Kwa nini ukitaka kuingia katika website ya CDM inakwambia "The site Protected"? Je, nikitaka kuingia nitumie password gani? Ningependa kusoma mambo mbalimbali katika website kwaajili ya kukijua Chama zaidi kabla ya 2014 na 2015. Nitafurahi kusaidiwa katika hili
Kuuliza siyo ujinga. Kama wewe unajua jinsi ya kuingia web ya chama basi si kila mtu anaweza. Kama unajua ni bora kunielekeza badala ya matusi kama haya. Nafikiri utakuwa umenielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.