Weekend Story! Glory Be To God!

Aisee hivi watu wanakosaga ya kuongea ujue bada waongee mapenzi yao wanaanza kudanganyana
Mie nilikuwa namtetea nikimuona wa maana kumbe garasa tu. Just let her be my dear.
 
Ikiwa aliekuwa Sauli alikiri na kumuabudu Mwenyezi Mungu na alikuwa anaua mpaka kijiji kizima peke yake, sishangai Lara kumgeukia na kumtumikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…