Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,484
Mkuu kama hauamini humu kuna wazee wako wewe tulia tu!Hebu ngoja kwanza 76 ndio umemaliza std 7? hmu ndani inabidi tuongee kwa heshma co kuropokaropoka tu kuna watu nyuma ya keyboard asee!
Mkuu kama hauamini humu kuna wazee wako wewe tulia tu!Hebu ngoja kwanza 76 ndio umemaliza std 7? hmu ndani inabidi tuongee kwa heshma co kuropokaropoka tu kuna watu nyuma ya keyboard asee!