FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Mkuu ZeMarcopolo mbona ikulu yenu tukufu na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu yenu inatumia yahoo email ina maana na wao wameshindwa kuwa na ya kwao mpaka watumie email ya yakoo
Email address ni email address tu, tena ya yahoo ni more reliable.