Hawa ndugu wanataka ukiwa bonge, uwe tu bonge kwenye hips na tako, futuka na huku juu uone mweee. Ila ni vizuri kumaintain mwili bana, hata kama ukiwa bonge unakuwa ubonge wa afya. Kuna unene unazidi hadi unakuwa threat ya afya yako wewe mwenyewe jamani