Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

Nimefurahi leo kukutana na hii blog ya chama (CHADEMA) fuata link Chadema Blog lakini zaidi naulizia majibu kuhusu swali langu la msingi wakati nauliza hli swali website ilikuwa inaonekana but haikuwa ikifanya kazi vizuri, sasa nw ni muda toka imestopishwa kabisa na kuwekewa a label kuwa it is under construction, pls sisi wadau tunaiihitaji iwepo hewani tena ikiwa very resourcefull. namaanisha link hii "http://chademablog.or.tz" na pia napenda kudeclare interest kuwa I'm a web developer kama kunatatizo mahali nipo tayari kufanya kazi free na timu ya IT ya chama kuhakikisha kuwa inafanya kazi na zaidi inafikia viwango vinavyopaswa kwa chama hiki chetu kikubwa.
 
Najaribu kusearch website ya CDM but siipati. Naomba kama kuna mtu mwenye link au ana taarifa zaidi anijuylishe. Mkuu Tumaini Makene upatapo ujumbe huu, nifanyie feva...
 
Last edited by a moderator:
Ikokwenye matengenezo huu ni mwezi wa 8 sasa ngoja tusubiri mkuu
 
Jamani site ya chadema vipi kunatatizo gani samini chma kikubwa kama cdm website ipo matengenezo mwezi wa 12 sasa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chama hakiwezi kumaintain website lakini kinaclaim kuweza kusimamia serikali!!!

Chadema ni Chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
 
alafu ukipata website ya chadema.... ndio maisha yako yatakuwa mazuri au ?..
ukitaka chek ile ya mtanzania daima...
 
website inasema ili ujue misimamo,sera na KATIBA zao lazima uwe na password ndio utapata kuingia kuisoma. iN SHORT chadema wameamua kuifunga website yao kwa wananchi

Hiki ndicho chama mbadala ambacho kinategemewa kuchukua nchi in 2 years time

soma hapa:

http://www.chadema.or.tz/

attachment.php


kazi tunayo maana kila nikijaribu kujua tofauti kazi ya CHADEMA na CCM nashindwa kupata tofauti.
 

Attachments

  • protected-website.jpg
    protected-website.jpg
    30 KB · Views: 2,971
Wanaojua watakuja na majibu halafu na sisi tutachangia.
 
usiwe na sida mbona viongozi wao ni member hum so utajibiwa tu mkuu
 
kama unahitaji msaada si useme mjomba , mapovu ya nini sasa ? Sasa kwa ajili ya kukukomoa nakuacha bila msaada !
 
Nimejaribu kufungua website ya CHADEMA ili niangalie mambo fulani lakini nikatakiwa niingize password na imeandikwa "Protected Site", na hakuna sehemu ya yoyote inayoruhusu kuji-register. Wadau naomba msaada wenu. Kitu nilichokiona kiko katika picha hapa chini.

CDM WEBSITE.png
 
Chadema wasanii tu. Website yao tu wanshindwa kuisimamia halafu wantaka wapewe serikali!!!
 
Chadema wasanii tu. Website yao tu wanshindwa kuisimamia halafu wantaka wapewe serikali!!!

Mkuu ZeMarcopolo mbona ikulu yenu tukufu na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu yenu inatumia yahoo email ina maana na wao wameshindwa kuwa na ya kwao mpaka watumie email ya yakoo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom