We unaweza kupenda hivi?

We unaweza kupenda hivi?

Wanasema "love is blind" ndo hiyo yanatimia mkuu.
 
nduka nyie ndo wambea wenyew sasa! we hayo mambo ya kumnunulia gar cjui nyumba yanakuhusu nn! acha mahaba ya wa2 banaaaa
 
Kweli mahaba niue roho yangu niachie!!!!
wanaume wa hivo wapo wengi tu
 
Huyu jamaa yako atakuwa kalegea huyo mstue kidogo.
 
Nina jamaa yangu ana demu wake anamgharamia kila kitu

1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi
2. Kamnunulia gari fortuner
3.Matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi yote.

Jamaa kashtukia demu anapiga kazi za nje na alimbana mdada akakubali kwani kuna siku hakulala nyumbani na alikiri kweli amelala nje na mtu fulani. Jamaa alichuna kama siku 5 baada ya hapo akamwita demu akalia sana halafu yeye eti ndio akamwomba demu wake msamaha na anaomba waendelee na mapenzi yako. Demu kamsamehe jamaa na sasa hivi wamekwenda dubai kwa mapumziko.

Kwakwli huyu rafiki yangu mimi nimeshindwa kabisa kumuelewa akili yake
Inawezekana hata ni wewe halafu unamsingizia jamaa yako.
 
Mtu wa hivyo cku akastuka au kama alipewa limbwata likaisha anakuwa mbaya sana anaweza ht kuuwa
 
duu Libwata hiloo...?!? wanawake wamekua wabaya sana siku hizi yaan kama sisi wenye waume ndo roho juujuu kumuomba Mungu awalinde wasijepulizwa...kama ni kaka yangu ohooo atantambuaa kama ndugu wa kuwahudumia wameisha basi ndo afanye hivo..halafu mtu kama huyo inakuta wazee wake wanalalia mbavu za mbwq ndugu zake maisha duni yeye anagawa kwa wanawake ambao pengine hawana hata futer nao..najivuna maana sijawahi hongwa na mwanaume labda nihonge mimi ndo maana nawachukia sana wanawake wanaotegemea pochi za kaka zetu..fanyeni kazi acheni kuishi kwa miujiza mjini maana miujiza kwa wadada imezidi..
kama mtu anafanya kazi ya 250,000/- kwa mwezi...
mkoba wake 120,000/-
viatu 100,000
gari toyota Nadia
nyumba nzima anaishi kodi si chini ya 400,000/- kwa mwezi
ngui anazovaa 80,000/- kwa 50,000/- top
mawigi ya laki2
simu 1m mpaka laki700
na haba kitu.ambacho ni used kwake sasa kanisani au.msikitini ataenda kufata nini wakati yeye mwenyewe anatenda miujiza...mshahara mdogo au kazi hana kabisa lakini anaishi kifahari sio muujiza huo?
ninajua uchungu wa hela maana natafuta kihalali na kwa jasho..sasa kaka zangu nawahurumia maana nahis ningekua mwanaume bas nisingekua na dem kwa ubahili wangu..yaani nimimine mapesa yote hayo kwa girlfriend?? tena sio.MKe? maana hata mchumba huna haki ya kumhudumia hivyo...kisa ni just APPLE?? hahahaha kweli watu tunatofautiana..Mungu alijua akanipa kaka mmoja tu na ni mdogo kwangu so huwa ananisikiliza tabia ya kuhonga wanawake haipo kabisaaa...
 
Hivi watu kama hao wapo?? Hilo ni jinga la mwaka.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

kwann waona km janga la mwaka kwani kuna ubaya kumuomba msamaha mwenzio hata km kosa n la kwake? jiunze kusamehe 7x70
 
Inawezkana friend yako ni kibamia au ni pre-mature ejaculator,umri wake ni mkubwa au ushamba wa madem wa mjini so muambie aendlee kukaza but wenye pipe zetu tuendlea kujilia mzigo kirahisi
 
Mhhhhh,AM TOTALLY IMPRESSED..em naomba mawasiliano ya bi shosti anifundishe hzo techniques,..MJINI SHULE ATII...
 
duu Libwata hiloo...?!? wanawake wamekua wabaya sana siku hizi yaan kama sisi wenye waume ndo roho juujuu kumuomba Mungu awalinde wasijepulizwa...kama ni kaka yangu ohooo atantambuaa kama ndugu wa kuwahudumia wameisha basi ndo afanye hivo..halafu mtu kama huyo inakuta wazee wake wanalalia mbavu za mbwq ndugu zake maisha duni yeye anagawa kwa wanawake ambao pengine hawana hata futer nao..najivuna maana sijawahi hongwa na mwanaume labda nihonge mimi ndo maana nawachukia sana wanawake wanaotegemea pochi za kaka zetu..fanyeni kazi acheni kuishi kwa miujiza mjini maana miujiza kwa wadada imezidi..
kama mtu anafanya kazi ya 250,000/- kwa mwezi...
mkoba wake 120,000/-
viatu 100,000
gari toyota Nadia
nyumba nzima anaishi kodi si chini ya 400,000/- kwa mwezi
ngui anazovaa 80,000/- kwa 50,000/- top
mawigi ya laki2
simu 1m mpaka laki700
na haba kitu.ambacho ni used kwake sasa kanisani au.msikitini ataenda kufata nini wakati yeye mwenyewe anatenda miujiza...mshahara mdogo au kazi hana kabisa lakini anaishi kifahari sio muujiza huo?
ninajua uchungu wa hela maana natafuta kihalali na kwa jasho..sasa kaka zangu nawahurumia maana nahis ningekua mwanaume bas nisingekua na dem kwa ubahili wangu..yaani nimimine mapesa yote hayo kwa girlfriend?? tena sio.MKe? maana hata mchumba huna haki ya kumhudumia hivyo...kisa ni just APPLE?? hahahaha kweli watu tunatofautiana..Mungu alijua akanipa kaka mmoja tu na ni mdogo kwangu so huwa ananisikiliza tabia ya kuhonga wanawake haipo kabisaaa...

hahahahaahha,good girls always hate golddiggers...not bad though,i see TS PURE JEALOUSY..cz u see she effortlessly has a life sooo fly akiwezeshwa na sponsors..of which u sweat too much for...take it easy darling...
and yaelekea hujawahi tendwa wewee...siku yakitokea maybe then u will know better how to deal with men.....who said kwamba ukitaka hela ya mwanaume then yako hutafutii??..enewei goodnight
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom