carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Kumbe mzigo bado
Najua hio scene ya zawadi kwenye birthday umeipendajeee ndo unazopendaga wewe au sio?? Habari za kuingizia robo nusu Robo nusu yoteeeee Tehtehteh
Mahondaw wa Smart911


doh mahondaw wewe umenishinda tabia


Haaa Wee thubutu kukutwa mama utaimba halleluya mbona! Watu wana mitambo jamani mweh! afu hio nusu nusu yoteeeee inanoga kinoma nomaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mahondaw wa Smart911



yaani wewe
Aliyenianzishia ndio mume baba yeyoo jaman ndio mana auntie yangu anakuwa mkali
Kwa kujitetea tu haujambo sweet darling.Alafu inabidi mfahamu, sio kama Dee anampenda sana Sally like amefall kiviile!
Basi tu, anataka akumbushie one time. Na kupooza machungu ya kumwagwa kipindi ramani hazijasoma!
- KANA -
Leo unalala sebuleniI can turn you on, ila usimwambie MTU!
- KANA -

Yule muanzisha thread ndio mmiliki halali na ndie ninaemtambua.
Huyu msomali kawapa nini jamani!!!