funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,971
- 31,503
ndio hii nimeipata naona siku hizi kuna ugumu wa kupata threads za zamanialaa?
ilikua na heading gani?
hawajakuarifu ikiwa wameihamishia jukwaani lingine?🐒
ndio hii nimeipata naona siku hizi kuna ugumu wa kupata threads za zamanialaa?
ilikua na heading gani?
hawajakuarifu ikiwa wameihamishia jukwaani lingine?🐒
Chizi wwUnafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Mmedhalilisha Maafande wameonekana hamnazo bado Bibi wa Ukoo wa Panya sasa.hapo faraja iko wap kwenye jambo halisi na wazi kama hilo gentleman?
I told you mapema sana kwamba kibaraka hastahili kua huru hata kwa sekunde moja tu 🐒
Huwa sibishani na wadudu (chawa) mimikwa maoni yangu,
wakili huyu mbobevu anastahili tuzo na tunzo ya kitaifa kwa namna anavyotekeleza majukumu yake kizalendo, weledi na kwa umahiri mkubwa 🐒
weka sadaka yako hapa 🐒Umesamehewa dhambi zako zote!View attachment 3654295
Ata asipofanya kitu atasifiwa tu maana aina ya watu wanaomsifia umewaona lakini?Kafanya nn mpaka kustahili kusifiwa huko?
Mahakama ya kupigiwa simu by Rostam Aziz, ushahidi Gani wa uhainiUnafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kwa ushahidi Gani? Umeelewa maamuzi ya mahakama Leo.Gentleman,
huenda kibaraka akishahukumiwa jela ndipo unaweza kupata akili ya kuelewa msingi wa mashtaka na athari zake kitaifa 🐒