Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Mkuu ZeMarcopolo mbona ikulu yenu tukufu na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu yenu inatumia yahoo email ina maana na wao wameshindwa kuwa na ya kwao mpaka watumie email ya yakoo

Email address ni email address tu, tena ya yahoo ni more reliable.
 
Usitegemee critical thinking kwa Machadema. Wataunga mkono tu hilo kufuli. Msimamo wao utabadilika pale siku moja kurugenzi ya habari itakapokuja kuomba radhi kwa matatizo ya kiufundi.

Mifano mingi ipo ya wanachadem kuwa ni kama bendera tu!

Tanzania needs more than bendera fuata upepo.
 
Nakubaliana na wewe mkuu ZeMarcopolo ni yetu sote
Sijui Salva anashindwa nini mpaka atumie email ya yahoo ambayo muda wowote inaweza kuingiliwa na wajanja wa mitandao

Mimi sio Salva lakini better Yahoo kuliko mitandao ya serikali yetu ambayo hata wa Morrocco wanachezea kama kagozi!
 
Mtalia sana...!!
Kila mlango mliotaka kuutumia 'kuchakachua' umefungwa.

Big up Chadema, maana jamaa wa CCM walitaka kupandikiza documents kwenye web-site yenu, wamekuta 'hola' sasa wamekasirika sana.
Pole sana Ritz na wengineo, maana siku zote hamkuwa mnatembelea web-site ya Chadema, vipi leo mnataka sana kutembelea huku...??
Alternatively, tembeleeni web-site hii hapa chini...kuna kila mnachokihitaji......
Welcome to the Frontpage!
Kujenga hoja na mtu mwenye mawazo na mitazamo kama yako ni kupoteza muda tu kwa sababu hujitambui na unachokiandika lazima kitakuwa automatic hakitambuliki kwa watu wenye upeo wa juu kifikra na kimtazamo.

"Kupandikiza documents kwenye web-site ya CHADEMA". Really!.

Big up CHADEMA.
 
Kujenga hoja na mtu mwenye mawazo na mitazamo kama yako ni kupoteza muda tu kwa sababu hujitambui na unachokiandika lazima kitakuwa automatic hakitambuliki kwa watu wenye upeo wa juu kifikra na kimtazamo.

"Kupandikiza documents kwenye web-site ya CHADEMA". Really!.

Big up CHADEMA.

Jiulize swali dogo tu...
Mtu wa CCM kama wewe unatafuta nini kwenye web-site ya Chadema..??
Na baada ya kuona kuwa web-site ya Chadema imezuiliwa (locked) mbona unalia-lia sana..?? Kwa nini...??
Si ungesepa zako tu, unalia-lia nini sasa..??
Umepata logic hapo..??
Kwa mfano mimi sina mpango kabisa na web-site ya CCM, CCM waifunge wasiifunge sijali lolote..!!
Ila wewe unalia-lia baada ya kukuta web-site ya Chadema iko locked..!!
Pole sana, Chadema wako smart sana, wanajua kila mbinu yenu kabla hamjaitekeleza.
Poleni sana..!!
 
Email address ni email address tu, tena ya yahoo ni more reliable.

Yaani email ya yahoo ni more reliable kuliko email ya :name@tanzania.go.tz ..???
Pole sana wewe, hujajua ni email gani reliable na email gani ziko wazi kushambuliwa kirahisi.
 
Usiwe na shaka Kamanda,nilikuwa safarini Dubai kwenye lile kasiri la mwenyekiti wetu. By the way I will solve this problem I soon as possible.
 
Yaani email ya yahoo ni more reliable kuliko email ya :name@tanzania.go.tz ..???
Pole sana wewe, hujajua ni email gani reliable na email gani ziko wazi kushambuliwa kirahisi.

Unadhani huyo ajuza anajuwa hata Domain ni nini?
 
Yaani email ya yahoo ni more reliable kuliko email ya :name@tanzania.go.tz ..???
Pole sana wewe, hujajua ni email gani reliable na email gani ziko wazi kushambuliwa kirahisi.

Of course, mna server gani nyinyi zilizokuwa more reliable kuliko za yahoo?
 
CCM imekodisha ma HACKER toka China kwa lengo la kuihujumu website ya Chadema, ila Chdema ni makini imeugundua mchezo huo na kuamua kuiprotect from Hackers, hivi sasa ipo ktk matengenezo kuhakikisha hackers hawawezi kuihack. Hacker wa CCM walichofanikiwa ni kuhack email account ya Dr Slaa na kuiba baadhi ya nyaraka.
Hacker nao hadi wakodishwe china?
 
...teh teh fuatilia website ya serikali kuu na ya nchi ndo utajua chadema iko mbele zaidi ya mawazo yako...

weweeeeee muziki mwingine website ya serikali
http://www.egov.go.tz
 
Hacker nao hadi wakodishwe china?

Vijana wa Lumumba ndo wanaotegemewa, wanaaminika kwamba ndo watundu wa Internet kwa umahiri wao wa kuwatukana viongozi wa CDM, ila kwa upande wa Hacking, hawana kitu ni vilaza tu, ikabidi wakatafute mtu china.
 
Mkuu ZeMarcopolo mbona ikulu yenu tukufu na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu yenu inatumia yahoo email ina maana na wao wameshindwa kuwa na ya kwao mpaka watumie email ya yakoo

sio expert wa hacking skills ila Ikulu wakiwa na domain name yao nawahack ....
 
Mbona password inafahamika na wanachama? Ila ujue wafuasi wa watu ndani ya chama hawanayo na hata wakipewa hawawezi kuitumia kwani kigezo ni kuwa lazima uwe mwadilifu kwa nchi yako na chama chako CDM na sio kutumikia watu.
 
Mkuu,kwanini umeniorodhesha na viongozi wa CHADEMA? Unataka nihamie huko.Nami CCM sitoki. Kuhusu mada husika, nadhani wakati wa vuguvugu linaloendelea ndani ya CHADEMA,lazima kuwe na wasiwasi. Ni vyema kuhofu kila mtu na kila mtu hasa wakati kama huu.Kwa uamuzi huu na kwasasa,nawaunga mkono CHADEMA.Virusi vimo chamani mwao.'Kiongozi' yeyote asiye mwaminifu awezaq kuweka vitu vya ajabu humo halafu akakimbilia mitandaoni kuigeuka CHADEMA.Kinga ni bora kuliko tiba
 
Back
Top Bottom