Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,383
Basi sawa antie, nyie juaneni tu.Na me nimefikiria hivyohivyo auntie ya kujuana uliyomaanisha ujue![]()
Basi sawa antie, nyie juaneni tu.Na me nimefikiria hivyohivyo auntie ya kujuana uliyomaanisha ujue![]()
Mimi natafuta ubuyu tu rafiki, no more no less.
Baba yeyoo jaman kwahiyo siku zote mambo ya ubuyu huku unanicheka kisogo unajua me mwenzio.![]()

Kitu gani tena jamanUbuyu utaupata ila umeshaongezea uadui, nilishasema kitambo kuna kitu unakitafuta.
Akiiii auntie sijamuelewa ujue baba yeyooo ujue
Baba yeyoo ana lake jambo.Akiiii auntie sijamuelewa ujue baba yeyooo ujue
Kitu gani tena jaman
Ujue auntie namuona anakuja kwakoBaba yeyoo ana lake jambo.
Baba yeyooo hizi avatar fake zisikutishe ujue me nakuzaa ujueWe bado mdogo ujue


me nina kitu cha 55 kibibi gagula mimiBaba yeyooo hizi avatar fake zisikutishe ujue me nakuzaa ujueme nina kitu cha 55 kibibi gagula mimi
UsinikumbusheJana nilicheka sana jaman wanaume wenzie wanamwambia huyo ndio mwanamke wa kumtumia nauli we wapi anasema hizo ndio picha zake shunie nikiongea nae kwenye video call







File lako lote lipo mezani kwangu
file lipii me ndio uniamini sasa ujue nakwambia ukweli
Jana hivi ulikuepo mambo hayo yalivyoanza mbona sijakuona mida ile ya jioni nduguUsinikumbushe![]()
Kwangu hawezi kuja.Ujue auntie namuona anakuja kwako
Nilikuepo ilikuwa nafatilia kimya kimya nisije nikageuziwa kibao mim kama na mim nilitumiwa hiy nauli mwenzangu wanaume wa jf mungu anawaona wallah sio kwa king'anga'nizi kile cha yule kaka loohJana hivi ulikuepo mambo hayo yalivyoanza mbona sijakuona mida ile ya jioni ndugu
Nilikuepo ilikuwa nafatilia kimya kimya nisije nikageuziwa kibao mim kama na mim nilitumiwa hiy nauli mwenzangu wanaume wa jf mungu anawaona wallah sio kwa king'anga'nizi kile cha yule kaka looh








ukatuacha na linamo, carbs na sakayo ukhuty ndugu yangu mbaya sana wewe ujue na leo kama kuniquote ujinga wake alitaka nimjibu anijie na i'd yake ya kiume ya kumtapeliNdo ilikuwa najiandaa nije nyumban kwako kukuhabarisha kuwa usimjibu tumuone leoukatuacha na linamo, carbs na sakayo ukhuty ndugu yangu mbaya sana wewe ujue na leo kama kuniquote ujinga wake alitaka nimjibu anijie na i'd yake ya kiume ya kumtapeli
Kwasababu namdai.kwa nini auntie
Ndo ilikuwa najiandaa nije nyumban kwako kukuhabarisha kuwa usimjibu tumuone leo






sijamjibu kumbe uliona dada walijibiana na muosha rungu wake