Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Nimejaribu kufungua website ya CHADEMA ili niangalie mambo fulani lakini nikatakiwa niingize password na imeandikwa "Protected Site", na hakuna sehemu ya yoyote inayoruhusu kuji-register. Wadau naomba msaada wenu. Kitu nilichokiona kiko katika picha hapa chini.

View attachment 121950

Haina wakina NKORONGO wanaomaintain CCM BLOG na Tivoli ya Chama cha Mapinduzi…
Na wao wanapewa TRIPs za UCHINA kama waandishi wa habari; sahihi bias kwa chama

Sasa kweli hiyo trip huyo blogger alilipiwa toka kwenye RUZUKU ya CCM au FEDH ZA SERIKALI?

Hii inatisha kweli, ni ma-blogger wangapi wanapokea some money from CCM kuandika na kutoa picha za ziara za viongozi wa CCM? wewe angalia hizo blog zinavyofanana...

Na kweli wanalia na RUZUKU ya CHADEMA nakweli logically unaona ni kweli nani anachota hizo pesa...

Inasikitisha kweli; na hakuna wa kuuliza swali la ukweli chama tawala… waandishi wote wa habari ni pro-ruling party
 
Kwa hiyo Chadema kama chama hawana website?

Nadhani website yao ina under go some sort of developments ambapo sio rahisi kuipata kwa sasa. Alternatively nenda chademablog.blogspot.com/?m=1
 
Kwa hiyo Chadema kama chama hawana website?

Lakini kama CHAMA kinapata wananchi wengi kwenye mikutano yake na habari husambazwa haraka na kwa ukweli na kiusalama… Tanzania kuwa na Computer ni anasa ni wachache walizonazo na wengi wao ni mpaka waende ofisini… Umeme wetu ni goigoi kwahiyo mikutano ya hadhara ndiyo inayotuma ujumbe kiurahisi kwa wananchama wake sababu Mikutano yake huwa inahudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.

Ukilinganisha na Mikutano ya CCM in Gharama lazima wapike WALI, MAHARAGE na NYAMA; Wapatiwe T-Shirt CCM; Scarf-CCM; Khanga´CCM; Usafiri sababu wengi hawapendi kutembea kwenda kula...

Wakifika Mkutanoni waongeaji ni Wasinziaji… no points hawajui kuhamasisha… Inabidi wamlete Mwanamuziki wa Madoido

Sasa hapo ukiweka sera zenu muongeaji ni mzito na mwingine ni kufoka; unawashindilia maharagwe; mchana wa jua; halafu kuna mwana muziki anacheza hapo…''

KILA KITU walichokihutubia hakuna atakayekikumbuka… sababu tumbo litakuwa linatoa mayowe yake. Midomo inacheza yenyewe wa mdundo… CAMPAIGN sio starehe!!!
 
Lakini kama CHAMA kinapata wananchi wengi kwenye mikutano yake na habari husambazwa haraka na kwa ukweli na kiusalama Tanzania kuwa na Computer ni anasa ni wachache walizonazo na wengi wao ni mpaka waende ofisini Umeme wetu ni goigoi kwahiyo mikutano ya hadhara ndiyo inayotuma ujumbe kiurahisi kwa wananchama wake sababu Mikutano yake huwa inahudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.

Ukilinganisha na Mikutano ya CCM in Gharama lazima wapike WALI, MAHARAGE na NYAMA; Wapatiwe T-Shirt CCM; Scarf-CCM; Khanga´CCM; Usafiri sababu wengi hawapendi kutembea kwenda kula...

Wakifika Mkutanoni waongeaji ni Wasinziaji no points hawajui kuhamasisha Inabidi wamlete Mwanamuziki wa Madoido

Sasa hapo ukiweka sera zenu muongeaji ni mzito na mwingine ni kufoka; unawashindilia maharagwe; mchana wa jua; halafu kuna mwana muziki anacheza hapo''

KILA KITU walichokihutubia hakuna atakayekikumbuka sababu tumbo litakuwa linatoa mayowe yake. Midomo inacheza yenyewe wa mdundo CAMPAIGN sio starehe!!!
Kamanda mie nimeuliza tu kwa ni njema, nashukuru kwa majibu yako.
 
CCM imekodisha ma HACKER toka China kwa lengo la kuihujumu website ya Chadema, ila Chdema ni makini imeugundua mchezo huo na kuamua kuiprotect from Hackers, hivi sasa ipo ktk matengenezo kuhakikisha hackers hawawezi kuihack. Hacker wa CCM walichofanikiwa ni kuhack email account ya Dr Slaa na kuiba baadhi ya nyaraka.
 
CCM imekodisha ma HACKER toka China kwa lengo la kuihujumu website ya Chadema, ila Chdema ni makini imeugundua mchezo huo na kuamua kuiprotect from Hackers, hivi sasa ipo ktk matengenezo kuhakikisha hackers hawawezi kuihack. Hacker wa CCM walichofanikiwa ni kuhack email account ya Dr Slaa na kuiba baadhi ya nyaraka.

Akili za Bavicha ndio mwisho wake hapa...
 
site uliotoa inasema iko protected
sioni kitu
 
sasa kuna mtu ka hack hii site au ni administrator wameongeza usalama!?
 
Kwanza nianze na kukupapole kwa yanayoendelea juu yako ni upepotu yatapita, Naomba ujulishe umma wa watanzania ambao tunanianjema yakusikia kauli ya PAC ieleweke Tanesco ipo Chini ya PAC je PAC mmebariki bei hiyo?? Tunaomba uje humu utujibu nasikia umesafiri kidogo ukiwa hukohuko Ukerewe tunaomba majibu.
 
Log in andika MBOWE password MTEI au JOSEPHINE utaipata moja kwa moja
 
Ni aibu na uzembe wa kiwango cha juu kwa chama hasa Kurugenzi ya Mawasiliano CHADEMA inayojinasibu kama mambo yake yanaenda kidigitali wakati hata official website kimeshindwa kuendesha kidigitali.

Ni kweli kuna Watanzania wachache wanaokuwa na mawasiliano mara nyingi ya kidigitali lakini hili haliondowi ukweli kuwa CHADEMA kikiwa kwenye mpito wa ukuaji ndani na nje ya Tanzania, lazima nyaraka zake zipatikane kifigitali.

Nyaraka kama Katiba, Kanuni, matangazo na habari mbali mbali za CHADEMA katika dunia ya sasa lazima zipatikane kwa haraka na urahisi. Website ni njia mojawapo ambayo ni muhimu sana katika mawasiliano na chama. Website ya CHADEMA iko kwenye matengenezo yasiyokuwa na mwisho!.

Kiasi gani kinagharimu kuweka website active wakati chama kinapokea kila mwezi karibia Milioni 200.

Kulikoni kwenye kitengo cha mawasiliano cha CHADEMA.
 
Ni aibu na uzembe wa kiwango cha juu kwa chama hasa Kurugenzi ya Mawasiliano CHADEMA inayojinasibu kama mambo yake yanaenda kidigitali wakati hata official website kimeshindwa kuendesha kidigitali.

Ni kweli kuna Watanzania wachache wanaokuwa na mawasiliano mara nyingi ya kidigitali lakini hili haliondowi ukweli kuwa CHADEMA kikiwa kwenye mpito wa ukuaji ndani na nje ya Tanzania, lazima nyaraka zake zipatikane kifigitali.

Nyaraka kama Katiba, Kanuni, matangazo na habari mbali mbali za CHADEMA katika dunia ya sasa lazima zipatikane kwa haraka na urahisi. Website ni njia mojawapo ambayo ni muhimu sana katika mawasiliano na chama. Website ya CHADEMA iko kwenye matengenezo yasiyokuwa na mwisho!.

Kiasi gani kinagharimu kuweka website active wakati chama kinapokea kila mwezi karibia Milioni 200.

Kulikoni kwenye kitengo cha mawasiliano cha CHADEMA.

Mtalia sana...!!
Kila mlango mliotaka kuutumia 'kuchakachua' umefungwa.

Big up Chadema, maana jamaa wa CCM walitaka kupandikiza documents kwenye web-site yenu, wamekuta 'hola' sasa wamekasirika sana.
Pole sana Ritz na wengineo, maana siku zote hamkuwa mnatembelea web-site ya Chadema, vipi leo mnataka sana kutembelea huku...??
Alternatively, tembeleeni web-site hii hapa chini...kuna kila mnachokihitaji......
Welcome to the Frontpage!
 
Last edited by a moderator:
Lakini kama CHAMA kinapata wananchi wengi kwenye mikutano yake na habari husambazwa haraka na kwa ukweli na kiusalama… Tanzania kuwa na Computer ni anasa ni wachache walizonazo na wengi wao ni mpaka waende ofisini… Umeme wetu ni goigoi kwahiyo mikutano ya hadhara ndiyo inayotuma ujumbe kiurahisi kwa wananchama wake sababu Mikutano yake huwa inahudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.

Ukilinganisha na Mikutano ya CCM in Gharama lazima wapike WALI, MAHARAGE na NYAMA; Wapatiwe T-Shirt CCM; Scarf-CCM; Khanga´CCM; Usafiri sababu wengi hawapendi kutembea kwenda kula...

Wakifika Mkutanoni waongeaji ni Wasinziaji… no points hawajui kuhamasisha… Inabidi wamlete Mwanamuziki wa Madoido

Sasa hapo ukiweka sera zenu muongeaji ni mzito na mwingine ni kufoka; unawashindilia maharagwe; mchana wa jua; halafu kuna mwana muziki anacheza hapo…''

KILA KITU walichokihutubia hakuna atakayekikumbuka… sababu tumbo litakuwa linatoa mayowe yake. Midomo inacheza yenyewe wa mdundo… CAMPAIGN sio starehe!!!

Hapa umemaliza mkuu.
 
Chadema wasanii tu. Website yao tu wanshindwa kuisimamia halafu wantaka wapewe serikali!!!

...teh teh fuatilia website ya serikali kuu na ya nchi ndo utajua chadema iko mbele zaidi ya mawazo yako...
 
Back
Top Bottom