Wee mchungaji acha kutukera wenzio

Atakutana na Mwenye maradhi amshughulikie...
 
hahahaahah ya kaisari mpe kaisari [HASHTAG]#mama[/HASHTAG] mchungaji! na usiwaonee wivu wa "mataifa" wakiagiza [HASHTAG]#desperado[/HASHTAG] zao !
 
hahahaahah ya kaisari mpe kaisari [HASHTAG]#mama[/HASHTAG] mchungaji! na usiwaonee wivu wa "mataifa" wakiagiza [HASHTAG]#desperado[/HASHTAG] zao !
hahahaahahah, upo rafiki yangu? nakwambia kuna watu wanapenda kuudhi wenzao!! eti tuishi kama wote ni SDA wakati wengine tumebatizwa kwenye vimaji vya kumiminiwa kichwani kidogo tu
 
hahahaahahah, upo rafiki yangu? nakwambia kuna watu wanapenda kuudhi wenzao!! eti tuishi kama wote ni SDA wakati wengine tumebatizwa kwenye vimaji vya kumiminiwa kichwani kidogo tu


hahahahah nipo shost !aisee naielewa sana hyo situation !siku nyingine mpeni makavu !na wana madeko hao wamama wachungaji !uwii wananyenyekewa mnooooo !mama angu anapelekaga had sukari [HASHTAG]#kwamchungaji[/HASHTAG] wao!
usishangae anavyolalamika hvyo ndo wamelelewa namna hyo km wafalme fulan !

mie siwez jaman !anywys mama mwana kondoo wa Mungu atoe marejesho fresh aache kuremba !siku mnywee hata ka "k vant" mbwatukie
 
hahahahahahah
 
Huku kwetu kuna Mama mchungaji wa kanisa la Efatha yeye anataka ata deki kufuliwa nguo zoote anataka wamfanyie inakeraje akina mama mchungaji
 
Ndege wanaofanana huruka pamoja.. nyie hamfanani kwa hiyo lazma msiendane tu...
Yeye sasa kwa kuwa ameamua kuwa na sisi afanye yetu, asilazimishe kufanya mazingira ya kule kanisani wanapomnyenyekea!!! sisi huku ni kufuata taratibu za kikundi tu, hakuna cha zaidi
 
Huku kwetu kuna Mama mchungaji wa kanisa la Efatha yeye anataka ata deki kufuliwa nguo zoote anataka wamfanyie inakeraje akina mama mchungaji
Basi itakuwa ndio tabia yao, maana hata huyu naona kama ikiwa kuna msabato mwenzio labda alimlipia ada akimdai utamsikia "yaani hata wewe Yukina unanidai?!" hahahahahah
 
Yaani kama mie ndio ananionaga "shetwani" kweli maana nikianza kunywa akianzisha maneno yake, na mjibu kwa ufupi kuwa "imani yangu ya kanisa katoliki inaruhusu kunywa dada"
 
Yeye sasa kwa kuwa ameamua kuwa na sisi afanye yetu, asilazimishe kufanya mazingira ya kule kanisani wanapomnyenyekea!!! sisi huku ni kufuata taratibu za kikundi tu, hakuna cha zaidi
Sasa inakuwaje mnashindwa kumuweka kwenye mstari? hamna uongozi wa kikundi? mambo kama hayo ndo kiongozi anachukua nafasi yake kuwaweka members wote kwenye mstari mmoja.. na ndiyo maana miongozo na taratibu zimewekwa.. vikundi vinatakiwa kuwa vyombo vya kutatua kero mbalimbali, siyo kuleteana makwazo.. tatizo ni kuwa huyo mama mchungaji keshazoea hayo maisha.. na kama kawa mama mchungaji kwa miaka mingi tayari anaona kila mahali anatakiwa kuchukuliwa hivyo hivyo.. na wale wamezoea kupewa siyo kutoa.. sasa kazi kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…