ha haaaaaaaaaaaaaa, hilo ni dongo rafiki? zawadi imefika, with thanx
sisi ni mapacha tumeachiana ziwa kwa mama yetu!You know it is not that easy for a man to put up with a woman for 13 years.
So, there must something special from other side as well. It takes two to tango, they say.
Ndo maana nimemtumia mkuu wa kaya zawadi pia. Atakuwa siyo dhaifu huyu.
BTW unawajua hawa SnowBall na snowhite? Ni ndugu?
Kuna sehemu nimeona pameandikwa SnowBall and snowhite like this. Imependaza kweli.
Halafu how do we pronounce snowhite? snow-hite or sno-white?. Confused!
Asante sana, ni kweli mkuu wa kaya si dhaifu, ndo maana tumefika hapa, na naamini tutaendelea zaidi.You know it is not that easy for a man to put up with a woman for 13 years.
So, there must something special from other side as well. It takes two to tango, they say.
Ndo maana nimemtumia mkuu wa kaya zawadi pia. Atakuwa siyo dhaifu huyu.
BTW unawajua hawa SnowBall na snowhite? Ni ndugu?
Kuna sehemu nimeona pameandikwa SnowBall and snowhite like this. Imependaza kweli.
Halafu how do we pronounce snowhite? snow-hite or sno-white?. Confused!
Asante sana, ni kweli mkuu wa kaya si dhaifu, ndo maana tumefika hapa, na naamini tutaendelea zaidi.
hawa ndugu nawafahamu; snowhite ni mlongo wangu na huyo SnowBall ni pacha wa mlongo wangu, wanafwatana hao kila sehemu wapo pamoja. kuhusu utamkwaji wa jina lake ngoja atakuja mwenyewe sasa hivi kudadavua
chako lazima utakijua tu hata iwejeAHAAHHAHAHH dada bora huwajua walio wake!tunavofatana na pacha wangu wacha kabisa !hili swali wanajiuliza wengi kweli kweli!wengine hudhani siye ni mke na mume eti!
AHAAHHAHAHH dada bora huwajua walio wake!tunavofatana na pacha wangu wacha kabisa !hili swali wanajiuliza wengi kweli kweli!wengine hudhani siye ni mke na mume eti!
Babu nilikuona hapa uwanjani muda mrefu sana, nikawa nasubiri kwa hamu mambo yako. asante sana babu.Hongera sana @FP,
Ni jambo la kufurahisha sana kufikia hatua hiyo....
Hebu tujuze...njia yako imekuwa tambarare muda wote??
Mungu akubariki sana na kila la heri....
Naona kidogo nisahau...tunasherehekaje sasa??
Babu DC!!
Kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu dadaangu FP nakuombea maisha mema ya ndoa..na Mwenyezi Mungu akubariki sana!.....Ushauri wangu: Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe..so, be strong as you have been for those 13 years!
Kibao cha kushushia namuomba fundi mitambo BAK akuwekee wimbo wa Diana Ross usemao 'when you tell me that you love me'
Asante sana, ni kweli mkuu wa kaya si dhaifu, ndo maana tumefika hapa, na naamini tutaendelea zaidi.
hawa ndugu nawafahamu; snowhite ni mlongo wangu na huyo SnowBall ni pacha wa mlongo wangu, wanafwatana hao kila sehemu wapo pamoja. kuhusu utamkwaji wa jina lake ngoja atakuja mwenyewe sasa hivi kudadavua
Asante sana rafiki, Barikiwa
hongereni sana jamaniAsante kwa huo ufafanuzi kudhibitisha yaliyosemwa na snowhite na SnowBall. Kwetu pia tupo hapo jamvini wote. Yupo MTM, FJM, EJM jfm na mie EMT. Sie zote ndugu pia, ila tofauti na akina Snowwhite na SnowBall, sie baba mmoja mama mbalimbali. Ila baba yetu siyo dhaifu kihivyo. lol.
Tupongezaji tafadhali.
ndugu zangu wapendwa, leo tarehe 9/10 ni kumbukumbu ya agano langu la ndoa kati yangu na mpenzi wangu miaka 13 iliyopita.
Namshukuru sana mungu wangu kwa kunipa huyu rafiki yangu kuwa mwenzangu. Ni jambo ambalo sijawahi kulijutia katika miaka yote 13 niliyoishi naye. Nazidi kumwomba mungu tuzidishe upendo katika haya maisha tuliyoyachagua.
Nawaomba pia rafiki zangu wenye mapenzi mema mzidi kutuombea maisha yenye upendo, baraka na neema.