Wedding Anniversary

Wedding Anniversary

my dear, upo pande zipi?? pande zile au zile nyingine na wakwe zangu?? salamu zimefika nitakusalia sala yangu, hiyo ndiyo haswa zawadi yangu kwenu!
asante my dear.......
mwenzangu, zile ambazo wakwezo hawapo, kwi kwi kwiiiiiii.
Asante kwa zawadi ya wakwe warembo............... naamini nao wataishi kwa Upendo na amani kama wazazi wao
 
yan Snowhite,
Ndoa ni maisha ya kijamii,
Muunganiko wa jamii mbili tofauti
mwanaume atatoka kwao na mwanamke vilevile atatoka kwao
kila mmoja ana malezi yake,
Wanapoungana kuishi pamoja
lazima mabaya na mazuri yatokee
ili muunganiko ukamilike..

sasa wanaolalamikia NDOA au Mahusiano, huwa wanachukua negative tuu na positive wanaiacha
zen wanaanza kuwatisha wenzao kwamba ndoa mbaya au mapenzi mabaya!

na wakati watu wanajienjoy kwenye mapenzi yao..kama FP hapa c ametoa ushuhuda mzuri means ndoa/mapenzi ni nzuri tuu!
Umenena sawa kabisa mpendwa.
ila hata hao wanaolalamika siyo kwamba ndoa zao ni mbaya 100% ila binadamu tuna tabia ya kuongelea sana mabaya kuliko mema
 
Yeeah it sounds vital to hear also the other side of marriage as we have always been bombarded with the negativity..
By the way...mdogo wangu wa kuachiana ziwa snowhite mie nipo salama tu bwana...Nasubiri tu muda ufike tukapige mpunga kwa bidada FP na shemeji kwa kufikisha aka kadhaa za kuwa na pingu za maisha...

kaka yangu mpenzi wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,dada FP kasema leo watakuwa wenyewe tu na shem wetu!sisi tusubiri ya miaka 15,sana sana tunaweza kwenda sehemu tujipige jipilau kwa niaba yake,af tuwapitie watoto tuwbaby sit!ili wawe na the whole house by themselves full kukimbizana juu ya makochi!
 
Last edited by a moderator:
Yeeah it sounds vital to hear also the other side of marriage as we have always been bombarded with the negativity..
By the way...mdogo wangu wa kuachiana ziwa snowhite mie nipo salama tu bwana...Nasubiri tu muda ufike tukapige mpunga kwa bidada FP na shemeji kwa kufikisha aka kadhaa za kuwa na pingu za maisha...
labda mpunga tufanye weekend, leo ni kwa ajili yetu wa2 tu. si unajua tunahitafi kufanya analysis? tulianza jana usiku, tutamalizia leo usiku, ha haaaaaaaaa
 
Mie naona kama watu wanamwaga mahongera kwa tuu vile?
Nampongeza pia huyo mkuu wa nyanda za juu kusini.
Mpe hii zawadi on behalf please. lol

13th_anniversary_funny_quote_dark_tshirt.jpg
ha haaaaaaaaaaaaaa, hilo ni dongo rafiki? zawadi imefika, with thanx
 
Hongera sana FP "mpiga debe wangu"...! Ndoa yenu bado changa jamani...!
mpiga debe mimi nashukuru sana, bado nakumbuka..... hope ile ndoa haijavunjika.
Nashukuru sana kwa kunikumbusha kuwa ndoa yetu bado changa. Ni kweli bado changa, we have long way to go...... hii ni changamoto niendelee na mapambano na shetani ili ikomae. Thanx alot
 
kaka yangu mpenzi wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,dada FP kasema leo watakuwa wenyewe tu na shem wetu!sisi tusubiri ya miaka 15,sana sana tunaweza kwenda sehemu tujipige jipilau kwa niaba yake,af tuwapitie watoto tuwbaby sit!ili wawe na the whole house by themselves full kukimbizana juu ya makochi!
that's my sister........................ cheers!
 
Haina noma my dearest lovely pacha wa kuachiana ziwa snowhite ..tutawapaitia watoto ili tuwaache wenyewe wakubwa wajifanyie analysis...By the way weekend hii vipi hakuna darasa??

labda mpunga tufanye weekend, leo ni kwa ajili yetu wa2 tu. si unajua tunahitafi kufanya analysis? tulianza jana usiku, tutamalizia leo usiku, ha haaaaaaaaa
kaka yangu mpenzi wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,dada FP kasema leo watakuwa wenyewe tu na shem wetu!sisi tusubiri ya miaka 15,sana sana tunaweza kwenda sehemu tujipige jipilau kwa niaba yake,af tuwapitie watoto tuwbaby sit!ili wawe na the whole house by themselves full kukimbizana juu ya makochi!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wapendwa, leo tarehe 9/10 ni kumbukumbu ya agano langu la ndoa kati yangu na mpenzi wangu miaka 13 iliyopita.

Namshukuru sana Mungu wangu kwa kunipa huyu rafiki yangu kuwa mwenzangu. Ni jambo ambalo sijawahi kulijutia katika miaka yote 13 niliyoishi naye. Nazidi kumwomba Mungu tuzidishe upendo katika haya maisha tuliyoyachagua.
Nawaomba pia rafiki zangu wenye mapenzi mema mzidi kutuombea maisha yenye Upendo, Baraka na Neema.


Unajua JF ni forrum ya kipekee sana...yaani nilivyokua namuwazia huyu dada alivyo..I never thought kwamba eti atakua na ndoa tena for 13 years!!!!
MUNGU AKUWEKEE MKONO WAKE UPATE KUIONA 50th ANNIVERSARY UKIWA NA FURAHA NA HUYO MWENZIO!!!
 
Unajua JF ni forrum ya kipekee sana...yaani nilivyokua namuwazia huyu dada alivyo..I never thought kwamba eti atakua na ndoa tena for 13 years!!!!
MUNGU AKUWEKEE MKONO WAKE UPATE KUIONA 50th ANNIVERSARY UKIWA NA FURAHA NA HUYO MWENZIO!!!
Amen.
asante sana kwa maombi, naamini Mungu atatujalia hayo.
lakini majany kama unasoma post zangu ungelijua hili bila wasiwasi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom