lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,117
- Thread starter
- #21
Mariana.
I knew not marrying was an issue to many women but i never suspected it will be an issue to Anna, my young sister. She was always so lively, so bubbly, so full of life, i swear i believed she could conquer the world. She was always the smart one, and i was the beautiful one with peanut brains. She will always get the best grades and all, but i loved her all the same because she was my little sister that i grew up with.
Haya mambo ya kukosa mume yalianza kumuingiaaa, i could see she was struggling, she was tring to stay relevant and look happy, she could have fooled them all but not me, cause i knew her. Wished i could help her, tried to help her so many times but i just couldnt. I swear if it was all me i would have created the man she wanted just for her. But we always dont get what we want do we?
Mara kwa mara ananisifia Mariana una bahati sanaaa, Mungu anakupendaaa, amekupa Mume, familia, mwanaume anaekujaliaa sana, you have everything you ever wanted and i have nothing. Sio kwamba nakuwa mkosefu wa shukrani la hasha some how yes nimebahatika na Mungu ananipenda sanaa ila some how it is all my efforts na kufanya maamuzi magumu several times, yaani kujitoa akili kweli kweli na kujilipuaaa sema vile venye naonaga aibu sema ile ukweli ya ndani, so i just flow with their praises and enjoy them while they last. Ila ukweeee wa hii ndoa yangu nilivoipata pata naujua mimi na Mungu wangu baaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssss. Msijali wasomaji mie na nyie tenaaa nitwapa ubuyu wote A to Z venye nilimuingiza kingi huyu jibaba.
Not that i was unhappily married nor was i happily married either. Nilukwa kati kwa kati vile watu wanapenda kuangalia kile unachowaonesha basi wanaamini kumbe upuuzi mtupu. Kwanza mimi nimezaa watoto wa 2 wote wa kike, na kizazi nimefungaa kabisaaa sipendangi ujinga ujingaaa, but i could tell the bastard of a husband nilie nae badala ya kuona watoto anatoa Mungu, he is secretly yearning for a BOY child. Mxiuuuuuuuuuuu! Wanaume saingine. Mtoto wa pili nimechanika chanikaaa sifaiiii, nikapigwa na kisuuu juuu leba huko, balaaa tupu almanusraaa nifeeeee kabisaaa ila jitu zima bado linatamani mtoto wa kiume utdhani yule wa kike nimemkohoaaa sijamzaa nusu ya kufa. Basi tu maisha kama Mange Kimambi kweli anavoongea ukizaa K inakuwa kubwaa mpaka ufanyiwe vaginalplasty kurekebisha, basi kwa kuchanika kule namzidi mama wa 6, sina tu hela ningeeda kujitreat na hio vaginalplasty. Jamaniiii, nikasema SIZAIIIIII tenaaaa hata ikiingia bahati mbaya natoaaaa. Nikapiga vijiti vyangu vya kutoshaaa.
Jinaume likiwa na hila unaliona kabisaaa mambo yake basi tu unaaamua kunyamaza, baada ya kugoma kuzaa tena, nikalibamba na vipimo vya mimba vya mwanamke mwingine, so he was trying for the Boy na mwanamke mwingine. Palichimbikaaa nikamwambia kama mimi ni Mariana, ni mkeo umenioa kanisani na namtumikiaaa Mungu huyu alie hai, akakupa wewe uwe wangu, na yeye ndo kanipa mimi watoto wa kike wenye afya teleee, na nilishonwa nyuzi zisizo na idadi, K yangu ilichnikaa mpaka kesho siwezi kujichungulia nikulete mtoto leo unanilipa hiviii, huyo malaya wako atazaa mtoto wa kike, sababu tangu lini malaya akazaa mtoto wa kiume, lazima azae wa kike aendeleze kazi ya mama ake kutembea na wanaume za watu na ikitokea kazaa wakiume atakuwa shogaaa tena anaevaa sketi na kupaka shedooo.
Nilipigwaaaa siku hio msisikie, sikuwahi kupigwa ila siku hio nilipigwa haswaa haswaa, na kwa ile prophecy ya kishetani niliomtamkia i went over board a little, sikwenda kusema kokote kama kanipiga nikawa najikanga na chumvi maji moto basi. Aliondoka baadae akaanza kurudi baada ya kujisalimisha kwa mchungaji nyamaaafffffff. Yule mwanamke alizaa mtoto wa kike kweli, tangu lini wahenga wakakoseaga? Maskini ikawa bahati mbaya, hakukaa hata siku 3. You best the son of beach was guilty beyond measures. Sijui alihisi nina mkono kwenye lile swala, sijui ila mimi walaaaa, basi tu haikuwa riziki.
They never got back together, he got his shit straight akabadilika kabisaaaa kabisaaa na kujirekebisha kama sio yeye anajifanya mtu wa familia na mapendo mengiiii, Mxiuuuuuuuuuuuuuu. Namtizama tuuuu, aibu zake mwenyewe. Yani ndoa ni safari ndefuuu isikie tu kwa wenzio. Nikagutuka niko na Anna pale, na kama kavurugwa flani nikawa naongea nae.
Namchagiza sasa Anna mbona unachagua sanaaaa mdogo wangu, wanaume wote tu chupi mbovu, ni kutafuta yenye tobo dogo dogo ujistiri nayo safari iendeleeee. Yule chotara ulisema kibamia kazi haiwezi na yule mwanasheria ukasema mbayaaaa sanaaa kama shemeji yako heheeeeeeeeee, na shemeji yako kaharibu watoto, mitoto ya kike kufanana na baba yao ndo nini sasa, na wahaya walivo weusi wabaya, badala wachukue mishepu ya bibi zao bukoba huko wanangaa sharubu tu.
Mdogo wangu usitake kuchambaa sanaa mwisho ujichubue, lower your standards jiokotee scrapper yako hivo hivo mnaenda mdogo mdogo. Wenzio hivo hivo tumefosi kingi, kwani kuna kupendana Romeo and Julliet, hamna lolote mi sikufichi shemeji yako muhaya nimeanza kumpenda humu humu ndani, unafikiri.
Nilivokutana nae nilikuwa na shida ya field tukatambulishwa akanitafutia field, nimefika pale booss wake akajichanganya nikawa namlia pesa zake kama sio mimi, tukikutana mambo, poa, kwani vepeeee. Boss nimemchunaaa yule field ikaisha nikaenda chuo. Muhaya anakuja chuo anasalimia tu sio kivileee. Alieharibu shoga etu Zai kaniona na muhaya ndo kuniambia Muhaya ana mawe kinomaaa. Haaaaaaaa! Sijui kamjulia wapi, mi nikamwambia mbona wizarani hana cheo, akasema anacheza dili za hatari balaaa. Kama huamini muombe laki 5 mwambie huna ada. Mmmmmmmmmmmmhhhhhhh! Nikaliweka kiporo.
Huku na huku kanitongoza nikamuomba laki 5 mzima mzima, tena kipindi hiko nipo na K, hata hatujaachana, akanipaaa, aaaah, nikawa naikoga mihela, na ile kampani yetu kwa matanuziiii, K tupa kuleeeeee nataka ujinga mieeee. Sasa muhaya mwingi tatizo lake, ana ma GF longtime walisoma wote sijui wanafanya kazi wote, nikasema hawanijui. Nikabeba mimba, wenyewe K zao si wanazibania, mi nikajilipuaaaa, Kitu na box, nikagemuaaa Game over!
Nyoooooooooooooooooo, iwe rahisi hivo nakunya mpaka kigoma, nimebeba mimba, katoa mahari, afu basi. Nimezaa haongelei harusi kabisaaaaaaaaa. Kama alilogwa. Nikaanza kampeni dume, nanunaaaaa, sichekiii, siongeiiiii. Akikohoa ndoa, akienda kukojoa ndoa, akiwa anakula ndoa, swala ndo hilo hilo tu. Mwisho akawachoka aaksema basi sawaaa nakuoa kwa harusiiii. Heheheeeeeeeeeee! Mjini hapaaaa.
Ila ningetaka fairy tale mbona ingekuwa bado shoga aangu, mkpaka sijui anipendee, atake mwenyewe thubutuuuuuuuuuuu. Mambo mjini ni kufosi kingi, na wewe kujishusha ndo hutakiiii, hutakiii mdogo wangu sasa sijui tunafanyaje hili swala lako. Labda uendelee kuomba Mungu, manake sasa tufanyajeee.
I have officially stopped praying for a husband. Mmmmmmmmmmmhhhhhhh! Nikashangaaa, Anna atakuwa keshakata tamaa ya maisha kabisaaa, aiseeeeeeeeeee. Daaaaaaaaah. Kama dada mkubwa itabidi tu nifanye makarateka nitafutie mtu, maybe match making au blind date, kwanza watu kibao hawajao, wadogo zake nani yuleee, na flora na Josma, watu bado wapo, maybe i should just hook her up na vijana wenzie. Nikimwambia atagomaa hapendi vya kunyonga huyoo ashazoea vya kuchinjaaa, nitamfanyia kama coincidence kumbe kuna mkono wangu dada kubwa.
Atapata tu mtu mbonaaa, wale kina bonge Halima, mwajuma malaya, Tatu mcharuko wote wamepata waume wa maana tu hutoamini itakuwa mdogo wangu Anna, sitaki kuamini wala kukubali. Hapa niweke tu effort tuone itakwendaje.
ITAENDELEA KESHO JIONI.
I knew not marrying was an issue to many women but i never suspected it will be an issue to Anna, my young sister. She was always so lively, so bubbly, so full of life, i swear i believed she could conquer the world. She was always the smart one, and i was the beautiful one with peanut brains. She will always get the best grades and all, but i loved her all the same because she was my little sister that i grew up with.
Haya mambo ya kukosa mume yalianza kumuingiaaa, i could see she was struggling, she was tring to stay relevant and look happy, she could have fooled them all but not me, cause i knew her. Wished i could help her, tried to help her so many times but i just couldnt. I swear if it was all me i would have created the man she wanted just for her. But we always dont get what we want do we?
Mara kwa mara ananisifia Mariana una bahati sanaaa, Mungu anakupendaaa, amekupa Mume, familia, mwanaume anaekujaliaa sana, you have everything you ever wanted and i have nothing. Sio kwamba nakuwa mkosefu wa shukrani la hasha some how yes nimebahatika na Mungu ananipenda sanaa ila some how it is all my efforts na kufanya maamuzi magumu several times, yaani kujitoa akili kweli kweli na kujilipuaaa sema vile venye naonaga aibu sema ile ukweli ya ndani, so i just flow with their praises and enjoy them while they last. Ila ukweeee wa hii ndoa yangu nilivoipata pata naujua mimi na Mungu wangu baaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssss. Msijali wasomaji mie na nyie tenaaa nitwapa ubuyu wote A to Z venye nilimuingiza kingi huyu jibaba.
Not that i was unhappily married nor was i happily married either. Nilukwa kati kwa kati vile watu wanapenda kuangalia kile unachowaonesha basi wanaamini kumbe upuuzi mtupu. Kwanza mimi nimezaa watoto wa 2 wote wa kike, na kizazi nimefungaa kabisaaa sipendangi ujinga ujingaaa, but i could tell the bastard of a husband nilie nae badala ya kuona watoto anatoa Mungu, he is secretly yearning for a BOY child. Mxiuuuuuuuuuuu! Wanaume saingine. Mtoto wa pili nimechanika chanikaaa sifaiiii, nikapigwa na kisuuu juuu leba huko, balaaa tupu almanusraaa nifeeeee kabisaaa ila jitu zima bado linatamani mtoto wa kiume utdhani yule wa kike nimemkohoaaa sijamzaa nusu ya kufa. Basi tu maisha kama Mange Kimambi kweli anavoongea ukizaa K inakuwa kubwaa mpaka ufanyiwe vaginalplasty kurekebisha, basi kwa kuchanika kule namzidi mama wa 6, sina tu hela ningeeda kujitreat na hio vaginalplasty. Jamaniiii, nikasema SIZAIIIIII tenaaaa hata ikiingia bahati mbaya natoaaaa. Nikapiga vijiti vyangu vya kutoshaaa.
Jinaume likiwa na hila unaliona kabisaaa mambo yake basi tu unaaamua kunyamaza, baada ya kugoma kuzaa tena, nikalibamba na vipimo vya mimba vya mwanamke mwingine, so he was trying for the Boy na mwanamke mwingine. Palichimbikaaa nikamwambia kama mimi ni Mariana, ni mkeo umenioa kanisani na namtumikiaaa Mungu huyu alie hai, akakupa wewe uwe wangu, na yeye ndo kanipa mimi watoto wa kike wenye afya teleee, na nilishonwa nyuzi zisizo na idadi, K yangu ilichnikaa mpaka kesho siwezi kujichungulia nikulete mtoto leo unanilipa hiviii, huyo malaya wako atazaa mtoto wa kike, sababu tangu lini malaya akazaa mtoto wa kiume, lazima azae wa kike aendeleze kazi ya mama ake kutembea na wanaume za watu na ikitokea kazaa wakiume atakuwa shogaaa tena anaevaa sketi na kupaka shedooo.
Nilipigwaaaa siku hio msisikie, sikuwahi kupigwa ila siku hio nilipigwa haswaa haswaa, na kwa ile prophecy ya kishetani niliomtamkia i went over board a little, sikwenda kusema kokote kama kanipiga nikawa najikanga na chumvi maji moto basi. Aliondoka baadae akaanza kurudi baada ya kujisalimisha kwa mchungaji nyamaaafffffff. Yule mwanamke alizaa mtoto wa kike kweli, tangu lini wahenga wakakoseaga? Maskini ikawa bahati mbaya, hakukaa hata siku 3. You best the son of beach was guilty beyond measures. Sijui alihisi nina mkono kwenye lile swala, sijui ila mimi walaaaa, basi tu haikuwa riziki.
They never got back together, he got his shit straight akabadilika kabisaaaa kabisaaa na kujirekebisha kama sio yeye anajifanya mtu wa familia na mapendo mengiiii, Mxiuuuuuuuuuuuuuu. Namtizama tuuuu, aibu zake mwenyewe. Yani ndoa ni safari ndefuuu isikie tu kwa wenzio. Nikagutuka niko na Anna pale, na kama kavurugwa flani nikawa naongea nae.
Namchagiza sasa Anna mbona unachagua sanaaaa mdogo wangu, wanaume wote tu chupi mbovu, ni kutafuta yenye tobo dogo dogo ujistiri nayo safari iendeleeee. Yule chotara ulisema kibamia kazi haiwezi na yule mwanasheria ukasema mbayaaaa sanaaa kama shemeji yako heheeeeeeeeee, na shemeji yako kaharibu watoto, mitoto ya kike kufanana na baba yao ndo nini sasa, na wahaya walivo weusi wabaya, badala wachukue mishepu ya bibi zao bukoba huko wanangaa sharubu tu.
Mdogo wangu usitake kuchambaa sanaa mwisho ujichubue, lower your standards jiokotee scrapper yako hivo hivo mnaenda mdogo mdogo. Wenzio hivo hivo tumefosi kingi, kwani kuna kupendana Romeo and Julliet, hamna lolote mi sikufichi shemeji yako muhaya nimeanza kumpenda humu humu ndani, unafikiri.
Nilivokutana nae nilikuwa na shida ya field tukatambulishwa akanitafutia field, nimefika pale booss wake akajichanganya nikawa namlia pesa zake kama sio mimi, tukikutana mambo, poa, kwani vepeeee. Boss nimemchunaaa yule field ikaisha nikaenda chuo. Muhaya anakuja chuo anasalimia tu sio kivileee. Alieharibu shoga etu Zai kaniona na muhaya ndo kuniambia Muhaya ana mawe kinomaaa. Haaaaaaaa! Sijui kamjulia wapi, mi nikamwambia mbona wizarani hana cheo, akasema anacheza dili za hatari balaaa. Kama huamini muombe laki 5 mwambie huna ada. Mmmmmmmmmmmmhhhhhhh! Nikaliweka kiporo.
Huku na huku kanitongoza nikamuomba laki 5 mzima mzima, tena kipindi hiko nipo na K, hata hatujaachana, akanipaaa, aaaah, nikawa naikoga mihela, na ile kampani yetu kwa matanuziiii, K tupa kuleeeeee nataka ujinga mieeee. Sasa muhaya mwingi tatizo lake, ana ma GF longtime walisoma wote sijui wanafanya kazi wote, nikasema hawanijui. Nikabeba mimba, wenyewe K zao si wanazibania, mi nikajilipuaaaa, Kitu na box, nikagemuaaa Game over!
Nyoooooooooooooooooo, iwe rahisi hivo nakunya mpaka kigoma, nimebeba mimba, katoa mahari, afu basi. Nimezaa haongelei harusi kabisaaaaaaaaa. Kama alilogwa. Nikaanza kampeni dume, nanunaaaaa, sichekiii, siongeiiiii. Akikohoa ndoa, akienda kukojoa ndoa, akiwa anakula ndoa, swala ndo hilo hilo tu. Mwisho akawachoka aaksema basi sawaaa nakuoa kwa harusiiii. Heheheeeeeeeeeee! Mjini hapaaaa.
Ila ningetaka fairy tale mbona ingekuwa bado shoga aangu, mkpaka sijui anipendee, atake mwenyewe thubutuuuuuuuuuuu. Mambo mjini ni kufosi kingi, na wewe kujishusha ndo hutakiiii, hutakiii mdogo wangu sasa sijui tunafanyaje hili swala lako. Labda uendelee kuomba Mungu, manake sasa tufanyajeee.
I have officially stopped praying for a husband. Mmmmmmmmmmmhhhhhhh! Nikashangaaa, Anna atakuwa keshakata tamaa ya maisha kabisaaa, aiseeeeeeeeeee. Daaaaaaaaah. Kama dada mkubwa itabidi tu nifanye makarateka nitafutie mtu, maybe match making au blind date, kwanza watu kibao hawajao, wadogo zake nani yuleee, na flora na Josma, watu bado wapo, maybe i should just hook her up na vijana wenzie. Nikimwambia atagomaa hapendi vya kunyonga huyoo ashazoea vya kuchinjaaa, nitamfanyia kama coincidence kumbe kuna mkono wangu dada kubwa.
Atapata tu mtu mbonaaa, wale kina bonge Halima, mwajuma malaya, Tatu mcharuko wote wamepata waume wa maana tu hutoamini itakuwa mdogo wangu Anna, sitaki kuamini wala kukubali. Hapa niweke tu effort tuone itakwendaje.
ITAENDELEA KESHO JIONI.