MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Yaani kama mie ndio ananionaga "shetwani" kweli maana nikianza kunywa akianzisha maneno yake, na mjibu kwa ufupi kuwa "imani yangu ya kanisa katoliki inaruhusu kunywa dada"
ahhahaha nakukumbuakag kwenye uzi mmoja uliambiwa sijui unywe dawa za minyooo ulidai maziwa yanawasha hahaha ukauliza ukinywa hizo dawa je utaweza kupombeka?? jaman nilichekaaaaaaaaaaa