Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Haha ndivyo inavyokuwa Kwa kweli. A bad boy who knows how to treat his girl like a queen, gadeeemAlafu majitu ya hivi huwa yana bahati ya kupendwa!!
Kweli walosema women loves bad boys nahisi hawakukosea.
mbona mariane!!
Asitutimue jamani maana tunavuta muda kusubiri episode nyingine, lasivyo tasinzia mie. Acha tujambe tu, tutafanyaje na ndio ashatukamata.
Atuvumilie tu teh
Mwanaume laghai yule kama politician vile
Kama kweli hivi...K atakuwa ameplan na Humphrey kurudsha ndoa
Na kampata wa kumchezea.Aiseee hii kali kuliko ila freddy mbona haelewek?sitaki nataka nyingi
Vipi ushasoma sasa?Tehe!, naanza kucheka kabla sijasoma stori.
Inaonyesha tamu haswa.
Eti hata wa kusingiziwa!!!AF FREDDY HAZAI AU?
manake simsomi!
ILA ehehheheheheh HATA KAMA NI MIMI!
freddy ni box of all prizes bana!
ndo najiuliza !Eti hata wa kusingiziwa!!!
Maybe na aina ya wanawake anaokuwa nao, ni wale wanawake wa mujini ambapo ukizaa umevuruga so inabidi wawe makini.ndo najiuliza !
ananipa mawazuuuuuu!
psyuuuuu ila linat...................mbaaaaaaaaaaaaa woooih!
Hapo ndio atajua shetani yupo na anatenda kazi, mwanzo si aliamini Mungu yupo alipoambiwa alale apumzike!! Now ni wakati wa bwana mdogo kujidhihirisha.
Unacopy stories yooote ili iweje ssHuhuuu