Weka neno la kiingereza linalokusumbua kutamka usaidiwe hapa

Mfano mzuri ni huu hapa. Chief napenda sana nieleze zaidi, kuna tatizo limeikumba simu yangu. Ndio maana nashindwa.
Got = Got => phonetic alphabet [ɡɒt]
Goat = Gout => phonetic alphabet [ɡəʊt]
Gout = Gaut => phonetic alphabet [ɡaʊt]
Gut = Gat => phonetic alphabet [g^t]
Cut = Kat => phonetic alphabet [k^t]
Cat = Ket => phonetic alphabet [kæt]

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Ndugu kazisome hizo hutapata tabuView attachment 1326371View attachment 1326372

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unajuwa kitu ambacho natofautiana na wrwe ni kidogo sana. Hizo alama kwa unavozielezea wewe watu wengi humu hawatozifahamu. Waelezee kila alama unazozitaja zinatamkwa vipi na kwenye neno kama lipi kwa mfano. Mimi nimetowa mfano mzuri tu wa maneno matatu tofauti lakini karibu mara zote hayatamkwi sawa.
1. Hut
2. Heart
3. Hurt.
Tupe mfano wa maneno hayo kwa kutumia hizo phonetic alphabets kwa matamshi ya alphabets za kawaida ili watu wengi wapate wafahamu.

Kwa upande wangu kutoka chekechea mpaka nilipofikia hapa sijawahi kusomeshwa English na Muafrika wachilia mbali Mtanzania. Na kubwa zaidi nimekulia huko wenye lugha yao japokuwa hii lugha haikuwa ni sehemu ya masomo ninayofuatilia na kwa maana hiyo siwezi kumsomesha mtu. Inapokuja kuongea na kujieleza basi niko much more comfortable kwa Kiengerza kuliko hata Kiswahili. Tuwasaidieni wenzetu wanaouliza sio kujisifia nini mtu anajuwa. That's the whole.point.

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Wanafunzi wengi haya maneno huwa yanawashinda sana:
Desk wengi wanatamka deksi
Ask wengi wanatamka aksi (nadhani ni tatizo la kubwa la Kibantu, nimeona hata African Americans wengi wabatamka aks pia).
Lecturer wanafunzi vyuoni vwanachapia sana hili neno wanatamka lecture
Determine wengi wanasema detamaini badala ya ditamin
Examine wengi wanatamka ekzamaini badaka ya ekzamin
National wengi wanatamka neshno badala ya nashno
 
Kuna hili jina ni la mahali uko UK. Linaitwa Carlisle. Asee ambae atapatia kulitamka nampa vocha.

Ila kuna boss wangu kwenye kikao kila siku yeye chaos anatamka kama lilivyo badala ya 'keos' halafu gossip anatamka kama gospel. Huwa natamani nimfate private nimwambie anakosea ila nahisi anaweza kuniona mjuaji so namuacha na michapio yake.

Wapi wazee wa ditamaini.
 
Back
Top Bottom