Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Asante sana mdogo wangu, ni kweli ni jambo la kumshukuru Mungu
Amina..............kwakweli anastahili sifa kwa kukutumia wewe dada yangu kutuonesha kuwa bado inawezekana kuwa katika ndoa aliyobariki Mungu, japo wengi wanaidhalilisha taasisi ya ndoa Takatifu...........umenipa moyo kweli. Uzidi kubarikiwa