Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

chadema ina website, unless kama mimi sijui nini maana ya website tembelea www.chadema or.tz
 
Chadema mambo mengi hawajipangi kitasisi kuna mengi kama website, kuwa na makao makuu ya chama ni tatizo kazi yao ni kupanga ili walipe mamilioni, hata kuwa na chuo maalumu cha kisiasa ni hadithi zisizoisha. Mfano angalia hata suala ka m4c wanamuachia mawazo pekee ndo aende vijijini. Chadema kwa kuigiza wanaweza!
 
Kidumu chama cha mapinduzi , kasoro zipo lakini sifa na uzuri ws mipango yao yapo
 
Habari za siku nyingi kidogo wana JF! habari za mapambano ya mabadiliko wana CHADEMA wenzangu, nina swali kidogo kuhusu website ya chama chetu, Jamani nani muhusika mkuu wa hii web? mbona inatumia technolojia ya zamani hivyo? na mbona links nyingi hazifanyi kazi? this is not fair kwakweli viongozi wa juu angalieni hili ni source kubwa sana ya habari rasmi za chama na taifa pale ambapo serikali inapindisha baadhi ya habari, hii website inatakiwa iwe source ya taarifa muhimu za chama na watu tunapozihitaji tuzikute huko, tukikutana na habari za juu juu kwenye vyombo vingine kwenye web tukute kwa undani! pls naomba majibu kutoka kwa wahusika!

Kufungua tovuti haizidi dola 20, tatizo ni utapata wapi watu watakaowezesha tovuti yako kuwa- on air na kutoa habari kwa muda muafaka! Kinachoshindikana ni mtaji wa kuajiri watu wanaoweza kufanya hiyo kazi ya kujitolea !
 
[QUOTE=nkongu ndasu;Chadema mambo mengi hawajipangi kitasisi kuna mengi kama website, kuwa na makao makuu ya chama ni tatizo kazi yao ni kupanga ili walipe mamilioni, hata kuwa na chuo maalumu cha kisiasa ni hadithi zisizoisha. Mfano angalia hata suala ka m4c wanamuachia mawazo pekee ndo aende vijijini. Chadema kwa kuigiza: WEWE NDO UNAIGIZA NDUGU, MAMBO YOTE YANAKWENDA KWA VIPAUMBELE, Huwez kukurupuka tu kama wewe ulivyoorodhesha. Mawazo hajaachiwa M4C, na kwa taarifa yako hii ni opareshen maalum kichama na ipo nchi nzima. Suala la ofis fanya utafiti na si kuropoka
 
jamani hajasema haipo!!!! bali links zake nyingi hazifanyi kazi ! Msimshambulie alio_post.
 
chama oyeeeeeeee!
Naomba kukueleza chadema tuna website kwa muda sasa!

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Habari za siku nyingi kidogo wana JF! habari za mapambano ya mabadiliko wana CHADEMA wenzangu, nina swali kidogo kuhusu website ya chama chetu, Jamani nani muhusika mkuu wa hii web? mbona inatumia technolojia ya zamani hivyo? na mbona links nyingi hazifanyi kazi? this is not fair kwakweli viongozi wa juu angalieni hili ni source kubwa sana ya habari rasmi za chama na taifa pale ambapo serikali inapindisha baadhi ya habari, hii website inatakiwa iwe source ya taarifa muhimu za chama na watu tunapozihitaji tuzikute huko, tukikutana na habari za juu juu kwenye vyombo vingine kwenye web tukute kwa undani! pls naomba majibu kutoka kwa wahusika!

Pia nashauri iwekwe wazi ikiwezekana hata humu jamvini ili iwe rahisi kuifahamu, wengine hawaifahamu.
 
Kwa kweli hawako dynamic ktk hili,kuna umuhimu wa kulitafakari kwa umakini suala la website
 
kazi ya mnyika ni kumbana waziri husika hoja yako ipeleke lumumba haina mshiko au wapelekee wajumbe wa nyumba 10 waccm ha ha ha
 
Capture.....PNG
 

Attachments

  • Capture.....PNG
    Capture.....PNG
    6.5 KB · Views: 42
CHADEMA ndicho chama cha upinzani kilicho leta chachu kubwa zaidi ya mabadiliko katika historia ya taifa letu na hasa ukizungumzia mabadiliko ya KWELI yaani yalio tokana na jitihada za makusudi za kuzalisha jamii yenye uelewa mkubwa zaidi wa haki na wajibu wao nakuleta UWAZI NA UKWELI katika ngazi mbalimbali za uongozi katika jamii yetu, lakini pia ni mabadiliko ENDELEVU (si tu ya watu kufwata upepo).

Angalau baada ya kitambo fulani sasa mwananchi wa kawaida kabisa anaweza kuwa na ujasiri kabisa wakusimama na ku question mambo na maamuzi kadhaa yanayo chukuliwa na viongozi wetu wa kisiasa/kijamii na katika taasisi zetu mbalimbali.

Uelewa wa watanzania ume ongezeka sana katika kipindi hiki kifupi thanks to CHADEMA na kambi yote ya UPINZANI

CHADEMA ndicho chama kikuu cha upinzani BUNGENI, na ndicho chama chenye kuonyesha angalau mwanga kwa tumaini la watanzania kwamba Yes! ipo siku mabadiliko yatakuja.
nasisi watoto wa mama Tanzania tumejitoa kufanikisha hili sambamba na ndugu zetu wa uongozi wa juu wa CHADEMA.

LAKINI? JE BADO UPO UMAKINI TULIO ANZANAO KATIKA KUFIKIA SHABAHA YETU???

JE IPO MIKAKATI ILIYO WEKWA KUELEKEA KUFIKIA SHABAHA ZETU?? JE MIKAKATI HIYO IMEUZWA VYAKUTOSHA KWA WANACHAMA NA UMMA WA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA KIASI CHA KUA owned NA UMMA huo wa wapenda mabadiliko??

JE KAMA KUFIKIA LEO HII CHADEMA BADO HAINA TOVUTI (website) KATIKA ULIMWENGU HUU WA UTANDAWAZI, ARE WE SERIOUS??
ninaomba kuwasilisha hili, kama inawezekana lifanyiwe kazi.

Maendeleo ya kiuchumi, Amani na ummoja - Tanzania!

Asanteni



Website ipo Mkuu ila inatakiwa kufanyiwa maboresho makubwa.
Bonyeza linki hii hapa:
Chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA

Lakini naona ipo "UNDER CONSTRUCTION". Nadhani ushauri wameusikia.
 
Back
Top Bottom