Weekend Story! The Workaholics Silence

Weekend Story! The Workaholics Silence

dah hii stori balaaa.....Mtunzi #KubwaLaMaadui# ubrkiwe
 
G


Gill ni mjanja MAFIAAAA, sasa unaanzaje kumbambikia mtoto kwa mfano? Yani unmbambikie mtoto afu asistuke inawezekana vipi? Hahahaa! Sio rahisi kihivo kwa Caliber ya mtu kama Gilly.
Ila na umafia wake kwa marrie anakaa.
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nimekula hela ya watu, nimejiachiajeee Iddy mmmmh! Nimpokea hela nitoe story, story sinaaa, njaaa imenibanaaa, nikapokea mieeee. Mmmmmmhhhh! Kabla sijaonekana tapeli imenibidi nikusanye story za watu nizilete humu jamaniiii.

Kabla ya yote kuna JF Get Together tarehe 29. Si ya kukosaaaa kabisaaaa.

The Workaholics Silence ita premer leo saa 4 na nusu usiku. Tunarudi corporate sphere upyaaaaaa. Sahivi mambo ya kisomi tu mwanzo mwishooooo. Watu wazima, game za kiutu uzimaaa. STAY TUNED.

kUJIBORESHA NA KUENDANA NA WAKATI NITAANZA KUPAIKANA INSTAGRAM SOON KWA ID YA lara1jfstories. Mnifolow na huko.


THE WORKAHOLICS SILENCE!

The Firm!

Ko! Ko! Ko! Ko! Ko! Ko! Ko! ko! Hellow guys! Helloooooow Stacy! Ko! ko! ko! ko! ko! Shingo zote zinamuangalia Stacy akiishia corridor kwenda ofisini kwake. Wakageukiana wote vijana wa ofisi hio. Jamaniiiii, mmeliona dada la dada shangingiiii, dada kubwa, kina kirefuuuuuu?' "Mmmmmmh pale hatari hivi unajua anakula from Big Hotels tu." Yaaani ni balaaaaa, inaitwa usibonyezeeeeeeee, hivi kawahi kurudia nguo toka aanze hapa mwezi wa 3 huu" "Arudie achekwe." "Guys tuongeee yoteee ila Stacy is my dream girl, will i stand a chance against her? niko serious mwenzenu pamoja na ubandidu wake mimi namuelewa sanaaaa, nimefika bei." HAHAAAAAAAAAAAAA! Umejua kutuchekesha kweli. The only place you will sand a chance with her ni bafuni kwako and her being sabuni yako. HAHAAAAAAAAAA. Wakatawanyika.

Harris akabakia roho ikimuuma watu kumcheka, of course alikuwa anachekesha na kusikitisha manake yeye ndo kwanza yupo Junior officer, na miaka yake 32 wakati Stacy was just 27 and already a director of marketing, amesajiliwa kwa hela kubwa sanaaaa kutoka kampuni aliyotoka, na anaheshimika sanaa humo ndani, kiukweli she lives up to the expectation kuanzia mavazi, gari anayoendesha, simu, anapoishi hakuna anaepajua ila all in all sio mtu mdogo ofisini. And honestly she was every body's dream, sio walioa wale MBA (Married But Available) au single ladies. Kiukweli ilikuwa pasi ndefu.

Stacy akaingia akaaa kwenye ofisi yake. Akaanza kusoma gazeti, akajikorogea kahawa akanywa, akawaza mambo yake matatu manne akaamua kufungua email, akakuta boss wake MD kamtumia email ya kikazi kwamba anahitaji strategy mpya, action plans mpya ni mwezi wa 3 toka aajiriwe kwa pesa alio itaka hakuna alichobadilisha. Roho ikamuenda mbioooo sio kidogo. Akaamua kuwajambisha humo ofisini. Akawatumia skype kuna emergency meeting.

Wakakusanyika wamama na vitambi vyao vya supu 4 au 5 za uzazi, wamejichokeaa wana ngoja ada za watoto siku ziende maisha washayakosea mahesabu kitambo, wababa na vitambi vyao vya bia, wanawaza mda uende waende bar wakanywe wasahau stress zao kutoka kwa wake zao basi. Kwanza hawamkubali kabisaaaa manake wao wameanza kazi Stacy ananyonya atawafundisha nini kuhusu kampuni, just because kawavulia chupi maboss wa 4 wa 5 wa ho kampuni haimaanishi kuwa she is better than them. Hana analolijua and that is final kwao. Na wamepanga wamuhujumu mpaka akome Na fact kwamba ana nyodoooo na dharau ndo ime wa piss off kabisaaa kabisaaaa. Wakawa wametunaaa kama Cobra kwenye hio meeting maana wana uhakika hana jipya ambalo hawajalisikia miaka yao 20 kazini.

Stacy kafika kakaa mbele akawasalimu za leo, familia hazijambo, sasa twende kazi. Boss kubwa anataka strategy mpya, wenyewe mnajua kampuni imekuwa stagnant, hamna growth wala market expansion ndo kisa cha mimi kusajiliwa. So sababu nyie wazoefu nawapa chance ya kutoa ideas kwa uzoefu wenu mnaona twendejae. I am open for opinion and suggestions.

Watu kimyaaaaa. Kama hawajamsikia. Stacy akawakata jicho la dismay. Akawasemesha tena, jamani naongea na nyie, ukimya manake nini? Watu kimyaaaaaa. Mmmmmmh! Laurent who was 35 and going through a nasty divorse na mkewe akaona hapa hapa ndo kw kuwa goodside with the boss. Ukizingatia he really really needs a promotion kuweza ku afford legal fees za kupambana na mkewe na wakwe zake. Akaongea, wenzie wakamkata jicho kali sanaaaa la acha kihere here, akataka kuacha kuongea alivokumbuka bill yake kwa lawayer akaendelea kuongea.

"Stacy mi naona twende with the normal, radio, tv, print. Last year things were really bad sababu hatukuwa na budget, but this year hopefully na ujio wako budget itatoka na tutawakilisha vizuri tu. Sisiunavotuona hapa ndo tumeifikisha kampuni hapo ilipo kwa jitihada hizi hizi na mambo yatakuwa mazuri tu. Akakaaa kimya kusikilizia siasa zake zinaendaje.

Stacy akamjibu thank Laurent but normal is always over rated, jitihada hizi hizi ndo zimemfukuzisha kazi Mzee Hoza na kuletwa mimi, sasa mimi i love my job, wont sit back do nothing mpaka niwe substituted. Times have changed, we have new MD he wanna impress his bosses, i wanna impresss the MD, and you should impress me if you want to see the paycheck a little longer, nomal cant cut it this time, i want effort, new ideas, new vision, new thinking, i want cut throat, i wanna be a virus and infect them all competitors, i want the market for myself. If you are a normal person you cant and ill make sure you wont roll with me. Naona mnanipima imani unity is strong, but i can still divide and rule. Sasa kila mtu binafsi yake anitumie strategy zake anazoona zitafaa na action plan kwa department yake. Kumbukeni tu kuwa you can choose to go down but you wont drug me with you. Meeting adjourned.

Wakatawanyika kimya kimyaaa. Moyoni kila mtu anawaza lake. Huyu anawaza she is really a bich, wengine wanawaza she is tougher than she looks, we unde estimated her. Mwingine anawaza times have changed and so has the job i dont have what it takes anymore, sijui kama nitamsurvive huyu binti. Mwingine anawaza bwana Yesu niteteeee, huyu shetani Stacy ana nguvu kuliko unavodhania Miaka 46 hii nitaenda wapi mimi. Yani ikawa siku nzito ghafla. Kila mtu akawa busy anasoma manake ndo washapewa kazi hio ya kuandaaa.

Ikawa msemezano ofisini kale ka Stacy kamewanyea team yake ni balaaa. Basi kukawa na mgawanyiko wanaomkubali Stacy na wanao mpingaaa. Wanao mpinga wengi walikuwa wale traditional,wacha Mungu, watu wenye familia zao wamebweteka. Wanao mkubali ni wale ambao ni mashangingii, wenye uchu wa madaraka na wanao kama Stacy kawafungulia milango kwenye kampuni ya kushika vyeo vikubwa wakiwa na umri mdogo.

Stacy akahisi ile negative vibe ofisini akaamua kuchukua pochi yake akaenda SeaCliff akabook chumba na kumtumia MD sms whatsup "Missing you babe" Akamtumia na picha yuko na sidiria hotelini. MD ambae nae ni junk tu, kijana mdogo alie manuver manuver akapata hio nafasi kwa connections na utapeli tu akashtukaaa kuona text ya Stacy. kajisemea tu malaya malaya hata umpe cheo gani, umfanyie nini bado atausimamia umalaya wake. Saa 5 hii badala aje na hizo strategy, nafasi nimempa kisiasa at least ajitahidi basi kidogo kuchapa kazi kunipa moyo ndo kwanza nyege mshindo zimemshika akaenda hoteli. Mxiuuuuuuuuuuuuu. Mke wangu mzuri sijui nahangaika nini jitu kama hili. Mxiuuuuuuu.

Akamjibu " Huu si mda wa kazi unawaza tu kutiana? Hizo strategy unazooo au basi tu? Hivi mbona hujielewi wewe?" Stacy akaona lile jibu aka sunyaaa Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu sonyo refu sanaaaa. Akajisemea ama kweli ukiwa mwanamke wa nje utakuwa mwanamke nje tu kwa huyo mzinifu mwenzio hata umfanyie nini, hata umnyonye tigo, umnyoe mazivu kwa meno, umeze shahawa zote, umlambe mwili mzima kama nyoka ila mwisho wa siku utabakia vile vile mwanamke wa pembeni unaehitajika mtu akijisikia nyege tu baaaaaaaassss. Nyege ziiisha huna thamani tena mpaka atakapo pata nyege zingine. Nyege zako wewe hazi count, hisia zako wewe hazicount. Kuliko kuwa mwanamke wa nje bora hata uwe mke wa konda au mpiga debe. Ila akakumbuka Gill alipomtoa, akaamua kutake back he words.

Kiukweli over the years ametokea tu kumpenda Gill, watu wengi wanahisi anamchuna Gill ila ukweli anao yeye moyoni kwamba anampenda. Ni story ndefu sanaa baina yake na Gill. Alimjua Gill kabla hata hajaoa. Gill anaoa kesho usiku wake alilala nae mpaka asubuhi akaamkia kwenye harusi, na siku hio alilewa hatariiiii mpaka akazima mradi tu asiende kufanya fujo kwenye hio harusi. Anamjua mke wa Gill fikaaaa. Na ndoto yake kubwa na tegemeo lake ni Gill aachane na mkewe waoane.

Akamtumia sms whats up, "You can come over for quality time or keep whining" Akangoja Gill hamjibu, holaaaa. Stacy akapanda dau akamtext "Ill suck your balls i promise ukija" Akajua tu hio ni offer he cant refuse. Ikajibiwa " Usinijaribu by Monday kama huna strategy za kueleweka na action plan ilio simama ku present nitakavo kufukuza kazi kama mmbwa hutoaminiii yaani utafurahi na roho yako. Nimemalizaaa." Stack akabamiza simu ukutaniiiiiii.

Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Akajikuta tu machozi yana mtoka mfululizo anawaza hivi Mungu nilikukoseaga nini kikubwaaaa mbona hunipendi kiasi hiko. You cant just let me be happy just for fe minutes. WHY?. Akavaa nguo zake akacheck out. Dada wareception akashangaa mara hii? Akajisemea tu moyoni atakuwa kipozeo cha waziri, hapo waziri katingwa amekula hela yake ndefuuuuuu kiulainiiiii. Mungu mbona mimi hizo bahati sipatiiii. Nikila hela ya mtu nitakunjwa usiku mzimaaaa mpaka nitaijamba hela yote ndo nikunjuliwe. Hahahaaaaaaa! Akatabasamu.

Akarudi ofisini akiwa na stress ni balaaaa. Stress level 200%. Akiwa mapokezi akamuona mtu akastukaaaaaa. Angekuwa na pressure angekufa papo hapo. Moyo ukawa unamuenda mbiooo. Akajipa moyo sio yeye bwana anamfananishaaa. Itakuwa hallucination zake za kila siku. Akajongea mpaka reception akiwa na lengo la kupita kabisaaa. Akasikia yule mtu aliehisi ana mfananisha akamsemesha DaTracy! Akastukaaaaaa, akajiambia ndio yeye kabisaaaaaaaaa. Hakuna mtu anaelijua hilo jina la Tracy isipokuwa huyo mtu alie muhofia ndie kumbe ndie kweli. Yule mtu akaendelea kumwambia mimi ni kaka yako Traves, umenisahauuu! Basi hapo akapata uhakika ndie kabisaaaa.

Akamgeukia, mi sio Tracy unanifananishaaa, anageuka pembeni kuwaangalia watu walio hapo ile kupotezeaaa. Sio mimi, sikufahamu. Traves akaonekana kukomaaa, Inmaana dada Tracy mi sikujui? Stacy akaona soo kubwa akaamua kumvuta nje. Traves akawa kashika gazeti. Akamwambia Dada Tracy umenisahau kweli ila mimi siwezi kukusahau kabisaa. Ni miaka mingi sanaa. itakuwa nimebadilikaaa. Anajisemesha hatari. Stacy akamwambia tykutane break point saa 9 mchana tutaongea yote. Akamuandikia namba yake kwenye gazeti.

Akarudi reception akaanza kumfokea receptionist ndo nini kile? Receptionist anajitetea mi sikujua kama humjui boss, mi aliniambia ni ndugu yako? Stacy akamfokea ni kazi yako kujua kama simjui, mi nakuwa harrased na watu wa ajabu ajabu kwa uzembe wako. Mi toka lini nikawa Tracy? Receptionist akaomba msamahaaa. Akaingia ofisini kwake ka jazba kubwa. Siku hio ilikuwa haiendi kabisaaaa.

Akawa amekaa anawaza yule mtu katokea wapiii na kwanini aje leo hiii of all days, na atakuwa anataka nini? Akakosa raha kabisaaa. Kuja kugutuka saa 9 kasoro. Akaeda kukutana nae break point. Kufika akamsikiliza, Dada Tracy nimekutafuta sanaaa, sanaaa, sanaaa, mpaka nishakata tamaaa kabisaaa, ndo juzi nikaona picha yako gazetini umeajiriwa na hii kampuni ila wanakuita Stacy sikuelewa ila picha tu nikajua ni wewe. Nimetokea Arusha kuja kukutafuta Mungu ni mwema nimekupataaa. Miaka yote niliwaza nikikuona tena tutaongea nini?

Stacy akamuuliza jela umetoka lini? Traves akastukaaa! Kumbe dada Tracy ulikuwa unajua nimefungwa? Stacy akamkodolea macho tu. Traves akarudia tena hilo swali? Stacy akamjibu najua na yale mambo yako mengine ya kuaibisha familia yetu na jina la marehemu wazazi wetu nayajua yote ndo maana miaka yote nimekuwa nakukimbiaa, nimefanya jitihada zote kubadili majina na mambo mengi sanaa kukwepa aibu yako nisihusishwe na wewe. Sikupendi na sijakusamehe wala sitokuja kukusamehe, mjadala wetu wa mara ya mwisho uko pale pale, na kila neno nililo kwambia nalimaanisha mpaka leo.

Traves akanyongeaaa, akawa mdogooo roho ikamuuma kumbe mda wote kafungwa dada yake alikuwa anajua hata kumtumia barua na mda wote anamtafuta dada yake kumbe dada yake anamkimbia. Akajiona hana thamani kabisaaa duniani, akajiona anampa shida sanaa dada yake. Akawa maneno yamemuishaaa.

Stacy akamkazia macho, najua umenitafuta kwasababu unataka pesaaa, sawa mi niko tayari kukupa pesa upotee maishani mwangu, nisikuone tenaaaa. Akampa bahasha iliotunaaa. Million 5 hizo fanya utakavo fanya ukitaka tumia hata kwenye mambo yako yale sikuingiliii ila nachoomba sitaki kukuona ena maishani mwangu. Akanyanyuka akamuacha Traves amekaa kwenye kiti. Akawasha gari yake huyo akaondokaaa.

Traves akaichukua ile bahasha akarudi kwa rafiki yake alipofikia uswahilini. Akatafakari mazungumzo yao na jinsi matarajio ya kukutana na Tracy yalivoenda ndivo sivo. Alijua ananyanyasika duniani sababu kapotezana na dada yake, na akaishi ili tu siku akutane na dada yake tena waishi pamoja kwa furaha na upendo kama zamani, kama dada yake ana familia awajue wanaena mumewe, ila mkutano ndo umekuwa wa kukatisha tamaaa kabisaa na kunyongonyezaaa. Akafikiriiaaaaaaaa. Akatoka akaenda dukani kununua kamba ya mkonge, bahasha, karatasi na peni. Akarudi akaandika namba ya stacy juu ya bahasha. Akatengeneza kitanzi akajitundika. Hakutoa kelele yoyote.

Jioni rafiki yak anarud ghetto akamkuta kaninginia akapigwa bumbuwaziii, akaona bahsha 2 juu ya kwanza ina karatasi ndani na namba ya simu. Ya pili imejaa hela. Akazificha zile bahasha na kutoka nje anapiga yoweee Traves kajinyongaaa, kajinyongaaaa. Watu kuja kukata kamba wakamuita Dr. akamcheki akawaambia huyu tayari saa nyingi sanaaa. Kwani hajaacha ujumbe? Ndo James kutoa ile barua yenye bahasha na namba za simu. Wakakata shauri wampigie saa moja usiku huo mwenye hio namba.

ITAENDELA KESHO.
woow..Tamujeeeeeee...
 
Isijekuwa mtoto aliyemflush ndiye wake...na doubt pia mkewe anaweza kuwa full time kwa mtu fulani somewhere na part time kwa Gll who knows...nasubiri episode nyingine!
 
Harris kukutana na wale mafirauni wawili kulimkumbusha mbali sanaaa. Kwanza yule firauni wa kike, kugongana nae parking akahisi ni mkosi mkubwa sanaa, huenda hata show yake ya usiku huo isingejaza, maana nuksi za kukutana na kiumbe yule i za kuogo baharini kina kirefu. Alimemorise maneno atakayo mwambia siku wakikutana zaidi ya mara laki moja, ila finally baada ya kukutana aka realise kwamba he was no longer bitter nor envious, amesamehe yot and he was finally free from the hatred. Kama alikutana na yule mwanamke na hajamrarua rarua vipande basi yuko half way on his healing.

Akaendelea kuwaza kama kakutana na firauni la kiume jana na hajalichoma bisu la tumbo, wame shake hands na ku hav conversation, baaaaaaassss. Akajua tu he is finally free from their chains of hatred. Akakumbuka jinsi alivokuwa anampenda yule mwanamke and he felt so stupid kwa kweli sio kwa kumpenda mtu kule na yeye kumtelekeza namna ile. Alitegemea hata walivokutana angesema japo SORRY au hata angekimbia au hata kutomuangalia machoni, ila bila hayaa kamkazia macho, na bila haya ana hint eti mtoto wetu angekuwa mzuri hivi loooh! Nyama kweli yule mwanamke ashasahau kama alikula million 50 ku flush kiumbe chao. He will never forgive her for that.

Akawa anawaza aachane nao, nohing good comes his way kila anapojihusisha na yale mafirauni mawili. Bora afocus zake kwenye show business yake. Kwanza ashajenga jina, ana wateja kibao dar, na mkoani wanao hitaji shows au wasaniii na anajulikana na kutambulika kwenye show business. Akawaza tu sijui kwanini alipoteza mda wake kwnye kile kikampuni mbuziii. Sahivi hela anayoo ya kutoshaa, hata Stacy angetaka anayo jeuri ya kumuoa na kumtuliza kabisaaa. Basi tu hataki, juani achume mwenyewe ahangaikeee afu kivulini aieb ile mishankupeee. After all he had a family, a woman and a kid wa kuwalea kaika maisha yake.

Akakumbuka ni mda wa kumfata baby girl shuleee,akaongozana na mama Stacy, siku hio akaamua tu aumie gari yake kali sanaa ambayo hatumii mara nyingi kama ile RunX yake. Njiani kukawa na folleni wakachlewa kidogo, kufika ule anamuona Stacy kwa mbali kambeba mtoto na mwingine anatembea. Akajisema kumbe ana watot wa 2 hapa shuleni, mbona haku disclose hyo aliembeba atakuwa ndo amezaa na Gillbert oooooh! Good for her. Mama wa mtotoakasema anabakia kwenye gari haendi.

Akasogea mpaka karibia na Stacy, akasikia anaonge na mwalimu wa kike pale, "katoto kazuriiiiii haka. Napendaa vitoto vya kike. Na mimi nitazaa kitoto kizuri hivi kweli? Hii mbegu ya babake kibokooooo. Mbegu hii nimeikubli. Embu kaone teacher, shteshiiiiiiii! Katoto kanachekaaa. Stacy ana mbusu busu. kasikia mtu anasafisha koo. Mmmmmhhh mmmmh! Kugeuka Harris huyu hapa, afu kambeba mtoto wake. Hiiii! Hakutegemea kubambwa kabisaa, akanza kujichekesha. Mwalimu akakunja suraaa maana msala ule.

Harris akamuuliza hivi wewe mwanamke mbona hujiheshimuuu, unaanzaje kukurupuka kubeba watoto wa watu bila ridhaa ya sisi wazazi wao. Hivi unjua mama mtu nimekuja nae kakuona umembeba mwanae, kanfikiria mamb mbaya sanaaa. Kwamba imekuwaje umepata ujasiri wa kumbeba mtoto wake, kabeba mimba miezi 9, mtoto anaumaaa, ghfla anakuta umembeba na kilichomsikitisha ni mwalimu kukuruhusu umbebe kwa mpango gani labda?

Mwalimu akajitetea mi nilijua mnajuanaaa, manake kaja hapa kumuita Stacy na kitoto kinamchekea sasa nikajua labda mnafahamiana, heheeee, heheee. Anajibalaguza. Harris akajibu hatufahamiani na siku zingine usimpe tena huyu mtoto ole wako mwalimu nikute kamshika hata mkono namuhamisha shule. Akamchukua mwanae akaanza kuondoka. Stacy anaita Prince twende, twende mwanangu wanamkimbilia Harris. Stacy anamuuliza "Jamani Harris kwani tuna ugomvi mimi na wewe? Si nimempenda mwanao nimemshika tu" Harris akagunaaa, "Umempenda mwananguuuuu! Ungempenda using mflush chooni. huyu mtoto wa mwenzio nae na uchungu kupita wa kwako"

Stacy lile dongo umemflush chooni hakulielewa ipasavyo akajua Harry anahisi ile mimba alitoa, sasa na yeye hakuona umuhimu wa kujitetea mda ule, kama kaamua kumfikiria hivo poa tuuuuu. After all ni mda sanaa kuanza kuji justfy. Akaamua tu aendelee kumzinguaa Harry. "Umesema mama yake yupo kwenye gari? loooh! Naweza kumsalimiaaa, nimuonee tu." Harris akamuuliza "halafu ukishamuona itakusaidia nini?" Stacy akaanza kujibalaguzaa "Roho yangu itaridhikaaa, nataka nione mashine iliotoa chombo kama kile. Harris mi na wewe hatuna ubaya maisha tu yalitufanyia fitna." Harry akaguna "Mmmmmhhh! Maisha eeeh! Sawa sawa. And no you cant say Hi, the mom super shy after all ni mdogo sio rika lako so probably you will have nothing in common kuongea." Stacy akazidi kupata uchu wa kumuonaaa, kusikia mdogo tenaaa ndo kama katiwa ndimuuu. Wakafika parking kila mtu akaenda upande wake. Stacy roho ya kutaka kumuona mke wa Harry ikawa inamtokaa, akaamua kucheza foul, akatoka wa kwanza akaenda kublock njia, ili apite Harry lazima amsemeshe. Kucheki nyuma haiji Run X unakuja mbonge wa gariiii. Mmmmh akajisema nani huyu boya ananiharibia mishe, mi nisha kiblock ki Run X, itabidi nimpishe tu sasa sijui nitawahi kuki block ki Run X.

Akasogea kumpisha, wakiwa level moja ule mgari ukamshushia kiooo, akamuona Harry upande wa dereva, na upande wa abiria akamuona huyo mkewe mdogo kweli sio masihara hana hata 20. Stacy akawa kadata kwa mengi, kwanza ule mgariii, pili umri wa huyo mke, akaona mashikolo mageni. Akasikia Shikamooo! Mke wa Harry anamsalimia yeye. Mmmmmh! Akajibu tu Marahaba hujambo mdogo wangu mzuri? Akasikia sijambo! Akajipedekeza "Hongera umetuletea mrembo mzuriiii mzuriii, nataka nitoe posa, na book mapemaaa."Kwa unafiki Stacy hana mpinzani. Harry akampiga kijembe Stacy "Million 50 yote uliopokea za kutoa mimba ndo kwanza ume downgrade kutok Prado mpaka Rav 4. Hahaahaaa! Mungu anapiga fimbo hapa hapa duniani. Stacy kwenye Rav 4 old model, hahahaaaaaaaa!Nacheka lakini sio mazuri" Stacy nae akacheka tu, akamjibu "We nichekee ku upgrade kutoka Run X mpaka Hyundai sio mchezoo, Mi Rav 4 inatosha Mchagga at my best si ndo gari zetu hivi embu niache na gari yangu inaniweka mjini" Harris akacheka huku. Akamwambia "Aaaah mi nilivosikia umepokea million 50 kukimaliza kile kiumbeee i expected siku kama ya leo ungetembelea Helicopter hivi. Ila yote maisha." Stacy akadakia Ulivosikia nimepokea 50m ni abbort? Umesikia kwa nani? Binadamu wabaya nyieeee, mimba yangu imetoka bahati mbaya wananizushia. Watuuuu! Mungu awanyeshee madini ya kiberiti."

Harry akagunaaa! "Watu wakati mumeo Gill ndo aliniambia. Kwanza zile hela alinipa mimi 50 m nipoteee, nisahau mtoto nikakataa, akaja kukupa wewe ukazidakaaa juu juu, ukamtext na kumshukuru. Alinionesha text zako. Stacy akastukaaa! Akashanga sanaa, Gill?" Harry akamwambia "Bye bwana, naona ushaanza ku act navokujua utataja mizimu yote ya kwenu kuwa Gill muongo, na kuji victmise. Anyway it was longtime ago. Nice seeing you again." Aka kanyaga mafuta motoooo.

Njia nzima sasa Stacy akaanza kupata akili ya makarateka aliomchezea Gilli. Akaegemea angekuwa na hasiraaa, jazba, ghadhabuuu, ila walaaa, akazidikumdharau tu, na kuamini kikulacho ki nguoni mwako na shetani yupo karibu yako kuliko unavodhania. Gill wa kumtoa mimba yeye? Akatikisa kichwa tu. She was glad ameachana nae for good. Afu alivo bandidu kamset Harry kiasi kwama yeye Stacy hana pakutokea. Aiseeeee. That is Gillbert he knows, sema ndo ile unamfuga simba weeeeee ukiamini hawezi kukungata wewe mfugaji. Siku akikumezaa ndo unapata akili sasa. Akawaza potelea potee

Akarudi ofisini mchana akakuta zawadi set ya mkufu na bracelet, white gold imenakishiwa na Tanzanite, akajua Gill, akaitia kwenye dustbin, akaendlea na kazi. Baadae akasikia simu ya ofisi inaita, akapokea Gill, akamwambia "How do you find the gift, i know your taste babe, wear it too dinner tonight, i am taking you out." Stacy akikumbuka mimba yake akashusha tu pumzi akaona huyu kwa chuki na uchungu haendi, dawa yake ni to beat him in his own game.

Akamjibu baada ya ukimya mrefu "i could have worn it to dinner but i threw it in the dustbin oooopppppsss!" Gill akaanza kugomba "Acha utoto do you know how much that set coasts? Hata mke wangu hana hio set. Do you know how much it coasts?" Stacy akamjibu " Trust me i know, it coasted me my baby, i spoke to Harris, he told me about the money, abortion and lies. I know everything, naomba utume mtu aje akuokotee uchafu wako huku kwenye dustbin langu, kesho utamwagwa." Aka kata simu. Akaendela na kazi. Mda si mda akaja mfagizi "MD anataka Dustbin lako, akamwambia hilo hapo."

Harris akawa anawaza na kuwazua nini kimemkuta Stacy mbona kachkaa vile, kachokaa, anajitutumua ila sio kama zamani, sijui umri au maisha tu. Labda kweli kaachika. Akaamua ande kupata kuku sekela bar one time. Akiwa anakula zake sekela akasikia watu wana jadili vijana, Promoter Harry ashafika climax ya career yake i bet you hawezi kufanya show ya kihistoria tenaaa. Show ambazo ameshazifanya ndo hizo hizo. Kwanza umri umeenda anaikaribia 40.

Harry vikamchoma sanaa rohoni akajiapiza kuwafundisha adabu atatengeneza hela ya kustaafia show businesss. Ataandaa show8 ndani ya mikoa 8, siku moja, tarehe moja, mda mmoja, wasanini tu ndo tofauti, kila mkoa anapanga wasanii wake. Na show zote viwanja vya mpira, na zote zitashonaaaa, na ataacha historia ya show business Tanzania. Ata make big money ya ku exit show business, atafute venture zingine za kufanya. Akaanza kujipanga kwa utekelezaji.

Stacy akawa anawaza Harry ana issue gani mpaka apate lile gari? Au kaazima maana mjini hapa huwezi jua.Akawa anawaza ila katoto chake kazuri jamanii. Sijui kumpenda hivo mtoto kumetokana na nini. Akapata wazo azae nae nini? Genes zile kiboko. Harry mwenyewe anamchukia siku hizi atamchotaje mpaka azae nae.

ITAENDELEA.
 
Hahahahahahahahaha nimecheka sana hapa eti kuliko uwe mwanamke wa nje bora uwe mke wa Konda au mpiga debe kha!! Ngoja niendelee kusoma ado ado Mie wkendi yenyewe nipo tu nimeteguka kisigino
Wewe mrembo kila siku nakuita faragha lakini huji,basi jaribu kufikiria upya,mimi nataka uje nikunyonye tu au vipi?,na wala sikufanyi matusi mpaka utakapoona uko tayari au vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom