We unaweza kupenda hivi?

We unaweza kupenda hivi?

Hakuna mapenzi ya pesa! Kwa nn sisi wanadamu tunapenda kwenda against na mambo ya asili? Wanyama wanapendana lkn hawana hata sent tano! Hata uwe na matrion penzi la dhati halinunuliwi!
 
Kweli kuna wanaume mapoyoyo..khaaaa!!!!

Afu naona wadada wapenda mteremko wanavyosapoti, lol....
 
uyo jamaa kama ana mke basi inampasa akate huo mtandao kabla hajafilisiwa!
 
nina jamaa yangu ana demu wake ana mgharamia kila kitu

1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi,

2. Kamnunulia gari fortuner,

3.matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi yote,

jamaa kashtukia demu anapiga kazi za nje na alimbana mdada akakubali kwani kuna siku hakulala nyumbani na alikiri kweli amelala nje na mtu fulani.

Jamaa alichuna kama siku 5 baada ya hapo akamwita demu akalia sana halafu yeye eti ndio akamwomba demu wake msamaha na anaomba waendelee na mapenzi yako. Demu kamsamehe jamaa na sasa hivi wamekwenda dubai kwa mapumziko.

Kwakweli huyu rafiki yangu mimi nimeshindwa kabisa kumuelewa akili yake.
chaa ajabu yee kulipa kodi au kumnunulia gari...kina papa naniliu wanaonga meli,mijumba na wanagonga siku moja moja...afu siri ya mtungi aijuae kata huwezi jua jamaa ako kadatishwa na nini
 
huo ni ujinga kabisa huo,jamaa anatimiza vibaya majukumu yake GENESIS 3
 
Nina jamaa yangu ana demu wake ana mgharamia kila kitu

1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi,

2. Kamnunulia gari fortuner,

3.Matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi yote,

Jamaa kashtukia demu anapiga kazi za nje na alimbana mdada akakubali kwani kuna siku hakulala nyumbani na alikiri kweli amelala nje na mtu fulani.

Jamaa alichuna kama siku 5 baada ya hapo akamwita demu akalia sana halafu yeye eti ndio akamwomba demu wake msamaha na anaomba waendelee na mapenzi yako. Demu kamsamehe jamaa na sasa hivi wamekwenda dubai kwa mapumziko.

Kwakweli huyu rafiki yangu mimi nimeshindwa kabisa kumuelewa akili yake.

Na wakati wote huo wewe unachukuwa udaku uulete JF?

Huu mwingine ni uongo usioingia akilini.

Ngoja nirudi zangu jukwaa lisilokuwa na stress la Siasa, nikawape pole magwanda, jana wameumizwa vibaya sana , leo wameamka na hangover za gongo la kujiliwaza.
 
Nina jamaa yangu ana demu wake ana mgharamia kila kitu

1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi,

2. Kamnunulia gari fortuner,

3.Matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi yote,

Jamaa kashtukia demu anapiga kazi za nje na alimbana mdada akakubali kwani kuna siku hakulala nyumbani na alikiri kweli amelala nje na mtu fulani.

Jamaa alichuna kama siku 5 baada ya hapo akamwita demu akalia sana halafu yeye eti ndio akamwomba demu wake msamaha na anaomba waendelee na mapenzi yako. Demu kamsamehe jamaa na sasa hivi wamekwenda dubai kwa mapumziko.

Kwakweli huyu rafiki yangu mimi nimeshindwa kabisa kumuelewa akili yake.

Swali je huo ni mpango wakando, mke, mchumba hawara au changu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom