Welcome back TAL in political Arena. Ila, kumbuka Adui yako mkubwa bado yupo HAI, you used to offend the wrong enemy

Welcome back TAL in political Arena. Ila, kumbuka Adui yako mkubwa bado yupo HAI, you used to offend the wrong enemy

Sales man

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2025
Posts
571
Reaction score
843
Pole Sana Kwa unayopitia na uliyopitia.

Najua utakuwa umepata mshangao mtu mwenye akili za juu Kama wewe kutumika kumshambulia the wrong enemy.

Hii ndo Ccm inaweza kumtumia yeyote yule kwa interest zake.

Kitu ambacho nakupa Kama ushauri wewe na wasaidizi wako make sure Una follow ur instinct usitumie tu akili ya kawaida tumia 6th sense .

Kama ambavyo ulipewa taarifa kuwa usiende Dodoma ukaenda n.k waliokupa huo ushauri walikuwa wanakupenda.

The art of war we love you TAL ukiamua kushambulia safari hii jitahidi ujue who is ur really enemy.
 
Pole Sana Kwa unayopitia na uliyopitia.

Najua utakuwa umepata mshangao mtu mwenye akili za juu Kama wewe kutumika kumshambulia the wrong enemy.

Hii ndo Ccm inaweza kumtumia yeyote yule kwa interest zake.

Kitu ambacho nakupa Kama ushauri wewe na wasaidizi wako make sure Una follow ur instinct usitumie tu akili ya kawaida tumia 6th sense .

Kama ambavyo ulipewa taarifa kuwa usiende Dodoma ukaenda n.k waliokupa huo ushauri walikuwa wanakupenda.

The art of war we love you TAL ukiamua kushambulia safari hii jitahidi ujue who is ur really enemy.
Kwamba tayari ame achiwa!?
 
TAL ngoja arudi you will be shocked na utakuwa mwisho wa kufanya siasa za mihemko
Kuna vitu vinakuwa coincidental................then one gains popularity and fame on coincidental happenings. Akina Mwamposa are banking heavily on coincidence and manipulation of opportunity seekers!
 
Pole Sana Kwa unayopitia na uliyopitia.

Najua utakuwa umepata mshangao mtu mwenye akili za juu Kama wewe kutumika kumshambulia the wrong enemy.

Hii ndo Ccm inaweza kumtumia yeyote yule kwa interest zake.

Kitu ambacho nakupa Kama ushauri wewe na wasaidizi wako make sure Una follow ur instinct usitumie tu akili ya kawaida tumia 6th sense .

Kama ambavyo ulipewa taarifa kuwa usiende Dodoma ukaenda n.k waliokupa huo ushauri walikuwa wanakupenda.

The art of war we love you TAL ukiamua kushambulia safari hii jitahidi ujue who is ur really enemy.
Uchaguzi wa maigizo chadema hawamo, Rostam Aziz bado hajatoa Amri Lisu atoke jela kwani anataka anunue migodi yote yenye hisa na Serikali ya ccm kokote ilipo na kisha ahakikishe chadema haipumui na Lisu anafungwa miaka mingi au kunyamazishwa kwa njia zozote zile
 
Ila aisikilize sauti yake ya ndani Kama alizani Magufuli ndo alimpiga risasi na akaitangazia dunia hivyo na Leo kaujua ukweli nadhani huko alipo jela anajuta Sana.
Yaani Lissu ashambuliwe kwa risasi muda mfupi baada ya JPM kusema hadharani kua DAWA YA MTU WA HIVYO ASKARI HUWA WANAJUA NINI CHA KUFANYA,halafu baada ya shambulio CCTV CAMERA zikatolewa,JPM ambaye alikua ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini asijue chochote?
Mbona unamdogosha Rais?
 
Back
Top Bottom