Bora hata mimba ingekuwa ya Humphrey, sasa huyu mume wa mtu si ndio majanga!!Masikin M namuonea huruma sijui K atafanyaje akigundua mkewe anamimba
Kichajo chenyewe sasa sijui cha mr kibamia au mwarabu!! Yaani imbombo ngafu.Na mie huniondoi kwa cr7. Naona Marianne kasusa mwili hadi kupata kijacho
Hahah sipati picha kakitoka kashombe shombeKichajo chenyewe sasa sijui cha mr kibamia au mwarabu!! Yaani imbombo ngafu.
Hapo ndio atajua shetani yupo na anatenda kazi, mwanzo si aliamini Mungu yupo alipoambiwa alale apumzike!! Now ni wakati wa bwana mdogo kujidhihirisha.Hahah sipati picha kakitoka kashombe shombe
Hahaha kweli sheitwan yupoHapo ndio atajua shetani yupo na anatenda kazi, mwanzo si aliamini Mungu yupo alipoambiwa alale apumzike!! Now ni wakati wa bwana mdogo kujidhihirisha.
Uncle Fredy wako chapombe yuko wapi?Hahaha kweli sheitwan yupo
Ha ha tangu nimsusie kanikimbiaUncle Fredy wako chapombe yuko wapi?
Basi akirudi mwambie unahamia kwa Humphrey bwana viinglish.Ha ha tangu nimsusie kanikimbia
Hivi bwana viinglish ilikuwaje maana hata sikuelewa!!! Ilawe mtoto na wewe mweeeeh!!!
Na weweee, alianza kunitelekeza mwenyewe, mahaba ya mwanzoni kushneyHivi bwana viinglish ilikuwaje maana hata sikuelewa!!! Ilawe mtoto na wewe mweeeeh!!!
Sijui hata chapombe alitokea wapi!!
Na weweee, alianza kunitelekeza mwenyewe, mahaba ya mwanzoni kushney
Tena atakeketa kwa jiwe,mana kumegewa amegewe na mimba tena?atanyonga mtu kwakwel...naona safar ya marianne hiyo na fuko lake la pichuBora hata mimba ingekuwa ya Humphrey, sasa huyu mume wa mtu si ndio majanga!!
Aombe mtoto atoke mwafrika alafu afanane na mama, lasivyo K atakeketa mtu.
Tangu aulizie parking mwaka unapita tu, atashangaa tu yamenipata ya marianne
When love dies, na chapombe nae naona anaelekea hukohuko.
Tena atakeketa kwa jiwe,mana kumegewa amegewe na mimba tena?atanyonga mtu kwakwel...naona safar ya marianne hiyo na fuko lake la pichu
Tangu aulizie parking mwaka unapita tu, atashangaa tu yamenipata ya maruanne
Haha lara atakuja kututimua hapa, tukajambe mbele na vistory vyetu
Atuvumilie tu tehmbona mariane!!
Asitutimue jamani maana tunavuta muda kusubiri episode nyingine, lasivyo tasinzia mie. Acha tujambe tu, tutafanyaje na ndio ashatukamata.
Na maneno yake matamu kama Humphrey.Atuvumilie tu teh
Mwanaume laghai yule kama politician vile
Teh kasahau kuwa "sijaribiwi"Na maneno yake matamu kama Humphrey.