi na mshataka.
 
Back
Top Bottom